Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,631
- 6,494
Oya jombaa...
Mbona yuke beki aliyetoka Bayern akachukua nafasi ya Ramos simuoni hapo? Kaumia? Ana kadi?
Oya jombaa...
Alaba alipata majeraha kidogo kwenye mazoezi, kwahiyo Leo hatoweza kuchezaOya jombaa...
Mbona yuke beki aliyetoka Bayern akachukua nafasi ya Ramos simuoni hapo? Kaumia? Ana kadi?
Tulia uone mamboHamtaamini mtakavyobamizwa leo
Aisee sijaona, Mimi ninaangalia kupitia channel ya L'equipeWakuu game inaonyeshwa supersport?
Modric ameshindwa kazi kivp Mkuu.,Mechi inaboa, modric ameshindwa kazi.
Mendy & vinicius wamecheza vizuri sana hadi sasa