Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Hana jambo la maana la kusema zaidi ya kuomba tu Zidane afail, watu wa hivi ni unakuta anaumia kisa mafanikio ya mtu, sasa safari hii wajiandae kulazwa kabisa sababu Zidane ndio kwanza ameanza awamu ya pili.
#HalaMadrid!!
Mimi nashindwa elewa wanashindwa kushabikia timu zao
Madrid ilikuwapo kabla na itaendelea kuwapo#halamadrid
