Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,360
Full Time : Atletico Madrid 1-0 Real Madrid
Unavyomzungumzia Rodrigo utadhani ana miaka 30.
Since 2016 hawajawah kutufunga acha washangilieJamaa ninaona kama wamechukua ubingwa hivi wanavyoshangilia.,
Mdogo mdogo sie tunapasha misuli tu.
Captain on dutyHii picha hua inanipa maana kubwa sanaView attachment 2219716
Huwa siamini strikers wanaofanya vzuri Bundesliga, inawezekana pia City kupigwa hasara kama sisi. Kibaya zaidi nimeshtushwa na habari za Madrid kumtaka Nkuku, hapa naona tunaenda kupigwa tena.Pesa walio itoa man city kumpata Halaand ndo pesa tulioitoa kumpata Jovic. Asee dunia haina huruma yaana
Huwa siamini strikers wanaofanya vzuri Bundesliga, inawezekana pia City kupigwa hasara kama sisi. Kibaya zaidi nimeshtushwa na habari za Madrid kumtaka Nkuku, hapa naona tunaenda kupigwa tena.
Ongezea Jovic na Timo Wernerhawa akina Nkuku ni wachezaji wa mchongo, Ni Jamii ya akina Mariano
😂 😂 😂 😂Pesa walio itoa man city kumpata Halaand ndo pesa tulioitoa kumpata Jovic. Asee dunia haina huruma yaana
Issue ya Mbappe bado?hawa akina Nkuku ni wachezaji wa mchongo, Ni Jamii ya akina Mariano
Issue ya Mbappe bado?
Tayari,Sema haijawa wazi.Iko kisiri Sana.Inasadikika Mbape anataka awaage mashabiki wa PSG kwa heshima.Bado hakuna news yoyote, ILa naendelea kuamini kuwa PSG watakomaa nae hadi dakika ya mwisho