Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kweli walipambana, si unaona mbeleko ya Refa haikuwasaidia Sevilla? Bado tuna game 3 so kula mtu ashinde mechi zake, matokeo ya mwisho ndio yatakayoamua.
Ukweli mchungu, ningependa mshinde laliga ila Barca wana advantage zaidi yenu na ATM
 
Mimi bado naamini tunatakiwa tufanye reform ya hii timu kuanzia benchi la ufundi,waliopo wengi wameshashinda kila kitu kwa hiyo hawana morali....kwa sababu unaona kabisa mnafikia sehemu kwenye peak yakupata ushindi ila huon timu ikicheza kwa jasho na damu..

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Sema hawakusikii wala kukuona
 
Zidane alifeli Sana aliporudi Tena kwenye hili timu.

Baada ya kubeba zile ndoo tatu mfululizo za UEFA basi Angelinda heshima yake tu.x

Sasa kajirudisha angalia aibu yake.
 
Back
Top Bottom