Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kesho chama linarudi uwanjani likiwa full mkoba full mauaji ..nimemiss kufurahi na kukosa furaha na madrid
 
Wakuu napitwa na uhondo. Naomba mwenye link ya mpira wa madrid anitumie.
 
Timu imecheza vyema,inaendelea kuimarika baada yakurudi kutoka katika mapumziko ya lazima.


Tall sema tumepata pointi tatu, lakini kiukweli hii timu wachezaji wenye mishahara mikubwa ndio wanazingua kabisa, kwa mfano, huyu Bale alifuata nini uwanjani? Si bora angepewa nafasi mtu kama Brahim au Mariano.
 
Tall sema tumepata pointi tatu, lakini kiukweli hii timu wachezaji wenye mishahara mikubwa ndio wanazingua kabisa, kwa mfano, huyu Bale alifuata nini uwanjani? Si bora angepewa nafasi mtu kama Brahim au Mariano.
Upo sahihi kabisa. Tungecheza na timu nzuri ingekula kwetu. Hatutengenezi passing spaces, na tunaacha gapes sana za kupenyeza mipira. Tungecheza na timu ipo clinical tusingepona. Hope tuta improve with time.
 
Upo sahihi kabisa. Tungecheza na timu nzuri ingekula kwetu. Hatutengenezi passing spaces, na tunaacha gapes sana za kupenyeza mipira. Tungecheza na timu ipo clinical tusingepona. Hope tuta improve with time.


One of the boring games of the season. Zidane ana kazi kubwa sana, na hizi tetesi kwamba hataki kusajili msimu huu, we acha tu.
 
Back
Top Bottom