Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

1st goal.Vinicius
1632119155538.gif
 
Dogo amekuwa, sikufanikiwa kuangalia game, Leo baada jioni itabid niangalie marudio niwe na amani kiukweli, kuifunga Valencia home kwao ni shughuli pevu.
Acha kabisa.. Ilikua shughuli ngumu sana. Jamaa walitubana haswa. Walipotupiga lile moja nikajua ngoma imelala. Ila kama kawaida yetu, mpira unaisha pale filimbi inapolia
 
Hiv huyu mendy aliumiaga nn mbona harud uwanjani muda sana?
Kijana aliumia hata kabla ya msimu uliopita haujaisha, pre season yote alikuwa kwenye program maalumu ya matibabu, baadae ikaonekana kama yupo poa, game kabla Celta Vigo akapata tena shida, mpaka sasa haijajulikana atarudi uwanjani lini,
 
Real madrid starting XI vsMallorca;
Courtois; Nacho, Militao, Alaba, Miguel Gutierrez; Camavinga, Valverde; Rodrygo, Asensio, Vinicius; Benzema.
 
Our starting XI vs Villarreal ;
Real Madrid's starting XI: Thibaut Courtois; Nacho Fernandez, Eder Militao, David Alaba, Fede Valverde; Casemiro, Luka Modric, Marco Asensio; Rodrygo, Karim Benzema, Vinicius Junior
 
Back
Top Bottom