Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Tunaenda kipindi cha pili umakini unahitaji Mkubwa sana, ningependa Zidane afanye mabdiliko turudi kwenye 4 3 3, huu mfumo wa sasa unawaletea shida vijana weu
 
Nimeamka kuchungulia matokeo. Sijafurahishwa kabisa na haya matokeo. Afadhali sijaenda kibanda umiza, ningepoteza muda wangu bure
 
Nimeamka kuchungulia matokeo. Sijafurahishwa kabisa na haya matokeo. Afadhali sijaenda kibanda umiza, ningepoteza muda wangu bure
Usiwe unahuzunika na matokeo Mkuu, huu ni mpira wa miguu boss chochote kinaweza kutokea., vijana wamejitahidi sana kucheza kwa malengo, hatuna team bora so walichofanya ni sahihi ni kuzuia tusifungwe huku tunaweka mipango yetu sawa, Hawa wanaweza kuona ni big deal kutoa draw kwetu wakati sie tuna timing zetu.
Labda mambo yabadilike ila second leg watakutana na team ya tofauti kabisa. #HalaMadrid
 
Marcelo na Carvajal watoke,waingie Asensio na Hazard au Isco
Kiukweli mfumo haukuwa rafiki kwa team japokuwa ulitusaidia kuwa hold, ila tulipocheza 4 3 3 team ilianza kucheza vizuri, kwasababu Luka na ko
Kroos walirudi kati kati., ninajua Zidane alipanga vile kutokana na wachezaji waliopo, ila second leg Mendy na Valverde wakiwa fit itatusaidia sana kwasababu anaweza kupiga 4 4 2 mfumo ambao utatusaidia kutengeneza mipango na kushambulia kutokea kati kati.
 
Usiwe unahuzunika na matokeo Mkuu, huu ni mpira wa miguu boss chochote kinaweza kutokea., vijana wamejitahidi sana kucheza kwa malengo, hatuna team bora so walichofanya ni sahihi ni kuzuia tusifungwe huku tunaweka mipango yetu sawa, Hawa wanaweza kuona ni big deal kutoa draw kwetu wakati sie tuna timing zetu.
Labda mambo yabadilike ila second leg watakutana na team ya tofauti kabisa. #HalaMadrid
Hahaahah angalia huyu takataka
 
La

Kante anaonekana kucheza vema kati kati ya uwanja, ni kwasababu sie hatupitii kati kati, ukiangalia hapo kati yupo Casemiro peke yake Toni na Luka wapo kwenye wings wakisaidia na wings back wetu huku Benzema na Vinincius wakitakiwa kuwa kati kati ndio maana unaona mfumo haupo Sawa., nafasi ya Vinincius anatakiwa awepo Marcelo ili apeleke mipira kitu ambacho hafanyi na mwezie Dani, so hapo ndio tulipokwama mpaka sasa.
Sio kwamba Marcelo alikuwa hafanyi. Alifanya sn lkn aliacha gape nyuma Kante akawa anapita na kuwasababishia kosa kosa golini kwenu.


Kw kifupi tu ni kwamba Thomas Tuchel alimzidi mbinu Zidane na ndio sbbu kipindi cha pili Zidane alitulia na kua na nidhamu na timu yake wakawa hakurupuki tena wakawa solid na kua tactically sn
 
Kiukweli mfumo haukuwa rafiki kwa team japokuwa ulitusaidia kuwa hold, ila tulipocheza 4 3 3 team ilianza kucheza vizuri, kwasababu Luka na ko
Kroos walirudi kati kati., ninajua Zidane alipanga vile kutokana na wachezaji waliopo, ila second leg Mendy na Valverde wakiwa fit itatusaidia sana kwasababu anaweza kupiga 4 4 2 mfumo ambao utatusaidia kutengeneza mipango na kushambulia kutokea kati kati.
Mkicheza 4+3+3 ndio mtafungwa kirahisi sn ni bora ata mlivyocheza 3+5+2. Sema Vini Jr ndio alie kuwa anawaangusha kuja kuchukua mipira kw viungo na kuipeleka mbele. Benzima ndio alikua anashuka kupokea mipira.
 
Mkicheza 4+3+3 ndio mtafungwa kirahisi sn ni bora ata mlivyocheza 3+5+2. Sema Vini Jr ndio alie kuwa anawaangusha kuja kuchukua mipira kw viungo na kuipeleka mbele. Benzima ndio alikua anashuka kupokea mipira.
Hapana Mkuu, formation ya 4 3 3 ndio vijana wetu wameizoea, kwenye hii formation kila mmoja anawajibika ipasavyo, kama uliangalia game vizuri kipindi cha pili tulitumia huo mfumo na team ilicheza vema, game ya marudiano Zidane atatumia huo mfumo na kama Valverde atakuwa amerejea kikosi I basi tutatumia 4 4 2.
 
Mkicheza 4+3+3 ndio mtafungwa kirahisi sn ni bora ata mlivyocheza 3+5+2. Sema Vini Jr ndio alie kuwa anawaangusha kuja kuchukua mipira kw viungo na kuipeleka mbele. Benzima ndio alikua anashuka kupokea mipira.
Atalanta anacheza formation gani?

Madrid amempiga Atalanta kwa formation gani?

Naamini Madrid jana angeshinda kama angecheza formation yake ya siku zote.

Benzema kushuka kufuata mipira ni kawaida na formation ya kila siku inafanya wingers wawe free.

Next game kama kuna watu watakua sawa (Mendy) inawezekana ikachezwa 4 3 3
 
Sio kwamba Marcelo alikuwa hafanyi. Alifanya sn lkn aliacha gape nyuma Kante akawa anapita na kuwasababishia kosa kosa golini kwenu.


