Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Nachosema msikuze sana eti UEFA mara 4 ndio basi Real ni best duniani..... Hapo Ajax aliwahi ingia fainali 4 kwa same period na kubeba mara 3 mfululizo. Tofauti yao ajax ilikua na bajeti ndogo kuliko hii Real madrid ya sasa na ya kale so ni success story mbili tofauti.

Juve na Bayern na PSG zimechukua ligi kuu mara ngapi mfululizo??? Je utasema ndio timu bora duniani...... Madrid imetumia pesa nyingi sana kufika hapo ilipofika so msiwakuze mno ni timu ya kawaida tu kama PSG, Juve na Bayern ambazo nazo zimetumia pesa hadi kuwa dominant.

Na ndio maana licha ya kubeba UEFA ambayo ni knock out competition la liga imekua ngumu kwenu sababu inahitaji consistency sio bahati kma za UEFA... Rejea mechi za UEFA final dhidi ya Atletico moja mlifunga goli dakika ya 90+ na nyingine hadi penalty ndio kubeba ndoo. Such luck haiwezi wabeba La Liga.

Real Madrid ni overrated ila it's shit oneni hata Atletico imewakalia misimu miwili mfululizo.....

Tena mshukuru Ronaldo alikua anawabeba bila hivyo ya msimu huu yangetokea kila season.
Hahahaa, kwanza nikusahihishe, timu haiwezi kua bora duniani kwa kushinda ligi ya nyumbani, unaposhinda ligi ya nyumbani unakua bora huko huko kwako. Kwahiyo hiyo point yako ya psg na Bayan au Juve ni invalid.

Kipimo cha vilabu bora duniani ni kile kinachokutanisha timu bora duniani.

Pili, hembu nipe bajeti ya usajili kwa miaka mitano iliyopita na ile ya psg, man City na man U.

Tatu, nitajie timu ambazo hazijatumia pesa zikashinda na zilipo sahivi.

Nne, nipe hizo records za Ajax na Bayern kushinda mara 3 mfululizo.
 
Hawaoni hawa, alafu hawajiulizi kwa miaka ya hivi karibuni wakati Madrid anachukua mara 3 mfululizo usajili wake ulikuaje?

Alinganishe na man City, PSG, Baca, Man U for the past 3 - 5 years.

Mimi nikiwa kama shabiki wa Madrid sijaona la ajabu kwa yaliyotokea msimu huu. Huwazi kua na timu Ina perform miaka 5 mfululizo ikaacha kushuka.

Hata the best Baca ya miaka ile haijaweza kufanya tulichofanya.

Tutajipanga na kurudi kama kawaida yetu.
Nafikiri vijana hawajui Real madrid ndio club bora katika karne hii....tatizo wanaangalia mechi moja...

PSG na Man city wangechukua na wao...hata man u nao wangechukua...club zote kubwa zinatumia pesa...tatizo linabaki kwenye ubora wa timu...ndio hapo madrid wanapokuwa bora
Tofauti ya Real Madrid na Man city,Juve,PSG angalau Ronaldo alikua anawabeba sana ila misimu yote Real madrid ilikuwa ya kawaida sana UEFA rejea Galacticos ya kina Ronaldo na Beckham.

Sasa Ronaldo hayupo ndio tumepata fursa ya kuiona Real Madrid ikiwa yenyewe inakuwaje.... Ndio haya ya kufungwa na kina Sociedad et al.

Mmeona Ronaldo kaenda Juve kawabeba ipasavyo...... Money buys trophies. Madrid had money... Got Ronaldo.... Got trophies nothing new nothing special!!

Kiufupi Real ndio imezikwa rasmi msimu huu
 
Tofauti ya Real Madrid na Man city,Juve,PSG angalau Ronaldo alikua anawabeba sana ila misimu yote Real madrid ilikuwa ya kawaida sana UEFA rejea Galacticos ya kina Ronaldo na Beckham.

Sasa Ronaldo hayupo ndio tumepata fursa ya kuiona Real Madrid ikiwa yenyewe inakuwaje.... Ndio haya ya kufungwa na kina Sociedad et al.

Mmeona Ronaldo kaenda Juve kawabeba ipasavyo...... Money buys trophies. Madrid had money... Got Ronaldo.... Got trophies nothing new nothing special!!

Kiufupi Real ndio imezikwa rasmi msimu huu
Ushahamu topic, umehamia kwa Ronaldo.
Wachezaji wanakuja na kuondoka, timu zinashuka na kupanda.

