Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Keylor Navas waves at the fans in Bernabéu and the crowd thanks him for his tenure.

Gracias Keylor! ❤️
 
D67YtU4WwAAhvnX.jpg
 
What a season. Tough luck madridistas. Now we're only left with Castilla's promotion and La Liga ina basketball to look forward to.
 
Maeneo mawili ndiyo yakufanyia kazi...eneo la uzuiaji na ushambuliaji...na hata kiungo mkabaji pia nikupaangalia.
 
Maeneo mawili ndiyo yakufanyia kazi...eneo la uzuiaji na ushambuliaji...na hata kiungo mkabaji pia nikupaangalia.
Madrid hata wafanye usajili gani,hawatopata mafanikio kama waliyoyapata kwa muda wa zaidi miaka kumi ijayo hii comment yangu itaishi.

Zidane mbinu zake zinajulikana hana jipya ten anategemea strikers wenye viwango vya Ronado ambao hawapo sokoni.

Ile timu inatakiwa kufukuza wachezaji wote asibaki mchezaji hata mmoja wameshachoka, Msimu huu wanamaliza watatu ujao nje ya Top 4 pin this comment📌
 
Madrid hata wafanye usajili gani,hawatopata mafanikio kama waliyoyapata kwa muda wa zaidi miaka kumi ijayo hii comment yangu itaishi.

Zidane mbinu zake zinajulikana hana jipya ten anategemea strikers wenye viwango vya Ronado ambao hawapo sokoni.

Ile timu inatakiwa kufukuza wachezaji wote asibaki mchezaji hata mmoja wameshachoka, Msimu huu wanamaliza watatu ujao nje ya Top 4 pin this comment📌


Shut up.
 
Madrid hata wafanye usajili gani,hawatopata mafanikio kama waliyoyapata kwa muda wa zaidi miaka kumi ijayo hii comment yangu itaishi.

Zidane mbinu zake zinajulikana hana jipya ten anategemea strikers wenye viwango vya Ronado ambao hawapo sokoni.

Ile timu inatakiwa kufukuza wachezaji wote asibaki mchezaji hata mmoja wameshachoka, Msimu huu wanamaliza watatu ujao nje ya Top 4 pin this comment
Tunashukuru kwa maoni yako
 
Nasikitika kusema solari alionewa na hakupewa muda.


Lopetegui lost 3 El Classico in a row, Solari knocked out of Copa Del Rey and the Champions League, and at his time, we went out of La Liga tittle race. Zidane yuko hapa kwa ajili ya kipindi hiki cha mpito. Kazi yake kubwa ni kuunda competitive squad na kuirudisha Read Madrid yenye nguvu next season, ndio maana kapewa uwezo wa kuuza na kusajili mchezaji yoyote kwenye dirisha hili la usajili.
 
Afadhali kaenda. No more drama in the squad. Kinachofuata ni mwendo wa rotation kwa squad nzima, hakuna mambo ya untouchable player anymore
Real Madrid kila mtu ni goal scorer. Misimu miwili ya mwisho jamaa alikuwa na performance mbovu sana. Mimi nafuatilia kila game ya Real, mara nyingi anapoteza possession kwasababu alikuwa anashindwa kwenda na flow ya wenzake
Sio kukaba tu. Cristiano sasa hivi can't dribble past defenders, he's not flexible anymore. Akiwa na mpira magumashi tupu. Can't give a proper passes, ndio maana nakwambia alikuwa anaua sana moves. Huwa anapoteza mipira ghafla pale usipotegemea na mara nyingi imetucost.
Mimi nafuatilia game za Real bro. Najua wanavyocheza
 
Sio kukaba tu. Cristiano sasa hivi can't dribble past defenders, he's not flexible anymore. Akiwa na mpira magumashi tupu. Can't give a proper passes, ndio maana nakwambia alikuwa anaua sana moves. Huwa anapoteza mipira ghafla pale usipotegemea na mara nyingi imetucost.
Mimi nafuatilia game za Real bro. Najua wanavyocheza

Hii hoja ni kigongo, Tunayaona huko Juventus, Timu imepoteza mchezo wake mzuri baada ya ujio wake. Pira limekua likipigwa pigwa tu mbele ili kuweza kufit mchezo wake. Hili limeawaathiri sana wachezaji wao bora wenye uwezo wakuchezea mpira vizuri. Dybala, Costa na Coadrado kuna uwezokano mkubwa wakuondoka baada Kuishia kuwa frustrated na mfumo mpya wakulamizshwa wawe wanamlisha CR7. Jamaa freekick zote anang'aga'nia na mpaka sahivi hata moja ameshsindwa kufunga.

Juventus wame underperformed sana msimu huu.
 
Back
Top Bottom