Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,538
- 15,739
- Thread starter
- #42,041
Keylor Navas waves at the fans in Bernabéu and the crowd thanks him for his tenure.
Gracias Keylor! ❤️
Gracias Keylor! ❤️
Madrid hata wafanye usajili gani,hawatopata mafanikio kama waliyoyapata kwa muda wa zaidi miaka kumi ijayo hii comment yangu itaishi.Maeneo mawili ndiyo yakufanyia kazi...eneo la uzuiaji na ushambuliaji...na hata kiungo mkabaji pia nikupaangalia.
Madrid hata wafanye usajili gani,hawatopata mafanikio kama waliyoyapata kwa muda wa zaidi miaka kumi ijayo hii comment yangu itaishi.
Zidane mbinu zake zinajulikana hana jipya ten anategemea strikers wenye viwango vya Ronado ambao hawapo sokoni.
Ile timu inatakiwa kufukuza wachezaji wote asibaki mchezaji hata mmoja wameshachoka, Msimu huu wanamaliza watatu ujao nje ya Top 4 pin this comment📌
Tunashukuru kwa maoni yakoMadrid hata wafanye usajili gani,hawatopata mafanikio kama waliyoyapata kwa muda wa zaidi miaka kumi ijayo hii comment yangu itaishi.
Zidane mbinu zake zinajulikana hana jipya ten anategemea strikers wenye viwango vya Ronado ambao hawapo sokoni.
Ile timu inatakiwa kufukuza wachezaji wote asibaki mchezaji hata mmoja wameshachoka, Msimu huu wanamaliza watatu ujao nje ya Top 4 pin this comment
Tunashukuru kwa maoni yako
Vijana wana mambo mengi sana hawaDogo hajui kama hii ndio the best football club of all time.
Why? Am i not allowed to write the truth about this fuckin team?Shut up.
Kwa kifupi unamaanisha timu nzima, right?Maeneo mawili ndiyo yakufanyia kazi...eneo la uzuiaji na ushambuliaji...na hata kiungo mkabaji pia nikupaangalia.
Why? Am i not allowed to write the truth about this fuckin team?
Nasikitika kusema solari alionewa na hakupewa muda.
Kuna maeneo ambayo tupo hoi sana...hakuna afya...ni mawili...ushambuliaji na ukabajiKwa kifupi unamaanisha timu nzima, right?
Ukiondoa udakaji (gopikipa), ushambuliaji na ukabaji.... ni idara gani nyingine imebakia kwenye uwanja wa soka?Kuna maeneo ambayo tupo hoi sana...hakuna afya...ni mawili...ushambuliaji na ukabaji
Afadhali kaenda. No more drama in the squad. Kinachofuata ni mwendo wa rotation kwa squad nzima, hakuna mambo ya untouchable player anymore
Real Madrid kila mtu ni goal scorer. Misimu miwili ya mwisho jamaa alikuwa na performance mbovu sana. Mimi nafuatilia kila game ya Real, mara nyingi anapoteza possession kwasababu alikuwa anashindwa kwenda na flow ya wenzake
Sio kukaba tu. Cristiano sasa hivi can't dribble past defenders, he's not flexible anymore. Akiwa na mpira magumashi tupu. Can't give a proper passes, ndio maana nakwambia alikuwa anaua sana moves. Huwa anapoteza mipira ghafla pale usipotegemea na mara nyingi imetucost.
Mimi nafuatilia game za Real bro. Najua wanavyocheza
Sio kukaba tu. Cristiano sasa hivi can't dribble past defenders, he's not flexible anymore. Akiwa na mpira magumashi tupu. Can't give a proper passes, ndio maana nakwambia alikuwa anaua sana moves. Huwa anapoteza mipira ghafla pale usipotegemea na mara nyingi imetucost.
Mimi nafuatilia game za Real bro. Najua wanavyocheza