mwaka jana eti..ebu weka mfululizo wa zaidi ya mwaka jana hapa. Man city taka taka tu kwetu
Mzee sisi huku hatunaga muda wakubishana unawaangalia tu baadae wanalud kwenye majukwaa yao
mwaka jana eti..ebu weka mfululizo wa zaidi ya mwaka jana hapa. Man city taka taka tu kwetu
Lugha yake tu imenipa jibuMzee sisi huku hatunaga muda wakubishana unawaangalia tu baadae wanalud kwenye majukwaa yao
Mashabiki wa EPL hao.. Ni kuwapotezea tu.. Madrid inawapa maumivu sana, hawawezi isifu wala kuipa nafasi kitu ambacho ni kizuri pia, maana inawaongezea maumivu juu ya maumivuKwa muda mrefu nimekua nikisikiliza wachambuzi wa vipindi vya michezo Tanzania, wengi wao kama sio wote hua hawaikubali Madrid kama inaweza kuchukua kikombe chochote.
Hata zile back to back to back wachumbuzi wengi walikua hawaisemi wala kuipa nafasi Madrid na hata mechi dhidi ya Atalanta na Liverpool wachambuzi wa Tanzania walisema tutaondolewa kwenye michuano.
Ni kwamba hawaujui ubora wa Madrid au mahaba yanawapa Upofu?



Ukiwapa jina la wachambuzi utakuwa unawapa cheo kikubwa sana, ni wasimuliaji wa matukio yaliyotokea uwanjani, ila hawapo technical na hawapo well informed, sana sana wanachoweza ni kuzungumzia team za Uingereza kwanza kishabiki. Kwahiyo usitegemee kupata technical analysis kutoka kwao haswa kwenye team za nje ya England.
Unamsikiliza mtu anaongea unaamua kuzima radio kwa kuwa unaona unajua kuliko yeye., ninataka waendelee hivi hivi ku underate team yetu ili wajifunze kufuatilia mambo.
Ramos utaifa ndo unambeba pale. Wanamtengenezea ulegend pale.Ramos watamuacha tu, kwa umri wake hana nguvu tena kwenye negotiation table. Ronaldo aliondoka sababu waliona kwa umri wake hastahili tena mshahara mnono sembuse Ramos ambae rahisi kabisa kumreplace. Kroose na Modric hawana longo longo sababu wanajua kwa walipofikia hawana nguvu ya kutaka mambo makubwa tofati na Ramos ambae haishi kwenye uhalisia.
Ramos, kroose na Modric bado wanaanza sababu Madrid inajenga uwanja hivyo inabidi wawakamue hawahawa ila kama mchezaji mwenyewe anajipandisha gharama hawana haja tena ya kubaki nae hata kama ni mhispaniola. Tena Ramos ni rahis zaidi kumuondoa sababu ni beki ambae yupo above average kidogo ( kundi moja na pique) kinamchomtofautisha na wengine ni uwezo wa kufunga kwa kichwa, sasa kwa timu beki kufunga huwa ni bonas tu.Ramos utaifa ndo unambeba pale. Wanamtengenezea ulegend pale.
Si tuna Alaba tayari..Ramos, kroose na Modric bado wanaanza sababu Madrid inajenga uwanja hivyo inabidi wawakamue hawahawa ila kama mchezaji mwenyewe anajipandisha gharama hawana haja tena ya kubaki nae hata kama ni mhispaniola. Tena Ramos ni rahis zaidi kumuondoa sababu ni beki ambae yupo above average kidogo ( kundi moja na pique) kinamchomtofautisha na wengine ni uwezo wa kufunga kwa kichwa, sasa kwa timu beki kufunga huwa ni bonas tu.
Hatuwezi kuwapata wote hao kwenye dirisha moja kwanza anaweza asije yeyote sababu kuna viungo inabidi wanunuliwe ambao ni muhimu kwa sasa kuliko hao, pia vinicius alinunuliwa ili kuepuka hizo gharama za mastar plus kuna Hazard tayari.Si tuna Alaba tayari..
Kuna wachezaji nadhani mwisho wa msimu watauzwa ku fund manunuzi ya Heeland na Mbape..
