Platnam
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 767
- 1,213
Hahahaa, kwanza nikusahihishe, timu haiwezi kua bora duniani kwa kushinda ligi ya nyumbani, unaposhinda ligi ya nyumbani unakua bora huko huko kwako. Kwahiyo hiyo point yako ya psg na Bayan au Juve ni invalid.Nachosema msikuze sana eti UEFA mara 4 ndio basi Real ni best duniani..... Hapo Ajax aliwahi ingia fainali 4 kwa same period na kubeba mara 3 mfululizo. Tofauti yao ajax ilikua na bajeti ndogo kuliko hii Real madrid ya sasa na ya kale so ni success story mbili tofauti.
Juve na Bayern na PSG zimechukua ligi kuu mara ngapi mfululizo??? Je utasema ndio timu bora duniani...... Madrid imetumia pesa nyingi sana kufika hapo ilipofika so msiwakuze mno ni timu ya kawaida tu kama PSG, Juve na Bayern ambazo nazo zimetumia pesa hadi kuwa dominant.
Na ndio maana licha ya kubeba UEFA ambayo ni knock out competition la liga imekua ngumu kwenu sababu inahitaji consistency sio bahati kma za UEFA... Rejea mechi za UEFA final dhidi ya Atletico moja mlifunga goli dakika ya 90+ na nyingine hadi penalty ndio kubeba ndoo. Such luck haiwezi wabeba La Liga.
Real Madrid ni overrated ila it's shit oneni hata Atletico imewakalia misimu miwili mfululizo.....
Tena mshukuru Ronaldo alikua anawabeba bila hivyo ya msimu huu yangetokea kila season.
Kipimo cha vilabu bora duniani ni kile kinachokutanisha timu bora duniani.
Pili, hembu nipe bajeti ya usajili kwa miaka mitano iliyopita na ile ya psg, man City na man U.
Tatu, nitajie timu ambazo hazijatumia pesa zikashinda na zilipo sahivi.
Nne, nipe hizo records za Ajax na Bayern kushinda mara 3 mfululizo.