Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hii timu Haina ushawishi Tena imeshakuwa takataka, Hadi Mbappe anawakazia? Kaazi kweli kweliii..
 
Huu utopolo Liverkuku lazima awakamatie chini ..yani mutabinuliwa ile staili ya Hamza kafia ubalozini ..uyo benzema atalambishwa mchanga na akina Mane na Sallah😂😂😂
 
Hamna timu humu na msimu ujao mutapoteana Sana kwanzia uwanjani hadi kwenye mauzo yaa jezi na mambishe mengine😂😂😂😂

Maana hamuna muchezaji wa kumutambulisha Tena jamaa ilivyotokea kwa Cr7 na Hazard😂😂😂

Uyo Rudger mutamtambulisha kwenye dressing room 😂😂😂
 
Hii ndio shida ya wazazi wako na familia kufanya maamuzi kwenye kila jambo lako

Wazazi wanaangalia utajiri tu bila ya individual achievement ya mtoto wao
Mkuu kati ya kombe na hela kipi kina faida kwa mbappe now. Maana ambalo hana ni hilo la Uefa Cl ana kombe la dunia tayari. Ana makombe ya ligi za ndani zaidi ya kadhaa nk naona yupo sahihi kwa maana km ni CHAMPIONS LEAGUE mwakani madrid hawa bebi maisha. Na ndio kwio. Bora abake zake PSG au angekuja timu za England km Chelsea, Liverpool au hata Man City au Man utd fresh tu.
 
Mkuu kati ya kombe na hela kipi kina faida kwa mbappe now. Maana ambalo hana ni hilo la Uefa Cl ana kombe la dunia tayari. Ana makombe ya ligi za ndani zaidi ya kadhaa nk naona yupo sahihi kwa maana km ni CHAMPIONS LEAGUE mwakani madrid hawa bebi maisha. Na ndio kwio. Bora abake zake PSG au angekuja timu za England km Chelsea, Liverpool au hata Man City au Man utd fresh tu.
Sure PSG is like City Still wanayo chance ya kutwaa champions league,Madrid akikosa mwaka huu kupata tena itakuwa ngumu,bora kabakia zake PSG!
 
Sure PSG is like City Still wanayo chance ya kutwaa champions league,Madrid akikosa mwaka huu kupata tena itakuwa ngumu,bora kabakia zake PSG!
Kabisa mkuu. Na hapo pesa katengewa nzuri anataka nini zaidi ya kuchukua chake mapema.
 
Mkuu kati ya kombe na hela kipi kina faida kwa mbappe now. Maana ambalo hana ni hilo la Uefa Cl ana kombe la dunia tayari. Ana makombe ya ligi za ndani zaidi ya kadhaa nk naona yupo sahihi kwa maana km ni CHAMPIONS LEAGUE mwakani madrid hawa bebi maisha. Na ndio kwio. Bora abake zake PSG au angekuja timu za England km Chelsea, Liverpool au hata Man City au Man utd fresh tu.
Ameleta tamaa tu ya pesa coz hata hapo PSG still bado alikuwa na mshahara mkubwa na hata akienda Madrid ndio alikuwa mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi duniani ni kama ilivyo kwasasa pale PSG baada ya mkataba mpya

Pia Madrid walimpa Mkataba Wa mauzo ya Image rights zote za Mbappe......kwahyo signing fee na Salary ya mwaka mzima ni offer ambazo hazikutofautiana sana kati ya PSG na Madrid

Kilichoongezeka kwa PSG ni Mbappe kuingia kwenye bodi ya wakurugenzi Wa PSG na atakuwa moja ya watu muhimu ndani ya klabu katika maamuzi na kupendekeza kocha gani asajiliwe au afukuzwe

-Atakuwa na say kwa sporting director Wa klabu
-He can approve signings and sales kwa wachezaji

