ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,675
If you don't know now you know
Kweli kabisa man, kuna muda ninaona kama Dogo na Wazazi wake haswa Mama yake wanatutumia kupata deal nono huko PSG., ishu ya Haaland imeshaisha, bado ya huyo Dogo tu.,Saga la mbappe lifike mwisho kila siku page za madrid mitandaoni ziko nalo
22:00Tunacheza saa ngapi
Saga la mbappe lifike mwisho kila siku page za madrid mitandaoni ziko nalo
Hii ndio shida ya wazazi wako na familia kufanya maamuzi kwenye kila jambo lakoHatimaye limefika. Tuendelee na safari nyingine pasipo mbappe
Kwann mkuuBora tumemkosa
Kwann mkuu
Yeah man, Dogo alijua kututumia, ila hakuna mbaya, kilichobaki ni kusonga mbele tu, hopefully tutapata striker mzuri wa kumrithi Karim, pamoja na viungo, haswa mbadala wa Luka Modrić., hao wengine Valverde na Camavinga wanatosha kabisaHatimaye limefika. Tuendelee na safari nyingine pasipo mbappe
Mama yake Dogo anaonekana anapenda mkwanja sana, kwasababu alitaka kulipa commission fee, na ishu hii ndio ilisababisha tukawakosa Neymar na Haaland, halafu ukizingatia mkono wa Serikali ya Ufaransa na Qatar plus UEFA, ilikuwa ni ngumu sana kutoboa kwenye hii ishu.Hii ndio shida ya wazazi wako na familia kufanya maamuzi kwenye kila jambo lako
Wazazi wanaangalia utajiri tu bila ya individual achievement ya mtoto wao
Sababu angesababisha shida kwa sajili zijazo na wachezaji tulio naoKwann mkuu