Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Lawama hazina masiko la liga ni ligi dhaifu sana siku hizi mliyepangwa nae ni bora zaidi yenu
 
Tatizo la madrid ni forward, hawakai na mpira,pia wakipata nafasi ni butu,kingine tunahitaji no 6 wa kumsaidia casemilo anachoka game mfululizo,back line iko vizuri,mechi ijayo naamini tutabadirika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu yetu inahitaji striker wawili wenye uwezo zaidi ya waliopo ambao wanalijua goli haswa. Lakini kwa mwendo huu tutakuja pigwa kama mbsa koko huko mbeleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna shida kweli kwenye foward line yetu, Benzema sio mtu wa kumtegemea kihivyo sababu hana consistency ya ufungaji na bado sio mtu utasema atapata nafasi moja aitumie hiyo hiyo kupata goli, Jovic bado hajiamini kama anachezea Real Madrid lakini pia nafasi finyu anazopewa kwanza za dk chache za mwisho zimesababisha kutowasoma wenzie kwa uharaka zaidi.
Ila shida kubwa kwetu ni namna gani sasa viungo wetu wanatengeneza pass za mwisho, Zizou amekuwa akimtumia Isco ila kiukweli jamaa ameshasahau hata kutoa pass ya mwisho, mtu tuliyebaki nae kwasasa ni James ambaye na yeye kwanza Zidane hamwelewi na pia mwenyewe ameshakata tamaa, so tuna shida nyingi ila angalau tungetengeneza nafasi zinazoeleweka ningeona foward line yetu imefail zaidi
 
hizi dakika tano za kwanza wote tunacheza mipira unaofanana...wao wanautandaza chini na sisi hivyo hivyo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mpaka kesho ukiniweka Vinicius na Rodrygo hapo nichague mmoja nitamchagua Rodrygo, Dogo ana utulivu sana mbele ya goli na anajua kutumia nafasi, Ninaona Zidane siku hizi hata kwenye match squad hamjumuishi sijui dogo kapatwa na shida gani, ila game ya Jana Alikuwa anaimudu vizuri kabisa,
Vinicius kwenye game na Bilbao alifanya ujinga kama alioufanya tena jana, bado utoto anao mwingi sana kwa kweli, anahitaji kujifunza zaidi.
 
Back
Top Bottom