Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Honestly, Leo tulikuwa kama Granada hivi, kila mipango ama mipira ilikuwa inaenda ovyo., pamoja na Courtois kubeba sana ila na yeye yalimshinda, next leg tutakuwa Bernabéu
#HalaMadrid
Sina wa kumulaumu mechi ilikua nzito kwetu, PSG walistahili ushindi ila tumewaonesha kua sisi ni wakubwa zaidi yao
 
Leo ndio kila mmoja kaona mwanya uliopo ukikutana na timu.. huyu psg kwa city alitulia kama mtungi, hapo hujakutana na city..

Ukweli timu ilistahili kupoteza maana hakuna tulicho deliver
 
Leo ndio kila mmoja kaona mwanya uliopo ukikutana na timu.. huyu psg kwa city alitulia kama mtungi, hapo hujakutana na city..

Ukweli timu ilistahili kupoteza maana hakuna tulicho deliver
Kweli kabisa, Ancelotti ana maswali kibao ya kujiuliza Second leg, plus hatapata huduma ya Casemiro., so tuombe tu team yetu irejee kwenye pick la sivyo hata La Liga tunaweza kuisikia tu kwa majirani.
,
 
Honestly, Leo tulikuwa kama Granada hivi, kila mipango ama mipira ilikuwa inaenda ovyo., pamoja na Courtois kubeba sana ila na yeye yalimshinda, next leg tutakuwa Bernabéu
#HalaMadrid
Hamna mechi kubwa tuliyocheza chini ya Ancelloti tukadominate mchezo, kwa style hii tutegemee miujiza tu tunapokutana na wakubwa. Alafu hata mechi ndogo siku za karibuni pia tumekuwa tukicheza hovyo tu ingawa ubao wa matokeo huwa unasoma tofauti.
 
Hamna mechi kubwa tuliyocheza chini ya Ancelloti tukadominate mchezo, kwa style hii tutegemee miujiza tu tunapokutana na wakubwa. Alafu hata mechi ndogo siku za karibuni pia tumekuwa tukicheza hovyo tu ingawa ubao wa matokeo huwa unasoma tofauti.
Ni kweli kabisa, ila huwa at least mipango inapangika inakuwa, jana hata hiyo mipango yenyewe iligoma,hata ule ubabe wetu wa kufanya mashambulizi ya kushtukiza nayo ilifeli,ukiona Kroos anashindwa hata kupiga pass imfikie mtu ujue tumepoteana vibaya.
Game ya jana ilimuhitaji sana Valverde, kwa kuwa Casemiro game ijayo hatakuwepo ninadhani atatumiwa.,
 
Mechi ijayo Casemiro na Mendy wote suspended, na wale PSG wanaongoza goli moja na wanakuja na full squad. Tutegemee mashabiki pale Bernabeu maana wale hawataki masihara
 
Real Madrid's starting line-up (4-3-3): Thibaut Courtois; Dani Carvajal, Eder Militao, David Alaba, Ferland Mendy; Fede Valverde, Casemiro, Luka Modric; Marco Asensio, Karim Benzema, Vinicius Junior
 
Baada ya kipigo kwenye michuano ya klabu bingwa Ulaya., Leo tutakuwa tena Uwanjani, Santiago Bernabéu dhidi ya Deportivo Alaves.,
Tumaini ni moja tu Ushindi!!
#HalaMadrid
 
Back
Top Bottom