Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

vp popoma bado upo

Unajua nini...
Ushindi usiokua na faida kwangu naonaga loss tu. Loss ya muda, nguvu na pesa.

Sasa kama Madrid tunashinda game zetu, na Barca nao wanashinda zao kama kawa maana yake nini. Kombe wanabeba wao.

Sasa hizi shindi zenu zinakua hazina maana.
 
Unajua nini...
Ushindi usiokua na faida kwangu naonaga loss tu. Loss ya muda, nguvu na pesa.

Sasa kama Madrid tunashinda game zetu, na Barca nao wanashinda zao kama kawa maana yake nini. Kombe wanabeba wao.

Sasa hizi shindi zenu zinakua hazina maana.
Tulia wewe bado wana game na Atletico
 
Unajua nini...
Ushindi usiokua na faida kwangu naonaga loss tu. Loss ya muda, nguvu na pesa.

Sasa kama Madrid tunashinda game zetu, na Barca nao wanashinda zao kama kawa maana yake nini. Kombe wanabeba wao.

Sasa hizi shindi zenu zinakua hazina maana.
Sio kweli
 
Unajua nini...
Ushindi usiokua na faida kwangu naonaga loss tu. Loss ya muda, nguvu na pesa.

Sasa kama Madrid tunashinda game zetu, na Barca nao wanashinda zao kama kawa maana yake nini. Kombe wanabeba wao.

Sasa hizi shindi zenu zinakua hazina maana.
Wanabeba vp wakati Laliga ina amuliwa na matokeo ya home and away msimu huu tuli draw kwao wakaja home tukawachapa
 
Sijui zizou kajipanga vipi na kikosi kizima cha madrid na benchi la ufundi. Kama nia ya dhat ya kuchukua la liga ipo basi tukubali uefa itupite ili tubaki tunafocus kitu kimoja. Msimu wa 2013/2014 atletico mpango wao kuchukua la liga ulifika malengo licha ya kucheza vizuri fainal ya UCL. Nadhani UCL itupite kwa heri tukomae na la liga. Msimu ujao turudishe waliopo kwenye mikopo tuje sasa tulirudishe kombe letu lile la jana na leo na milele daima amina
 
Wakuu hapa unahitajika ushindi wa si chini ya goli 4-0 ili kurudi kwenye usukani wa Laliga na kuweza kujihakikishia ushindi wa Laliga. Kesho hakuna msalia mtume timu ijitume dhidi ya vijana watukutu Real Sociedad.
 
Sijui zizou kajipanga vipi na kikosi kizima cha madrid na benchi la ufundi. Kama nia ya dhat ya kuchukua la liga ipo basi tukubali uefa itupite ili tubaki tunafocus kitu kimoja. Msimu wa 2013/2014 atletico mpango wao kuchukua la liga ulifika malengo licha ya kucheza vizuri fainal ya UCL. Nadhani UCL itupite kwa heri tukomae na la liga. Msimu ujao turudishe waliopo kwenye mikopo tuje sasa tulirudishe kombe letu lile la jana na leo na milele daima amina
Kombe letu lipo kwa mkopo next season. tuna lihitaji kwa kila mali
 
Wakuu hapa unahitajika ushindi wa si chini ya goli 4-0 ili kurudi kwenye usukani wa Laliga na kuweza kujihakikishia ushindi wa Laliga. Kesho hakuna msalia mtume timu ijitume dhidi ya vijana watukutu Real Sociedad.
Hata kama tukishinda 0-1 bingwa ni sisi Spain kigezo cha magoli ni cha pili baada ya head to head cha msingi tushinde kila game zetu zote zilizo baki
 
Liginya spain hapo ndipo ili fanya kitu napenda. Sio timu inakwenda mpiga ososuna magoli manane ijisiifuuu sanaaa. Hapa ni head to head.
 
La Liga tushabeba labda zizou azngue awapange akina vasquez, kwa fixture ya Barca ilivyo lazma apoteze sion akitoka kwa bilbao,athletico hata villareal lazma adrop point even jana kwa sevilla nusu afe

Urejeo wa Marco na Hazard umezid kua chachu kwa upande wa forward, vin jr nae ndo gar limewaka katikat casemiro anakchafua hatar....Ths season La Liga ni yetu tu


Hallah madrid
 
Mbona nasikia ngolo kante atasajiliwa. Sasa casemiro man stopper the tank ndo atauzwa au vipiii. Dogo valverde ndo atakosa nafasi au atasukumwa kwenye mkopo. Nae dogo anakuja vizuri yule.
 
Ukisoma comments za watu humu unagundua wengi wanazungumza vitu hawajui.
 
Unajua nini...
Ushindi usiokua na faida kwangu naonaga loss tu. Loss ya muda, nguvu na pesa.

Sasa kama Madrid tunashinda game zetu, na Barca nao wanashinda zao kama kawa maana yake nini. Kombe wanabeba wao.

Sasa hizi shindi zenu zinakua hazina maana.
Uwe unauliza mkuu.
 
Back
Top Bottom