Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

PSG wenyewe wako kimyaaa, wanasubiri muda ufike wampapase mtu. Messi anakuja Bernabeu to terrorise it as usual. PSG hawana team chemistry ya uhakika, ila wako na world class players wanaoweza kuamua matokeo kwenye mechi muhimu. Ngoja tuone itakua vipi.

Anyway, niliangalia derby yenu na Atletico, mlicheza poa sana.kale katoto ka Vinicious kameanza kua na akili, siku hizi kameacha mambo mengi yasiokua na msingi. Karim Benzema pia naona yuko on fire msimu huu.

So far, nadhani mbio za laliga mmemaliza kwa ile game ya Atletico. Unless mvimbe kichwa, mshindwe kumaintain your position.

Mimi naenda kuchukua Europa League, Thursdays aren't that bad anyways!


 
Hello Madridistas., baada ya kufanya vizuri game 10 mfululizo, safari hii tutakipiga dhidi ya Cadiz weekend, sio game ngumu sana kihivyo ila jana la Covid-19 limetudondokea tena, tuna wachezaji 6 kikosi cha kwanza waliokutwa na shida hiyo, kwahiyo hapa tuna game mbili tutakazocheza bila ya hao vijana wetu, tuombee tu cases zaidi zisiibuke.,
 
Kumbe game ya jana tumeshinda!
Nilikua sijui. Benzema anashine wakati jua linazama 😀😀
Game mbili zilinipita hivi hivi bila hata kuangalia, Leo ndio nimepata muda wa kuangalia highlights.,,
Benzema kiukweli msimu huu amekuwa wa kipekee kabisa, ninadhan na uwepo wa ushindani na Vinicius unampa morali wa kujituma zaidi. Yote kwa yote ni nzuri kwa team.
#HalaMadrid
 
"A team is built exactly in that way, getting the most out of every player, whatever they can best bring to the team. Everyone needs to best work out what they can do and put it to the service of their teammates. It’s also the work of the coach, and at Real Madrid we’re getting that balance. Some players have more skill, others are more committed, and some put in more physical effort than the others. Everyone is vital and useful. A team is built by mixing the technical, physical and tactical abilities of each one of its players. That’s what Madrid is doing and that’s why they are competing so hard"

Nimependa sana hiki kipande kwenye interview aliyofanyiwa Ancelotti., utaona aina ya Mwalimu tuliye nae.
 
Pamoja na usingizi mkali club za la liga zinazopitia nadhan los blancos tunaweza utumia kama fursa ni kama kipindi lecester city anatwaa EPL klabu za england almost zoote zilikuwa kwenye usingizi wa pono.
 
.
internationalchampionscup-20211231-0001.jpg
 
Baada ya mapumziko mafupi ya Sikukuu za mwisho wa Mwaka, Leo vijana wetu wanarudi tena dimbani, Leo tutakuwa ugenini tukiwakabili Getafe.
 
Hapo juu ndio kikosi chetu kitakachoanza dhidi ya Getafe, kuna mabadiliko kidogo tu, Leo Vinicius Jr hatakuwepo kikosini, hii ni kutokana na kugundulika na virus vya Corona, na nafasi yake atacheza Rodrygo, mwingine ni Vasquez anayechukua nafasi ya Carvajal.,
Tumaini ni moja tu Ushindi.
#HalaMadrid!!
 
Back
Top Bottom