Jovic, Isco, Varane, Ramos, Bale, Mariano, Odriozola na Marcelo.. Hawa wanaweza kuondoka. Kama deal la Mbape au Heeland au wote wawili litakaa sawa.
Hazard hamna kitu hapo.. Huyo mwenyewe anaweza ondoka.. PSG wenyewe sahizi washaanza kujiandaa na mbadala wa Mbape..Hatuwezi kuwapata wote hao kwenye dirisha moja kwanza anaweza asije yeyote sababu kuna viungo inabidi wanunuliwe ambao ni muhimu kwa sasa kuliko hao, pia vinicius alinunuliwa ili kuepuka hizo gharama za mastar plus kuna Hazard tayari.
Hao wachezaji uliowataja hata wakiuzwa wote bado hawajafika bei ya mchezaji mmoja na hapo bado mshahara. Mapato yamepungua na bado tunajenga uwanja. hao wachezaji sio tu madrid bali wanaweza wasipate timu yoyote msimu huu inayoweza kuwanunua. Kumbuka tukiuza hao wachezaji unaosema lazima wanunuliwe wengine kuziba nafasi, bado Kunahitajika mbadala wa modric na kroose.Hazard hamna kitu hapo.. Huyo mwenyewe anaweza ondoka.. PSG wenyewe sahizi washaanza kujiandaa na mbadala wa Mbape..
Tukifanikiwa kuwauza hawa mmoja wapo au wote wawili wanaweza chukuliwa.
Tusubiri muda utaongea.Hao wachezaji uliowataja hata wakiuzwa wote bado hawajafika bei ya mchezaji mmoja na hapo bado mshahara. Mapato yamepungua na bado tunajenga uwanja. hao wachezaji sio tu madrid bali wanaweza wasipate timu yoyote msimu huu inayoweza kuwanunua. Kumbuka tukiuza hao wachezaji unaosema lazima wanunuliwe wengine kuziba nafasi, bado Kunahitajika mbadala wa modric na kroose.
Hazard hawezi kuuzwa bila kumpa muda apandishe kiwango ili bei iwe nzuri sokoni. Me sioni madrid ikisajili yeyote kati yao.




...Natamani na natumaini Mbappe atue kwetu atatuongezea nguvu sanaHao wachezaji uliowataja hata wakiuzwa wote bado hawajafika bei ya mchezaji mmoja na hapo bado mshahara. Mapato yamepungua na bado tunajenga uwanja. hao wachezaji sio tu madrid bali wanaweza wasipate timu yoyote msimu huu inayoweza kuwanunua. Kumbuka tukiuza hao wachezaji unaosema lazima wanunuliwe wengine kuziba nafasi, bado Kunahitajika mbadala wa modric na kroose.
Hazard hawezi kuuzwa bila kumpa muda apandishe kiwango ili bei iwe nzuri sokoni. Me sioni madrid ikisajili yeyote kati yao.
Mchambuzi pekee ambae hayuko bias sana ni George Ambagile tu. Wengine hamna kitu.Upo sahihi sana,hawa wasimuliaji wa matukio akili yao siku zote na wakat wowote wanajua timu za uingereza ndio bora wakat ukwel siyo,cha pili mara zote madrid huwa haipewi nafasi yakushida kwa sababu wanaongozwa na mihemko hawaangalii ubora wa timu ya madrid wanaangalia namna gan timu inayocheza na madrid inavyofunga magoli bila kuangalia namna gan madrid inaweza kuzuia nakufunga,na hiki ndio kilichowapata Juventus,Atletico and Liverpool na pia ndio kitachowatokea ambao tutaingia nao fainal.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Kikosi cha leo kimekaaje. Nimepata habari majeruhi ni wengi kiasi kwamba watu wanamnanga ZIZOU kwamba leo itabidi nae aingie uwanjani acheze kwani ameruhusu youngstars wengi muhimu kuuzwa au kuwekwa kwenye mikopo. Sasa leo sijui itakuwaje.
HALLA MADRID
Mpaka sasa Courtois ndio ametuweka mchezoni laa sivyo tungekuwa tumeshaoga sio chini ya goli 3.Hii game leo tukipona bahati.. Defensive errors zimekua nyingi sana