Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Yaani ukishangaa ya Madrid unakutana utopolo original kutoka Catalonia. Nimepitia kwenye mitandao naona wanalialia tu eti Refs hakuwafanyia haki. Sijui lini wataacha kulia
 
Yaani ukishangaa ya Madrid unakutana utopolo original kutoka Catalonia. Nimepitia kwenye mitandao naona wanalialia tu eti Refs hakuwafanyia haki. Sijui lini wataacha kulia

Wale siku wakipigwa 5 bila ndio ntaamanika
 
Kama Vinicious jana kacheza ovyo tu..sijui kwanini hakumtoa
Hii mi naiona tofauti na wewe.. Dogo amekua msumbufu sana mechi za hivi karibuni, kwahiyo inawezekana jamaa walijiandaa kumdhibiti, hawakumpa space kabisa. Ila ikawa msaada kwa wengine kua free.
 
A big second half awaits.


ElXQvRvXgAEJIp1
 
Back
Top Bottom