Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

We're into the #Supercopa2020 final!


ENyYUncXYAAnzZj
 
Valencia walijiandaa kudefend mwanzo mwisho, kama vile walitegemea Vinincius Jr, Rodrygo na Jovic kwenye attack. Genius Zidane kaingia na unpredictable line up. Wakawa wanafukuza mpira kwa dakika 90
 
Valencia walijiandaa kudefend mwanzo mwisho, kama vile walitegemea Vinincius Jr, Rodrygo na Jovic kwenye attack. Genius Zidane kaingia na unpredictable line up. Wakawa wanafukuza mpira kwa dakika 90
Noma sana, nilipoona viungo watano tu nikajua Leo Valencia wataisoma namba, ule msako pale kati ulikuwa sio wa kitoto!! kipind cha kwanza walichanganyikiwa kabisa hawakujua hata wafanye nini!!
Ngoja kwanza tusubiri tuone ni nani atakayetoboa Leo!!
 
Noma sana, nilipoona viungo watano tu nikajua Leo Valencia wataisoma namba, ule msako pale kati ulikuwa sio wa kitoto!! kipind cha kwanza walichanganyikiwa kabisa hawakujua hata wafanye nini!!
Ngoja kwanza tusubiri tuone ni nani atakayetoboa Leo!!

Atletico linapokuja swala la wakatalani wanakuwaga walaini, ngoja sasa wacheze na sisi, wanatukomalia kama hakuna mechi yoyote Duniani. Anyway, mi nawataka Hawahawa wakatalani. Last time Ter Stegen kawaokoa, sasa hivi hayupo lazima tuwalalie 3 kama Valencia.
 
Atletico linapokuja swala la wakatalani wanakuwaga walaini, ngoja sasa wacheze na sisi, wanatukomalia kama hakuna mechi yoyote Duniani. Anyway, mi nawataka Hawahawa wakatalani. Last time Ter Stegen kawaokoa, sasa hivi hayupo lazima tuwalalie 3 kama Valencia.
Hahaha, Atletico wa hovyo sana man, yaani Barca huwa anawapiga nje ndani bila shida yoyote, ninaona wanatukomalia sana kwasababu tupo nao mtaa mmoja.
Yoyote atayekuja ni poa tu, ninachojua tunaenda kubeba kikombe cha kwanza!!
 
Hahaha, Atletico wa hovyo sana man, yaani Barca huwa anawapiga nje ndani bila shida yoyote, ninaona wanatukomalia sana kwasababu tupo nao mtaa mmoja.
Yoyote atayekuja ni poa tu, ninachojua tunaenda kubeba kikombe cha kwanza!!


Itapendeza sana tukiwapiga wakatalani halafu tunabeba ndoo. Atletico itakuwa tunarudia tu.
 
Final tunakutana na atletico Madrid tutawapiga mpka wachakae

Sent using Jamii Forums mobile app
Game itakuwa ngumu kimtindo sababu wale wajamaa kwa kutupania hawajambo, jambo la muhimu ni wachezaji wetu kuwa makini dakika za mwanzo sababu huwa wanapenda kupania sana dakika 20 za mwanzo.
Kama vp Zidane arudishe mfumo wa juzi ila pale mbele asimame Mariano.
 
Game itakuwa ngumu kimtindo sababu wale wajamaa kwa kutupania hawajambo, jambo la muhimu ni wachezaji wetu kuwa makini dakika za mwanzo sababu huwa wanapenda kupania sana dakika 20 za mwanzo.
Kama vp Zidane arudishe mfumo wa juzi ila pale mbele asimame Mariano.


Atletico wanafungika, kitu muhimu kuwa na tight defence, concentration iwe kwa dakika 90, wapigiwe mpira mpaka wautafute kwa tochi. Utaona watakavyoanza kupokea yellow card.
 
Mariano hapana, Jamaa wana Morata sisi tuweke Mariano bishoo?
Game itakuwa ngumu kimtindo sababu wale wajamaa kwa kutupania hawajambo, jambo la muhimu ni wachezaji wetu kuwa makini dakika za mwanzo sababu huwa wanapenda kupania sana dakika 20 za mwanzo.
Kama vp Zidane arudishe mfumo wa juzi ila pale mbele asimame Mariano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Real Madrid watashinda leo hii, basi kuna uwezekano mkubwa wakabeba la liga na Champions league pia. Siku tukimpiga Liverpool ndio Dunia itajuwa kwamba Zidane sio mtu wa mchezomchezo
 
Back
Top Bottom