Hili movie linatishaKumshika Benzema hilo ndio tatizo, kwasababu yule mzee ni baller. Yule mpira anaufuataga chini halafu anakuja nao juu huku anatoa pasi. Mpira ukimfikia Vini Jr ni mbio na nutmeg, mabeki viherehere wote washampoteza Big Benz yuko wapi. Wakishtuka wayaaa...

Hii timu Ancellotti alipewa kimakosa, tunaenda kimungumungu sana.
Kwanini nione aibu?Kijana vipi Huoni aibu? Mpaka sasa umeshindwa kufuta huu utopolo wako?
Kwa sababu ya kumshushia heshima CarloKwanini nione aibu?
Hii game tunapindua meza mapema sana kipindi Cha kwanza tunaongoza BAO mbili za fasta Ili kuwatoa mchezoni, huyu benzema tushaunda kamati ya roho mbaya kuhakikisha hafurukuti. Kipindi Cha pili tunazama na mbinu za kushambulia kwa kuvizzia Ili kuwa muda murukeruke ..halafu msumari wa tatu tunawatandika tunamaliza game ..mpira ni 3 bila subiri utaona TU..Yaani RMA ni ya kupaki bus kwa Chelsea? kua serious basi
Hiii, huo mkakati kabambe S/BRIDGE ulishindikanaje?Hii game tunapindua meza mapema sana kipindi Cha kwanza tunaongoza BAO mbili za fasta Ili kuwatoa mchezoni, huyu benzema tushaunda kamati ya roho mbaya kuhakikisha hafurukuti. Kipindi Cha pili tunazama na mbinu za kushambulia kwa kuvizzia Ili kuwa muda murukeruke ..halafu msumari wa tatu tunawatandika tunamaliza game ..mpira ni 3 bila subiri utaona TU..
#CFC![]()
Mnatupiga tatu sisi tumetulia tuHii game tunapindua meza mapema sana kipindi Cha kwanza tunaongoza BAO mbili za fasta Ili kuwatoa mchezoni, huyu benzema tushaunda kamati ya roho mbaya kuhakikisha hafurukuti. Kipindi Cha pili tunazama na mbinu za kushambulia kwa kuvizzia Ili kuwa muda murukeruke ..halafu msumari wa tatu tunawatandika tunamaliza game ..mpira ni 3 bila subiri utaona TU..
#CFC![]()
Pale darajani tuliteleza TU mkuu ...tarajia game kuwa ngumu sanaHiii, huo mkakati kabambe S/BRIDGE ulishindikanaje?
Cheki hii takataka ..Tuchel unamjua vizuri wewe? Bingwa mutetezi wa UEFA ndani ya msimu wake wa kwanza TU ..Yaani ktk makocha ninao shindwa kuwasoma ni Tuchel na yule wa PSG-hopeless sana
Hilo linafahamika, kwenye scale ya 1 - 10 ya kushinda mechi ya leo nawapa 3, kwenye scale ya 1 - 10 ya kufuzu hatua inayofuata nawapa 2, karibu Bernabeu saa 2200Pale darajani tuliteleza TU mkuu ...tarajia game kuwa ngumu sana
Kati ya PSG na Chelsea nani mwenye kikosi bora?Cheki hii takataka ..Tuchel unamjua vizuri wewe? Bingwa mutetezi wa UEFA ndani ya msimu wake wa kwanza TU ..
SawaTulipoishia kwa Soton tunaendeleza kwa Madrid

Neymar, mbappe, na Messi ndo wanaoleta tofauti otherwise psg wanakikosi cha kawaida Tu.....beki cjui kina kimpembe..cjui mendes...kina gueye n perreira huwezi wafananisha na kante n kovacic....Ramos umri ushaendaKati ya PSG na Chelsea nani mwenye kikosi bora?
RMA road to final
Unafananisha Timu ya Dunia na takataka kama PSG??Kati ya PSG na Chelsea nani mwenye kikosi bora?
FUTA hii utopolo ..sisi ni mabingwa watetezi na ushindi bado upon mikononi mwetu mkuu.