Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid C.F. expresses its deep regret at the passing of Agustín Herrerín, who served as stadium delegate at the Estadio Santiago Bernabéufor over 18 seasons.
1075232
 
Nimeshuhudia hat trick ya benzema jamaa kajitahidi kukaza ..second half wamecheza in confidence sna
 
Tatizo la benzema ni kuwa anapatikana wakat ambao humhitaji sana...maana anachokifanya ni sawa na mwanaume aliyeoa kisha anapiga bao nyingi halafu hayawez mpa mimba mwanamke...kiufup hayana madhara...kwenye mbio za ubingwa hatupo...hatupo kwenye kinyang'anyiro cha kombe lolote...na lengo la timu kubwa na yenye hadhi ya madrid nikuchukua ubingwa wowote inayoshiriki
 
Nimemsoma Shabiki mmoja wa Real anasema "Honestly, this was a very clumsy play, I remember we didn't play like this last time under Zizou. Hope Zizou plays his cards well again! "

 
Tatizo la benzema ni kuwa anapatikana wakat ambao humhitaji sana...maana anachokifanya ni sawa na mwanaume aliyeoa kisha anapiga bao nyingi halafu hayawez mpa mimba mwanamke...kiufup hayana madhara...kwenye mbio za ubingwa hatupo...hatupo kwenye kinyang'anyiro cha kombe lolote...na lengo la timu kubwa na yenye hadhi ya madrid nikuchukua ubingwa wowote inayoshiriki

Really? Bila ya hayo magoli yake ya ndani ya mechi tano tu za nyuma sasahivi Real Madrid ingelikua nafasi ya 6.
 
Really? Bila ya hayo magoli yake ya ndani ya mechi tano tu za nyuma sasahivi Real Madrid ingelikua nafasi ya 6.
Linganisha na uwiano wa nafasi anazokosa za wazi ambazo zimeigharimu timu kuwa hapo ilipo?yaan ni sawa unataka tumpongeze kwa kupiga hatua saba nyuma na moja mbele...
 
Linganisha na uwiano wa nafasi anazokosa za wazi ambazo zimeigharimu timu kuwa hapo ilipo?yaan ni sawa unataka tumpongeze kwa kupiga hatua saba nyuma na moja mbele...


Hii season mtu alietuangusha ni Gareth Bale. Imegine kama angekuwa anapiga mabao kama mwenzake Benzema! Most paid player in the squad !akini uwanjani haionekani. Jamaa bora aende tu.
 
Hii season mtu alietuangusha ni Gareth Bale. Imegine kama angekuwa anapiga mabao kama mwenzake Benzema! Most paid player in the squad !akini uwanjani haionekani. Jamaa bora aende tu.

Bale must go..jana kakosa best chance like yuko ana gaming
 
Hii season mtu alietuangusha ni Gareth Bale. Imegine kama angekuwa anapiga mabao kama mwenzake Benzema! Most paid player in the squad !akini uwanjani haionekani. Jamaa bora aende tu.

Katika last five games Real Madrid wamescore 8 goals. Yote yamefungwa na Benzema.
 
Aliekua hakosi nafasi ni nani?
Linganisha idadi...huwez pata nafasi 10 ndio ufunge goli mbili...kwenye mechi muhimu ambazo zinahitaji maamuzi yenye uhakika mkubwa benzema hana hiyo na ndio mahali mshambuliaji bora anapopimwa...
 
Hii season mtu alietuangusha ni Gareth Bale. Imegine kama angekuwa anapiga mabao kama mwenzake Benzema! Most paid player in the squad !akini uwanjani haionekani. Jamaa bora aende tu.
Hata huyu nilishatoa maoni yangu pia aonde...huyu na korido za hospitali ni marafiki...uwezo wake umefika kikomo..
 
Real madrid ni club kubwa ni fedheha sana msimu unaisha na hakuna hata kikombe tulichobeba...maeneo mawili ndio yakufanyia kaz...beki za kati na foward line
 
Linganisha idadi...huwez pata nafasi 10 ndio ufunge goli mbili...kwenye mechi muhimu ambazo zinahitaji maamuzi yenye uhakika mkubwa benzema hana hiyo na ndio mahali mshambuliaji bora anapopimwa...

Sasa mkuu mshumbuliaji mahiri ni kama nani unaehisi yeye ndie anaefaa pale apatikanwe
 
Back
Top Bottom