Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Tunasubiri UEFA ya Juve ya Ronaldo
Kwenye recent history hakuna Era mmekua na mafanikio kuliko wakati wa Ronaldo. Toka aondoke hamna guarantee ya kumfunga vitimu kma Sociedad au Getafe!!

Real Madrid was a one man team, na hamna kombe mtabeba tena unless mmwage kama €200 M mumvute mtu calibre ya Mbappe au Neymar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EOHCebeWoAIwsGY
 
Ni mida ya kupongezana wana madrid wenzangu ,sioni sababu ya kubishana na mtu kuhusu fulani kuhusu timu fulani, kila mmoja apambane na timu yake kutafuta ushindi. Maana ndio wale ambao walisema zidane hawezi shinda tena kikombe na madrid

Leo madrid tumecheza vizuri japokuwa mkosa madogo madogo yalikuwapo, kwangu valverde kwa alicho kifanya ni sawa ata commentator (it professional foul)

So far tujipongeze kwa kuanza mwaka vizuri
Neno!! Ni muda wa kujipongeza kwasasa, kuna watu walikuwa wanatuombea tufungwe ili wapate cha kuongea ila tumewawahi kufunga mdomo, ndio maana unaona maneno meengii yasio na kichwa wala miguu!!
Kwa upande wa game team imecheza vyema, zimepigwa penalty za kibabe sana, ila pongezi za kipee zimwendee Courtious na Valverde kila wamefanya vitu vya kishujaa sana
#HalaMadrid!!
 
Unapata wapi nguvu za kulinganisha Liverpool na RMA? last final waliongea sana mwisho wa siku wakalala 3 - 1 , Liverpool EPL tu inawatoa jasho na kamasi ijekua UCL?
Mumpige Liver kwa forward gani?? Toka Ronaldo asepe mmekua wa kawaida sana alikua anawabeba mnoo. kiufupi UEFA mtaisikia kwenye bomba, tutarudi hapa April kukumbushana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapata wapi nguvu za kulinganisha Liverpool na RMA? last final waliongea sana mwisho wa siku wakalala 3 - 1 , Liverpool EPL tu inawatoa jasho na kamasi ijekua UCL?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlikua na Ronaldo mkuu..... Sahvi mko wenyewe hivi vitoto kina rodrygo na vinicius ndio wakumfunga liver?

Hyo shughuli kidogo atletico wataiweza maana watapaki basi na kutegea counter..... Ila kwa hii madrid ya mariano na Jovic sioni mkifika hata robo fainali
 
Ni mida ya kupongezana wana madrid wenzangu ,sioni sababu ya kubishana na mtu kuhusu fulani kuhusu timu fulani, kila mmoja apambane na timu yake kutafuta ushindi. Maana ndio wale ambao walisema zidane hawezi shinda tena kikombe na madrid

Leo madrid tumecheza vizuri japokuwa mkosa madogo madogo yalikuwapo, kwangu valverde kwa alicho kifanya ni sawa ata commentator (it professional foul)

So far tujipongeze kwa kuanza mwaka vizuri
Mkuu bado critics wa zidane wapo sawa.... Supercup sio major trophy ni kma community shield tu. Pia Madrid kaingia kwa wildcard sio merit.

La liga,spanish cup na UCL ndio kipimo cha zidane sio hili bonanza la uarabuni
 
Mkuu bado critics wa zidane wapo sawa.... Supercup sio major trophy ni kma community shield tu. Pia Madrid kaingia kwa wildcard sio merit.

La liga,spanish cup na UCL ndio kipimo cha zidane sio hili bonanza la uarabuni

Aya unatakaje kwa mfano
 
Back
Top Bottom