Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

How Vinincius couldn't score there? Sijui ana ugonjwa wa kuangukaanguka!
 
HT:Kama ambavyo mara zote inaonekana wakicheza Vin Jr na Benzema kwa pamoja lazima timu izidiwe ndio ambacho kimetokeo kipindi cha kwanza,hapo lazima mmoja aende bench,huku mbele mpira haukai hata kidogo...sikumbuki kama tuna on target hata moja ukitoa ile ambayo benzema na mdgo wake walipata degedege pale golini..
Beki zinashindwa kucheza mbinu za offside kwa ufasaha,eneo la kiungo limetulia...Isco,Valverde,Casemiro na Luca wamefanya kazi nzuri sana...kimchezo hapo kama zidane atakuwa muungwana anatakiwa apumzishe hawa wawili (Benzema na Vin Jr) lakini badala yake utaona atampumzika Isco au kiungo mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu yetu inahitaji striker wawili wenye uwezo zaidi ya waliopo ambao wanalijua goli haswa. Lakini kwa mwendo huu tutakuja pigwa kama mbsa koko huko mbeleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom