Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Madrid yetu inazidi kupendeza nafurahishwa na mna tunaendelea wapa nafasi vijana
Hawa watoto wakifikia time ya kucheza pamoja na wakazoeana litakuwa bonge la timu hili...majirani R.I.PMadrid yetu inazidi kupendeza nafurahishwa na mna tunaendelea wapa nafasi vijana



Pale hakuna timu ya kubeba UEFA.Nafikiri tu Ancelot ukuta wake ungekuwa vizuri nadhani UEFA hii ingekuwa imeisha iyo...14th![]()
Rodrygo kiukweli kwa goli analijua vizuri, shida kijana amekosa tu nyama, ninadhan atajaribu kufanya mazoezi kama mwezie Vini anavyofanya na alivyobadilika kwasasa,.Vini sitegemei kama atabadilika sana, kaanza kucheza ligi kuu kwao huko tangu ana miaka 16 hadi leo ana 21 na bado yupo vilevile, tegemea leo akicheza vizuri kesho hovyo. Rodrygo goli huwa analijua ni basi tu huwa hapewi sana nafasi.
Kwa vigezo vipi, mpaka uone hakuna team ya kubeba UCL?Pale hakuna timu ya kubeba UEFA.
Dogo jana alinifurahisha sana, yaani ile combination na Valverde utadhani wamecheza pamoja miezi kumbe hata week mbili hawana,Hata assist aliyopiga Camavinga nayo alitulia sana. Madogo wapo vizuri. Ni swala la muda tu.
Kabisa Mkuu, dogo nilikuwa ninaona kama yupo slow hivi, ila ana utofauti sana. Nina matumaini ataimarika zaidi kadri siku zinavyokwenda.Alie tuletea Camavinga ametutendea haki
Unazungumzia uefa ipi wewe.? Unayifahamu Chelsea kwanza??Nafikiri tu Ancelot ukuta wake ungekuwa vizuri nadhani UEFA hii ingekuwa imeisha iyo...14th![]()
Afadhali wewe umesema ukweli.Pale hakuna timu ya kubeba UEFA.
Uefa hii ambayo tunachukuaga back to back vile tukiamuaga wenyewe.Unazungumzia uefa ipi wewe.? Unayifahamu Chelsea kwanza??
Hesabu misimu minne au mitano mbele uko ndio uanze kufikiria kuhusu kubeba uefa mkuu.Uefa hii ambayo tunachukuaga back to back vile tukiamuaga wenyewe.
Jana aisee majukumu yalinibana nikashindwa kuangalia game yetu aisee, nilitarajia game ngumu sana kutoka kwa Valencia, huu ushindi ulikuwa wa umuhimu sana, ndio aina ya game zinazokupa ubingwa.Jana tumeupiga mwingi kama hakuangalia game ya jana umekosa burudani Valencia wanajua , mpira ulikua na ufundi mwingi sana pasi za haraka kwema impossible angels , speed ya mchezo in short nme enjoy hata kama tunge fungwa nisinge umia
Dogo amekuwa, sikufanikiwa kuangalia game, Leo baada jioni itabid niangalie marudio niwe na amani kiukweli, kuifunga Valencia home kwao ni shughuli pevu.Ni Vini Jr tena.
Mechi ilikua Ngumu sana. Ila madogo wameendelea kuonyesha fighting spirit.
Labda kama una rafiki Ulaya Mkuu anunue akutumie, hizi za Bongo nyingi ni copy man.Wakuu third kit ya Madrid ntaipata wapi ndani ya wiki hii,maana wameitambulisha juzi tu hapo naipata kweli kabla ya j5..View attachment 1945470