Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Msimu huu Juve wamemisi kombe gani kubwa walilobeba msimu jana?.. au mwaka jana walibeba uefa?
Mguu mmoja wenu aende akavae kiatu epl kama anaweza, mbona kaolewa jumla na barca.
Cr7 amekuwa mchezaji bora italy mbona husemi?.. Age 34 unataka acheze kama Hazard?..
Chuki za kutolewa UEFA 4-0 peleka huko

Mkuu upo mbali sana. Juventus mwaka huu wamekosa Domestic double baada miaka miaka mi 5, Bado hujalijua kombe walilolokosa? Walikula kipigo cha 3-0 kutoka kwa Atalanta.

Hiyo tunzo ya uchezaji bora ni fixed tu.

Yupo nafasi ya 4 kwenye chart ya kiatu cha ufunguja bora huku akiongozwa na 36 years old striker tena ambae timu yake ni mid table.
 
Mkuu upo mbali sana. Juventus mwaka huu wamekosa Domestic double baada miaka miaka mi 5, Bado hujalijua kombe walilolokosa? Walikula kipigo cha 3-0 kutoka kwa Atalanta.
Hiyo tunzo ya uchezaji bora ni fixed tu.
Yupo nafasi ya 4 kwenye chart ya kiatu cha ufunguja bora huku akiongozwa na 36 years old striker tena ambae timu yake ni mid table.
Ndio ujue umezoea kuona akifanya makubwa kwa kuwa ana uwezo mkubwa.. Age ya 34 ukitaka akimbize kama 22age ni uongo. Hata uyo wa age 36 ana historia ya kuwa mfungaji bora tofauti na mwaka huu.?
Juve hitaji lao ni uefa sio carabao unazosema.
 
Ndio ujue umezoea kuona akifanya makubwa kwa kuwa ana uwezo mkubwa.. Age ya 34 ukitaka akimbize kama 22age ni uongo. Hata uyo wa age 36 ana historia ya kuwa mfungaji bora tofauti na mwaka huu.?
Juve hitaji lao ni uefa sio carabao unazosema.

Naona mumekua hoja mbadala. Allegri ametimuliwa Juventus. Ni wazi kuwa timu imefanya vibaya. Nahuku CR7 akishiriki kikamilifu kuwangusha. Timu imekua massed Wachezaji wengi wanaocheza foward line wanaweza kutimka na sababu kuu ni Ronaldo. Aneyasuburiwa ni kocha mpya tu vijana wajue wanachukua maamuzi gani.

Hoja yenu ya Age inauliwa moja kwa moja kwa kua huyo Top scores ana umri mkubwa zaidi ya Ronaldo.
 
Hii hoja ni kigongo, Tunayaona huko Juventus, Timu imepoteza mchezo wake mzuri baada ya ujio wake. Pira limekua likipigwa pigwa tu mbele ili kuweza kufit mchezo wake. Hili limeawaathiri sana wachezaji wao bora wenye uwezo wakuchezea mpira vizuri. Dybala, Costa na Coadrado kuna uwezokano mkubwa wakuondoka baada Kuishia kuwa frustrated na mfumo mpya wakulamizshwa wawe wanamlisha CR7. Jamaa freekick zote anang'aga'nia na mpaka sahivi hata moja ameshsindwa kufunga.

Juventus wame underperformed sana msimu huu.


Fanbabies will kill you.
 
Fanbabies will kill you.

Inaweza kukuuwa weye labda mkuu. Kwani mimi na fanbase wa nani?

Hivi hufahamu kama Dybala, Coudrado, Costa wamekua chini ya kiwango msimu huu? hufahamu kama wote wanampango wakutimka? Hufahamu kama wote wameishia kuwa bench na wale waliokua bench ndio wamekua wakiwa na namba? sababu kuu ya yote haya ni nini?
 
Naona mumekua hoja mbadala. Allegri ametimuliwa Juventus. Ni wazi kuwa timu imefanya vibaya. Nahuku CR7 akishiriki kikamilifu kuwangusha. Timu imekua massed Wachezaji wengi wanaocheza foward line wanaweza kutimka na sababu kuu ni Ronaldo. Aneyasuburiwa ni kocha mpya tu vijana wajue wanachukua maamuzi gani.
Hoja yenu ya Age inauliwa moja kwa moja kwa kua huyo Top scores ana umri mkubwa zaidi ya Ronaldo.
Hakuna shida.. yule ana mafanikio makubwa, hawa akina dybala ndio wapambane sio ronaldo.
Ndie top scorer hapo juve..ishu ya kiatu haimpi homa anavyo vingi.
Mfano umlaumu Messi badala ya akina coutinho.. Leo anafanya juhudi zote wenzie wanatoa macho tu.. ndio sawa na Dybala na Ronaldo
 
Inaweza kukuuwa weye labda mkuu. Kwani mimi na fanbase wa nani?