Kw kifupi tu ni kwamba Thomas Tuchel alimzidi mbinu Zidane na ndio sbbu kipindi cha pili Zidane alitulia na kua na nidhamu na timu yake wakawa hakurupuki tena wakawa solid na kua tactically sn
Marcelo jana ndio alikuwa weak point ndani ya team pamoja na mwenzie Dani(huyu ni Sawa kuwa vile kwasababu ametoka majeruhi plus huu mfumo ni mgeni kwake). Marcelo jana alikuwa hakabi wala hasha bulimia, muda mwingi alikuwa anaacha gap hii ilisababisha badala ya Kroos kupanga mipango akawa anafanya kazi tena ya kuziba nafasi ya Marcelo maana Nacho alizidiwa., second leg kama Mendy akirejea na Valverde kikosini tutakuwa na team ya ushindani.
 
Atalanta anacheza formation gani?

Madrid amempiga Atalanta kwa formation gani?

Naamini Madrid jana angeshinda kama angecheza formation yake ya siku zote.

Benzema kushuka kufuata mipira ni kawaida na formation ya kila siku inafanya wingers wawe free.

Next game kama kuna watu watakua sawa (Mendy) inawezekana ikachezwa 4 3 3
Exactly Mkuu, kilichofanya jana Zidane akapanga kikosi kile ni kutokana na kukosa wachezaji wa ku fit kwenye formation yetu ya 4 3 3 ama 4 4 2, na hili ni kutokana na kumkosa Mendy na Valverde., Marcelo kiukweli sio yule wa zamani, zamani zimempita, huwezi kumtegemea kama beki, hebu fikiria jana licha ya kuwekewa mtu wa kumsaidia bado ule upande tulizidiwa sana, na Chelsea kule waliona ndio kwenye mapungufu ndio maana walipendelea sana kupitia ule upande, Sasa ukiwa na Mendy pale unajua una beki, so hapo Beki wa kati watafanya majukum yao poa kati Casemiro na wenzake watakuwa na kazi tu ya kudeal na viungo wenzio, hapo ndipo Ufanisi wa team utauona.
 
Hapana Mkuu, formation ya 4 3 3 ndio vijana wetu wameizoea, kwenye hii formation kila mmoja anawajibika ipasavyo, kama uliangalia game vizuri kipindi cha pili tulitumia huo mfumo na team ilicheza vema, game ya marudiano Zidane atatumia huo mfumo na kama Valverde atakuwa amerejea kikosi I basi tutatumia 4 4 2.
Nakwambia kabisa mkuu mkicheza 4 3 3 mnatakuwa na hatari ya kufungwa kirahisi kwsbbu hao wachezaji wenu wa huko mbele yaani Vini Jr na Asensio na Benzima ni wavivu kukaba kwahiyo timu muda wote itakua na wachezaji saba tu.


Sasa kwa huu mfumo Chelsea itawasumbua. Bora mcheze 3 4 3. Sio 3 5 2 ya jana. Kidogo mkifanya hivo mtatupa tabu lkn pia Zidane hawezi kucheza na viungo wawili tu hapo kati maana Toni na Modric ni viungo wazuri sn lkn ni Wazee hawawezi kukimbia sn hawana kasi kabisa na ndio sbbu wao ni mafundi wa kutoa pasi tu.


Casamiro yeye ni fundi wa kukaba tu.... Lkn sio kuchezesha timu. Sasa Kz kwenu. Mcheze 4 3 3 au mbadilike.
 
Exactly Mkuu, kilichofanya jana Zidane akapanga kikosi kile ni kutokana na kukosa wachezaji wa ku fit kwenye formation yetu ya 4 3 3 ama 4 4 2, na hili ni kutokana na kumkosa Mendy na Valverde., Marcelo kiukweli sio yule wa zamani, zamani zimempita, huwezi kumtegemea kama beki, hebu fikiria jana licha ya kuwekewa mtu wa kumsaidia bado ule upande tulizidiwa sana, na Chelsea kule waliona ndio kwenye mapungufu ndio maana walipendelea sana kupitia ule upande, Sasa ukiwa na Mendy pale unajua una beki, so hapo Beki wa kati watafanya majukum yao poa kati Casemiro na wenzake watakuwa na kazi tu ya kudeal na viungo wenzio, hapo ndipo Ufanisi wa team utauona.
Yaani kuwadhibiti viungo wa Chelsea ni kz kubwa. Na mtakuja kuona hiyo jumatano ata km mkawapiga man to man. Pulisic na Mount wanashuka chini kuchukua mipira na hapo tayari viungo wenu wanakua wanavurugwa. Na mabeki wenu wa kati wakisema na wao wawafate hawa waliposhuka kuchukua mipira Wingbacks nao wanakuwa wamepanda mbele wanatishia nao wao. Yaani kz mnayo sn. Game yenu na Liverpool ilikuwa rahisi sn lkn hii Chelsea inaonekana kuwa ngumu sn kwenu
 
Usiwe unahuzunika na matokeo Mkuu, huu ni mpira wa miguu boss chochote kinaweza kutokea., vijana wamejitahidi sana kucheza kwa malengo, hatuna team bora so walichofanya ni sahihi ni kuzuia tusifungwe huku tunaweka mipango yetu sawa, Hawa wanaweza kuona ni big deal kutoa draw kwetu wakati sie tuna timing zetu.
Labda mambo yabadilike ila second leg watakutana na team ya tofauti kabisa. #HalaMadrid
Wengi Bado wanadhani hii ni Chelsea ya Lampard.
Nawakumbusha hii ni Chelsea ya T.Tuchel.
 
Back
Top Bottom