pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,728
Tukiweza kutawala eneo lao la kiungo kazi inakuwa nyepesi sana...lakini na sisi tutumie nafasi zetu tutazopata vizuri.Leo tuna game ngumu sana wale vijana wa 4 mbele pale tutapata wakati mgumu
Tukiweza kutawala eneo lao la kiungo kazi inakuwa nyepesi sana...lakini na sisi tutumie nafasi zetu tutazopata vizuri.Leo tuna game ngumu sana wale vijana wa 4 mbele pale tutapata wakati mgumu
Hizo taarifa umezipata wapi Mkuu., hatuna majeruhi so far., Benzema Leo anaweza akaanza ama akapatiwa muda baadae., Mendy na yeye amerudi, anaweza pia kuanza leo.Leo ni leo qmamake.
Nasikia Modrid hatacheza baada ya kuvunjika goti. itakuaje pale kati?
Twafwaaaaaaa
Mendy na huo uzito wake akibizwe na Di maria tumeishaHizo taarifa umezipata wapi Mkuu., hatuna majeruhi so far., Benzema Leo anaweza akaanza ama akapatiwa muda baadae., Mendy na yeye amerudi, anaweza pia kuanza leo.
#Hasta El final
#VamooosReal
Point ya msingi ni kutumia nafasi tutakazopata vizuri., game ya leo wala hatuhitaji kutawala kwenye kiungo, hii game tunaenda kupiga counter., ila hata hivyo hawana viungo technical sana zaidi ya Marco Veratti wa kutusumbua kihivyo quality yao ipo kwenye forward wao.,Tukiweza kutawala eneo lao la kiungo kazi inakuwa nyepesi sana...lakini na sisi tutumie nafasi zetu tutazopata vizuri.
Si afadhali Mendy Mkuu, Marcelo game ya juzi dhidi ya Villarreal uliona yule Chikuwenze alichokuwa anamfanya!? Mendy kidogo ni mgumu kupitwa,Mendy na huo uzito wake akibizwe na Di maria tumeisha
Saa tano usiku Mkuu saa za Africa Mashariki (23:00hrs)Game saa ngapi
Amepotea kiukweli, ninaona ni afadhali aingie Valverde kwanza ni mzuri kukaba na pili ni mzuri pia kwenye kufanya transition., so ikitokea mishe hapo ya kupiga counter attack basi kijana huwa anafunguka haswa, kuna haja hiyo ya kuwa na mtu wa aina hiyo uwanjani.Asensio atoke game imemkataa