Hivi hufahamu kama Dybala, Coudrado, Costa wamekua chini ya kiwango msimu huu? hufahamu kama wote wanampango wakutimka? Hufahamu kama wote wameishia kuwa bench na wale waliokua bench ndio wamekua wakiwa na namba? sababu kuu ya yote haya ni nini?


Mimi ndie nilisema Ronaldo anaua team play kabla hajajiunga na Juve. Hii comment yangu hapa nakutahadhalisha tu hawa fanboys hawataki kusikia ukweli.
 
Ukiondoa udakaji (gopikipa), ushambuliaji na ukabaji.... ni idara gani nyingine imebakia kwenye uwanja wa soka?

Kuna Eneo la golini (Kipa)..Eneo la uzuiaji (beki)..Eneo la kiungo ukabaji/uzuiaji....Eneo la kiungo ushambuliaji na Eneo la ushambuliaji..

sasa sisi madrid eneo la golini hatuna tatizo....Eneo la uzuiaji (beki) tuna tatizo kwa beki mbili za kati kwa maana ya namba nne na namba tano..zimechoka sana,Eneo la kiungo ukabaji nako hapana afya nzuri kwa sababu Casemiro kachoka na sioni kama kuna mtu anayeweza kufanya kazi ambayo alikuwa anaifanya,yeye alikuwa anazuia sana nakufanya Kroos aweze kuzunguka vizuri nakulink eneo la modric kwenda mbele..Eneo la kiungo ushambuliaji hatuna tatizo...Eneo la ushambuliaji ndio majanga makubwa zaidi..huwez kuwa na foward line ambayo ili ifunge goli moja inahitajji nafasi 8 za wazi..

kwa hiyo utaona maeneo mawili makuu ndio ugonjwa wa madrid...lakin pia kariba ya Casemiro atafutwe.
 
Inaweza kukuuwa weye labda mkuu. Kwani mimi na fanbase wa nani?
Hivi hufahamu kama Dybala, Coudrado, Costa wamekua chini ya kiwango msimu huu? hufahamu kama wote wanampango wakutimka? Hufahamu kama wote wameishia kuwa bench na wale waliokua bench ndio wamekua wakiwa na namba? sababu kuu ya yote haya ni nini?
Lawama lazima abebe kocha sio Ronaldo.. Dybala, Cuadrado na Costa wanapigwa benchi na mtu mmoja?
Kocha ndie kashindwa kumanage vzr mkuu
 
Mimi ndie nilisema Ronaldo anaua team play kabla hajajiunga na Juve. Hii comment yangu hapa nakutaadhalisha tu hawa fanboys hawataki kusikia ukweli.

Nimekuelewa mkuu.

Hawa jamaa nashindwa kufahamu wanatizama vipi mpira. Mandzukic, Matuidi na Benrnadeshtchi walikua bench players last season. Msim huu wao ndio wamkua na namba za kudumu na sababu kuu ni kwa sababu ya Ronaldo. Mana wale key players wamekua frustrated kabisa na mazingira mapya. Matuidi amekua akisifika kabisa kwa kua anacover vizuri eneo la ronaldo ambalo alitakiwa alicover wakati wa kudefend ambalo yeye hua hakavi. Manduzic amekua akisifika kwa kumshushia mipira Ronaldo pamoja na kucheza na mabeki wakati ili Ronaldo awe na space ya kutosha kwenye goal area. Infact timu zima imekua build kwa ajili ya Ronaldo. Halafu timu ilipotelea wakaja na maneno kua ati yeye alijitahidi lakini wenzio walimuangusha. wakati mpaka kufikia wao kumuona yeye kua amejitahidi ni kwasababu ya juhudi ya hao wenziwe kwenye kumtengenezea mazingira.
 
