Usinifokee
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,503
- 3,514
Real Madrid shenzi zenu.... Kwani mngetoka draw first half mngejinyea
Muda nimemuona Suarez ni wakati anatoka muda wa sub.

Yap angeongeza ufanisi sana eneo lakeAngekuwepo jana Fede, Atletico wangeisoma namba vibaya sana.
Huyu dogo hakui kabisa ana kaa sana na mpira, dribble zisizo na faidaIla kuna huyu Vinicious jr mpka sasa sijawahi muelewa kwa kweli. Namuona kama bado ana utoto utoto hivi.