PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 13,261
- 22,143
James Rodriguez anafanya mabalaa everton
Haya makelele ya kulia kuhusu James au Bale yaishe kwasababu jamaa walikuwa kwenye squad lakini hawa kujituma, kwahiyo bora wakae hukohuko
James Rodriguez anafanya mabalaa everton
Mkuu, Hio Sio Kauli Ya Sawa!!!!!!!Haya makelele ya kulia kuhusu James au Bale yaishe kwasababu jamaa walikuwa kwenye squad lakini hawa kujituma, kwahiyo bora wakae hukohuko
Mkuu, Hio Sio Kauli Ya Sawa!!!!!!!
Acha siasa chief!!!Watu wanaifatilia hii timu kindakindaki kuliko unavyofikiri.Mkuu mimi naangalia kila mechi ya Real Madrid hata kama ni ya kirafiki kwa msimu wa 12 sasa. Bale was the worst attacker between the BBC. Since the time of Ancelotti Bale was a dought. James was a question since he joined the squad. Kulikuwa na ubishi nani aanze kati ya Isco au yeye. Isco is lazy and everyone knows, sasa kama watu wana kupambanisha nae, you're not Real Madrid material.
I don't like the way they used to trash Zidane while we were champions already
Acha siasa chief!!!Watu wanaifatilia hii timu kindakindaki kuliko unavyofikiri.
Yani, kisa upo active katika jukwaa, ndio uwe na uthubutu wa kutuambia eti usajili wa James ulikuwa wa mashaka tangu mwanzo!
Hili si wewe tuuu, mostly jamaa mlio active sana, hata majukwaa mengine yale, Arsenal, Man U, Chelsea, Barca n.k, Yani raia mlio active hamtaki "kuchalenjiwa". Its like nyi ndo mna mapenzi sanaaaaa na timu.Acheni uduanzi.Huku mtaani, kuna watu, wana mapenz ya timu kiasi kwamba hata akikukuta unacheza PS, af ukachagua timu anayoipenda,mfano Arsenal, af ukafungwa, anaumia!!!!!!!!Na hiyo ni play station tuuuu.
HahahaLeo tumeoneshwa udhaifu wa timu yetu sasa tunaomba mabadiliko yafanywe
Hatuna team hapaLeo tumeoneshwa udhaifu wa timu yetu sasa tunaomba mabadiliko yafanywe
Hatuna team hapa
Are you serious Bale, the worst attacker?Mkuu mimi naangalia kila mechi ya Real Madrid hata kama ni ya kirafiki kwa msimu wa 12 sasa. Bale was the worst attacker between the BBC. Since the time of Ancelotti Bale was a dought. James was a question since he joined the squad. Kulikuwa na ubishi nani aanze kati ya Isco au yeye. Isco is a lazy and everyone knows, sasa kama watu wana kupambanisha nae, you're not a Real Madrid material.
I don't like the way they used to trash Zidane while we were champions already

Watu bana saa zingine tuna sahau mapema