Hakuna shida.. yule ana mafanikio makubwa, hawa akina dybala ndio wapambane sio ronaldo.
Ndie top scorer hapo juve..ishu ya kiatu haimpi homa anavyo vingi.
Mfano umlaumu Messi badala ya akina coutinho.. Leo anafanya juhudi zote wenzie wanatoa macho tu.. ndio sawa na Dybala na Ronaldo

Mkuu Cotinho halaumiki kabisa kwneye suala la Barca. Matatizo wanayo waliomsajili halafu wakashindwa kumtumia vizuri. Wachezaji wengi mno wameshindwa kucheza na Messi kwa kua wanakua forced kwenye mfumo wakumtumikia messi ambao unawashinda.

Timu inapotengenezwa kwakua build around you huna njia mkuu Lawama zitakuandama tu.
 
Mkuu Cotinho halaumiki kabisa kwneye suala la Barca. Matatizo wanayo waliomsajili halafu wakashindwa kumtumia vizuri. Wachezaji wengi mno wameshindwa kucheza na Messi kwa kua wanakua forced kwenye mfumo wakumtumikia messi ambao unawashinda.
Timu inapotengenezwa kwakua build around you huna njia mkuu Lawama zitakuandama tu.
Wamtoe sasa huyu mzee ronaldo ili wapate wanachotaka... Anaejenga mfumo huu wa mtu mmoja ndio alaumiwe sababu amefeli.. Then anafata huyu mzee kumuangusha kocha wake.
Hawako mbali waboreshe tu timu yao
 
Lawama lazima abebe kocha sio Ronaldo.. Dybala, Cuadrado na Costa wanapigwa benchi na mtu mmoja?
Kocha ndie kashindwa kumanage vzr mkuu

Naweza kusema Kocha kajitahidi ila mwisho alishindwa, na akamuua kustick na focus ya timu. Focus kuu ya timu ilikua kwa Ronaldo na wametumia pesa nyingi kwa ajili yake. Kama ulikua ukizitizama vizuri mechi zao mwanzoni alijaribu kutumia mifumo tafauti ili waweza kucheza pamoja lakini ilishindikana. Kwa sababa ndani normal play ronaldo anashindwa kabisa kwa kua hawezi kabisa kucheza na timu. Na kocha akilazimsha kuchezesha mfmo ili Ronaldo aweze kucheza vizuri inawasumbusana wale wengine.

Ronaldo aliletwa Juventus na lengo kuu la timu lilikua aje kucheza center forward. Na ndio mana Higuain akaondoshwa Mana Ronaldo alikua anakuja kuchukua nafasi yake. Lakini Ronaldo alishndwa moja kwa moja kucheza na ndio alianza kuchezeshwa pembeni na Costa kuanza kula bao huku Mandzukic ambae alikuabench Player ikabidi aanze kupewa namba ya nafasi ya kati. Na mengine yakaendelea baada ya hapo.
 
Wamtoe sasa huyu mzee ronaldo ili wapate wanachotaka... Anaejenga mfumo huu wa mtu mmoja ndio alaumiwe sababu amefeli.. Then anafata huyu mzee kumuangusha kocha wake.
Hawako mbali waboreshe tu timu yao

Sio rahisi kiivo mkuu. Kujielewa ni jambo kubwa sana. Tatizo kuu la Juventus linawakosesha mafanikio ulaya ni midfield. Midfield yao ni average kwa ushindani wa ulaya. nao wao hawalioni kabisa hilo na ndio mana wakatoa pesi nyingi kwa CR wakati pesa ile wangeliitumia kusajilia midfield 2 nzuri wangeboresha sana timu yao. Usajili wa Ramsy unadhihirisha mihumko yao ya kuwa wanafanya mambo kwa kutojielewa. ni another Overrated British ambaye uhakika hawezi kuwasaidia kitu. Wanahitaji world class midfield kama Veratti/ Kroos/ Alan/ Modric/Jorginho. wa 3, DM,CM,AM wale kina Khadira na Chan ni majanga tu. Lakini wao bado watafukuzia kuleta forward mwengine na Central Defender tupo hapa hapa tutakuja kuambiana.
 
Huyo na pagan ni mtu mmoja ID tofauti. Jamaa anatamani kufuta rekodi zote za CR7 ndani ya madrid ila ndo hivyo tena haiwezekani
Msimu huu Juve wamemisi kombe gani kubwa walilobeba msimu jana?.. au mwaka jana walibeba uefa?
Mguu mmoja wenu aende akavae kiatu epl kama anaweza, mbona kaolewa jumla na barca.
Cr7 amekuwa mchezaji bora italy mbona husemi?.. Age 34 unataka acheze kama Hazard?..
Chuki za kutolewa UEFA 4-0 peleka huko
 
Back
Top Bottom