Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Our starting XI for today match :
Thibaut Courtois; Dani Carvajal, Eder Militao, Nacho, Ferland Mendy; Luka Modric, Casemiro, Toni Kroos; Marco Asensio, Karim Benzema, Vinicius
 
Huu umakini wa hapa mbele bado haujakaa sawa sawa...tunamchukulia poa sana huyu kipa wao(Luca) wakat ni mzuri,hatumjaribu kwa umakini lakin pia hata mipira haikai mbele huku.
Juzi Ancelotti kwenye press conference aliahidi mabadiliko ila sioni alichoahidi so far.,
Casemiro sijajua kama amechoka ama ndio uwezo umepungua ama ni nini., kwasababu ninaona anapiga pass mkaa nyingi sana.
 
Juzi Ancelotti kwenye press conference aliahidi mabadiliko ila sioni alichoahidi so far.,
Casemiro sijajua kama amechoka ama ndio uwezo umepungua ama ni nini., kwasababu ninaona anapiga pass mkaa nyingi sana.
Upo sahihi,casemiro amechoka...unajua kuwa kwenye peak kwa muda mrefu nako ni issue,huyu sa hv anakaba sana na macho na akipata mpira anatoa pass ili mradi mpira utoke mguu kwake.
 
Upo sahihi,casemiro amechoka...unajua kuwa kwenye peak kwa muda mrefu nako ni issue,huyu sa hv anakaba sana na macho na akipata mpira anatoa pass ili mradi mpira utoke mguu kwake.
Na amekuwa akifanya hivyo mara kibao, Ancelotti aangalie sasa namna ya kumpumzisha, yupo Camavinga anaweza kucheza hilo eneo japokuwa bado hajakomaa,
 
Back
Top Bottom