Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ila kuna jambo ningependa Mwalimu alifanyia kazi haraka, ni ishu ya rotation., Hawa akina Jović wanahitaji I mechi fitness ili endapo watahitajika basi waendane na kasi ya mchezo, Benzema alitakiwa kupumzika baada ya dakika 90, alionekana kuchoka kabisa, Kroos na yeye alitakiwa kupumzika pia,
Barcelona walioneka wapo na nguvu zaidi maana Xavi alimaliza sub zake zote sita., Sasa karibia nusu ya team imebadilishwa ni lazima uzidiwe
 
Majuzi hapa tulikuwa na debate kati ya Marcelo na Mendy, ninadhani Leo wadau wameona umuhimu wa Mendy na jinsi anavyosaidia kubalance team kwenye ulinzi., upande wake wa kushoto mara nyingi anabaki mwenyewe, upande wa kulia, Carvajal na Asensio walikuwa wanasaidiana na wakati mwingine Militao ana weka ulinzi upande huo ila ninadhani ndio sehemu barca waliona ni nyepesi kupitia,
Dakika za mwisho, Dembele ambaye muda mwingi alikua anamsumbua Carvajal alihamia upande wa kushoto na hapo ndio ilikuwa mwisho wake.,
 
Game ngumu ndo game zetu. We let the opponent to possess. Final ya UCL dhidi ya liva zizou alitumia hii technique. Don Carlo naye kaja nayo kwa staili ta Catenassio. So far xavi bado mchanga sana aseee. Ana mengi ya kujifunza kuwa manager.
Kama yapi mkuu?

Hongereni kwa ushindi watani. Ila I'm very proud of our youngsters. They put up one hell of a fight. We remain optimistic, tutarudi kwenye ubora wetu mapema kuliko mnavyodhani.

Huu msimu kwetu ni kwaajili ya trial and errors. Naamini kuanzia next season, kila mtu ataogopa kucheza na sisi. Ngoja tuendelee kuijenga team taratibu!
 
Kama yapi mkuu?

Hongereni kwa ushindi watani. Ila I'm very proud of our youngsters. They put up one hell of a fight. We remain optimistic, tutarudi kwenye ubora wetu mapema kuliko mnavyodhani.

Huu msimu kwetu ni kwaajili ya trial and errors. Naamini kuanzia next season, kila mtu ataogopa kucheza na sisi. Ngoja tuendelee kuijenga team taratibu!
Shukran sana Mkuu kwa pongezi, mli jitahidi sio mbaya sana, ila team yenye mbinu sahihi ndio ilishinda., mna vijana wazuri sio mbaya na sie tunao wazuri pia, toafuti yetu na nyie wenu wanapewa nafasi ila kwetu kidogo ni ngumu kupata nafasi., msimu ujao hata sie tunajipanga kuongeza makali ndani ya team.,
 
Shukran sana Mkuu kwa pongezi, mli jitahidi sio mbaya sana, ila team yenye mbinu sahihi ndio ilishinda., mna vijana wazuri sio mbaya na sie tunao wazuri pia, toafuti yetu na nyie wenu wanapewa nafasi ila kwetu kidogo ni ngumu kupata nafasi., msimu ujao hata sie tunajipanga kuongeza makali ndani ya team.,
Nakubaliana na wewe. Kitendawili chenu kikubwa kiko pale katikati kwa Casemiro, Modric na Kroos. Sioni kama mnao vijana wanaoweza kudeliver kama wale jamaa. Itakua ngumu sana kufanya transition.

Sehemu nyingine hazina shida. Kijana wenu Vinicious amejielewa sana msimu huu. Amekua na utulivu ambao hakua nao kabisa kabla. I have a feeling, next season Laliga itarudi kutawala European football (UCL).

Maana mkimuongeza na Mbappe pale mbele itakua hatari sana. Sisi tunaweka vitabu sawa tumchukue Haaland. Maana naona hata Perez katulia, anajua umuhimu wa Barca kuwa kwenye form for the sake of Laliga. Msimu wenu huu, enjoy it while it lasts. Tutawapiga sana kuanzia next season!
 
Nakubaliana na wewe. Kitendawili chenu kikubwa kiko pale katikati kwa Casemiro, Modric na Kroos. Sioni kama mnao vijana wanaoweza kudeliver kama wale jamaa. Itakua ngumu sana kufanya transition.

Sehemu nyingine hazina shida. Kijana wenu Vinicious amejielewa sana msimu huu. Amekua na utulivu ambao hakua nao kabisa kabla. I have a feeling, next season Laliga itarudi kutawala European football (UCL).

Maana mkimuongeza na Mbappe pale mbele itakua hatari sana. Sisi tunaweka vitabu sawa tumchukue Haaland. Maana naona hata Perez katulia, anajua umuhimu wa Barca kuwa kwenye form for the sake of Laliga. Msimu wenu huu, enjoy it while it lasts. Tutawapiga sana kuanzia next season!
Ni kweli kabisa, sehemu itakayotusumbua kufanya transition ni kwenye eneo la midfield, na kwa namna tunavyojenga team yetu, bado tunaijenga kwenye mfumo wa 4 3 3, hapo ina maana itabid tutafute mbadala wa Casemiro, Kroos na Modrić, japokuwa sio shida kupata wachezaji wa aina hiyo, ishu inakuja kama wataweza ku offer hao jamaa wanacho offer uwanjani ama itakuwaje!?
Tayari tuna vijana wa kufanya hiyo kazi, Blanco, Camavinga na Valverde., Hawa wana fit mfumo wa team bila shida yoyote, pia tuna vijana wengine ili wacheze vizuri itabid tubadili mfumo kwenda 4 4 2, mmoja akicheza nyuma ya forward, Hawa ni Brahim Diaz na Kubo, Hawa ili wacheze ni club iache kujenga team katika huo mfumo wa 4 3 3, ama mmoja wao awe na uwezo kama wa Modrić, yaani aweze kukaba na kutengeneza mashambulizi, kutu ambacho hao jamaa hawawezi kukifanya, mfumo huo ndio uliomnyima nafasi Isco, James Rodriguez na hata Martin Odegaard., kuna kazi ya kufanya ila ninaamini tutavuka salama kabisa.,
Kwenye suala ka kutufunga nyie msahau hilo kwasasa, bado mna safari ndefu.,
 
Our Supercopa final starting XI
1642356891470.png
 
Game ya leo kidogo ni ngumu kwa kuwa jamaa wapo nyuma wengi sana, so aina ya goli alilofunga Modrić ndio yatatupatia ushindi,
 
So far team imecheza vizuri, muda mwingi tupo na mpira kwa kuwa jamaa wameamua kutulia golini kwao huku wakisubiri tupoteze mpira, wafanye mashambulizi ya kushtukiza na set pieces, mpaka sasa hawajafanikiwa ila ndio silaha zao kubwa, suala la msingi ni vijana wetu kuwa makini tu muda wote.,
 
Back
Top Bottom