Hayo ni miongoni mwa vipengele vya mkataba mpya aliosaini Jana
 
Sure PSG is like City Still wanayo chance ya kutwaa champions league,Madrid akikosa mwaka huu kupata tena itakuwa ngumu,bora kabakia zake PSG!
You have been saying this for years yet all PSG have won is a shit league trophy and cup…I haven’t seen PSG team win the UCL and at this rate i doubt PSG will manage to keep Mbappe because players play for your team for money only and not for pride…without a bit of pride you can’t win those trophies
 
Giving the player such powers is useless, this boy knew how disparate PSG were to him and forced them to make useless dicisions on his deal,#RealMadrid would not allow a player to have such powers NEVER,a player to have more powers than the Club itself.look at Neymar now he has become an avarage player for the love of money and not his lagacy,and thats were this boy is heading to..... shameless.
 
I agree with LaLiga, a team that hasn’t made profit the year before shouldn’t be able to commit such a large amount in a purchase and go more in debt, Barcelona isn’t doing it, why should PSG be able to.

Financial fair play rules up to PSG now
 
We jamaa akili yako haiko sawa. Maisha ya mchezaji kwenye soka ni mafupi sana. Na mchezaji anacheza mpira ili apate kipato cha kuendesha maisha na familia yake + maendeleo nje ya uwanja.

Kwahiyo kama PSG wanampa bilioni 2 kwa wiki aache aende Madrid akachukue milioni 500 kwa wiki. Inaingia akilini kweli?

Makombe ni nini mbele ya pesa?

Mbappe yupo sahihi kubaki PSG. Ubillionaire kwanza, makombe baadae

By the way alishabeba world cup.
Offer ya mshahara Wa madrid unaijua ww popoma ni £500milion kwa miaka 5,same to PSG £300milion kwa miaka 3 ila walicho ongeza PSG ni signing fee tu na kumpa Umungu mtu katika klabu yao na majukumu ya sporting director pamoja na kocha kumpa mtoto mdogo Mbappe

Kwa akili za kawaida hakuna kocha mkubwa duniani atakayekuwa na tamaa ya kuja PSG kufundisha watu ambao wapoo juu ya kila kitu kwenye klabu

Punguza akili zako za kipopoma
 
PSG is behaving so childishly here. How do they want other players to feel. Giving all glories to just one player doesn't make others have a sense of importance.
Kilichawaharibu Manure tangu enzi za Alexi Sanchez ni hiyo behaviour. Itagawa timu na dressing room haitakuwa na solidarity ya kutosha kushindana internationally a hata locally. Synergy ndani ya Manure ilipungua sana tangu asajiliwe Sanchez kutoka Arsenal na mshahara wa kufuru. Akaja Pogba akaongeza donda. Wakaanza mgomo baridi uwanjani. Unawaona kabisa hawakimbii wala hawakabi. Akaja CR7 ndio kabisa hata akina Bruno fuse ikakata kabisa. Bruno alisikika akisema anafanya kazi kubwa kwenye timu kwa hiyo anataka kuongezewa mshahara na pia baadhi yao wakihoji hao wanaolipwa sana wanafanya lazi gani zaidi yao?
 
Ameleta tamaa tu ya pesa coz hata hapo PSG still bado alikuwa na mshahara mkubwa na hata akienda Madrid ndio alikuwa mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi duniani ni kama ilivyo kwasasa pale PSG baada ya mkataba mpya

Pia Madrid walimpa Mkataba Wa mauzo ya Image rights zote za Mbappe......kwahyo signing fee na Salary ya mwaka mzima ni offer ambazo hazikutofautiana sana kati ya PSG na Madrid

Kilichoongezeka kwa PSG ni Mbappe kuingia kwenye bodi ya wakurugenzi Wa PSG na atakuwa moja ya watu muhimu ndani ya klabu katika maamuzi na kupendekeza kocha gani asajiliwe au afukuzwe

-Atakuwa na say kwa sporting director Wa klabu
-He can approve signings and sales kwa wachezaji

Hayo ni miongoni mwa vipengele vya mkataba mpya aliosaini Jana
Yaani amepewa mambo ya messi kule barca duh. Acha abaki
 
Back
Top Bottom