Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Yaani RMA ni ya kupaki bus kwa Chelsea? kua serious basi
Hii game tunapindua meza mapema sana kipindi Cha kwanza tunaongoza BAO mbili za fasta Ili kuwatoa mchezoni, huyu benzema tushaunda kamati ya roho mbaya kuhakikisha hafurukuti. Kipindi Cha pili tunazama na mbinu za kushambulia kwa kuvizzia Ili kuwa muda murukeruke ..halafu msumari wa tatu tunawatandika tunamaliza game ..mpira ni 3 bila subiri utaona TU..
#CFC💙💙💙
 
Hii game tunapindua meza mapema sana kipindi Cha kwanza tunaongoza BAO mbili za fasta Ili kuwatoa mchezoni, huyu benzema tushaunda kamati ya roho mbaya kuhakikisha hafurukuti. Kipindi Cha pili tunazama na mbinu za kushambulia kwa kuvizzia Ili kuwa muda murukeruke ..halafu msumari wa tatu tunawatandika tunamaliza game ..mpira ni 3 bila subiri utaona TU..
#CFC
Hiii, huo mkakati kabambe S/BRIDGE ulishindikanaje?
 
Hii game tunapindua meza mapema sana kipindi Cha kwanza tunaongoza BAO mbili za fasta Ili kuwatoa mchezoni, huyu benzema tushaunda kamati ya roho mbaya kuhakikisha hafurukuti. Kipindi Cha pili tunazama na mbinu za kushambulia kwa kuvizzia Ili kuwa muda murukeruke ..halafu msumari wa tatu tunawatandika tunamaliza game ..mpira ni 3 bila subiri utaona TU..
#CFC
Mnatupiga tatu sisi tumetulia tu
 
.
IMG_20220412_172636_413~2.jpg
 
Back
Top Bottom