ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,675
Mariano aondoke tu, ila alie fanya mistake ya kumuachia Achraf Hakimi alitukosea sanaUsimsahau na Mariano Mkuu, jamaa kila mara yupo offside, plus hana foot work nzuri, yaani anachoweza ni kuwania mipira ya juu tu.