ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,675
Militao half Man half animal



Huko Ulaya Kimeumana, hii ishu ya Super league ni ya muda mrefu sana Perez yeye alikuja kuongezea petrol tu kwenye moto, na ishu kubwa hapo ni fedha, UEFA wanachukua mpunga mrefu sana kwa Wadhamini na ishu ya baadhi ya vilabu kupush fedha iongezeke imekuwa shida so jamaa wameamua kuingia upande wa pili, nimeona kuwa waanzilishi wa hii kitu watapata. €3.5B🚨🚨😱 BREAKING: All Champions League and Europa League games have been temporarily cancelled.
There will be an extraordinary meeting from UEFA tomorrow and PSG could be crowned UCL champions.
[via BBC Sport]
Hapa nahisi PAPA PEREZ ndo mchokoza mada afu anataka ingiza chaka watu. Barca rais wao kabadili gia angani kama LIPUMBA
Nyie endeleeni na maandalizi, atakuwepo langoni wala msiwe na shaka.Oyaa mmejipangaje?
Mwekeni Qotwaa golini msaliti yule aoge magoli.
#CFC![]()
Watatoana roho hakyananFlorentino Perez, first Super League chairman
Kwenye pesa ndipo akili na Florentino ilipo, acha tuone hili saga litaisha vp kwanza tukizingatia kuwa Uefa wapo kwenye kikao muda huu
Hatari na nusu na Perez ndio anaonekana kiongozi wa Waasi,
Sidhani kama kutakuwepo na impact yoyote, hata hivyo hakuna favor tunayopata sio kwenye UCL ama La Liga. Suala la msingi ni kuwa na kikosi bora tu tutaenda nao Sawa hao majamaa., Ishu ya European super league sio ya Real Madrid pekee japokuwa sie tuna mchango mkubwa kwenye uundwaji wake., acha tuone itakavyokuwa huko mbeleniBaada ya ESL kukwama naona maamuzi ya ndani ya uwanja kuwa yakikatili sana kwa upande wetu.
Papa Peres kakichafua au kutingisha kiberiti kunaweza leta impact yoyote ndani ya uwanja.
Sina uhakika kama kutakuwepo na adhabu yoyote kwa vilabu vilivyo taka kuunda Super league, mihemko ilikuwa mingi sana ati Rais wa UEFA anasema kuwa atafungia wachezaji kucheza World cup, kwa uwezo upi? Kuwapa adhabu ni kama kuongeza petrol kwenye moto, sio ajabu ndio watawapa sasa uhalali wa kuunda hiyo Super leagueSema hili swala ni kuwa kama ikitokea hivi vilabu 12 vikapewa adhabu,basi vilabu vilivyobaki navyo vikidinda kuungana na hivi 12 ni wazi UEFA watapata shida sana na ni wazi kuwa watakubaliana na madai ya wote.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Nacho... Nacho... Nacho
Amekuwa mtamu Uzeeni, performance yake na Miltao kwasasa ni mlango wa kutokea wa Ramos, sioni club ikimlilia kama kipindi kile,Huyu jamaa alikuwaga hamna kitu ila saiv kawa moto kweli
Jamaa anapiga kazi balaa.Huyu jamaa alikuwaga hamna kitu ila saiv kawa moto kweli