Kushika msimu huu bado haiondoi records za ubingwa ilizonazo.

Kwani man U yuko wapi sahivi? Ukitoa Madrid, anayefatia records zake ni AC Milan, je naye hali yake ikoje sahivi??

Kwa taarifa yako tu, hata ile Galactico ya wakina Ronaldo, Zidane, Figo na wengineo haikuweza kufanya walichofanya wakina Asensio, Vazquez and the likes.

Kwahiyo bado unachosema hapa ni invalid.
 
Tofauti ya Real Madrid na Man city,Juve,PSG angalau Ronaldo alikua anawabeba sana ila misimu yote Real madrid ilikuwa ya kawaida sana UEFA rejea Galacticos ya kina Ronaldo na Beckham.

Sasa Ronaldo hayupo ndio tumepata fursa ya kuiona Real Madrid ikiwa yenyewe inakuwaje.... Ndio haya ya kufungwa na kina Sociedad et al.

Mmeona Ronaldo kaenda Juve kawabeba ipasavyo...... Money buys trophies. Madrid had money... Got Ronaldo.... Got trophies nothing new nothing special!!

Kiufupi Real ndio imezikwa rasmi msimu huu
Ronaldo kabeba Juve ipi,?? Hahahaa.
Hembu nitajie walichishinda Juve na hawajawahi kushinda kabla ya Ronaldo??

Sidhani kama unaelewa unachoandika
 
Tofauti ya Real Madrid na Man city,Juve,PSG angalau Ronaldo alikua anawabeba sana ila misimu yote Real madrid ilikuwa ya kawaida sana UEFA rejea Galacticos ya kina Ronaldo na Beckham.

Sasa Ronaldo hayupo ndio tumepata fursa ya kuiona Real Madrid ikiwa yenyewe inakuwaje.... Ndio haya ya kufungwa na kina Sociedad et al.

Mmeona Ronaldo kaenda Juve kawabeba ipasavyo...... Money buys trophies. Madrid had money... Got Ronaldo.... Got trophies nothing new nothing special!!

Kiufupi Real ndio imezikwa rasmi msimu huu
Kwahiyo wakati Ronaldo akiwa Madrid haijawahi kumaliza msimu bila kikombe??

Kama imewahi ulichoandika hakina maana
 
Hahahaa, kwanza nikusahihishe, timu haiwezi kua bora duniani kwa kushinda ligi ya nyumbani, unaposhinda ligi ya nyumbani unakua bora huko huko kwako. Kwahiyo hiyo point yako ya psg na Bayan au Juve ni invalid.

Kipimo cha vilabu bora duniani ni kile kinachokutanisha timu bora duniani.

Pili, hembu nipe bajeti ya usajili kwa miaka mitano iliyopita na ile ya psg, man City na man U.

Tatu, nitajie timu ambazo hazijatumia pesa zikashinda na zilipo sahivi.

Nne, nipe hizo records za Ajax na Bayern kushinda mara 3 mfululizo.
1. Ni kombe gani linakutanisha timu bora duniani?? Au ulaya ndio timu bora pekee?? Hizo Club America,Santos,Boca tuziiteje pia?? Btw UEFA ni knock out tournament kwahiyo sio lazima Wakutane mfano Real katolewa na Ajax. Hivyo sio kipimo tofauti na ingekua format ya ligi ambapo ni lazima upime consistency kwa msimu mzima. Ndio maana Timu ndogo ni rahisi kubeba cup tournaments kuliko Ligi sababu inahitaji tu ufunge goli moja ukabe basi mchezo umeisha..... So bado ligi ni kipimo kizuri zaidi mfano kama ya uingereza yenye competition?? Maana haina kubahatisha

2. Ni kweli huenda PSG na Man city wametumia pesa nyingi lakini zimezaa matunda wamekuwa dominant kwenye ligi zao.... Tofauti ni UEFA tu ambapo hawana luck kama walionayo madrid na hasa kuwa na GOAT kama Ronaldo au Messi. That's all ila bila Ronaldo hao PSG na Man city far better than Madrid.

4. Ajax haikutumia pesa na ilishinda 3 in a row na kwa sasa imewavua rasmi mabingwa Real Madrid kwa magoli zaidi ya 5!! Kuna porto,Inter milan...... Hawakutumia mapesa zaidi walikua na average players ila waliwapika vzuri.

5. Kuhusu bayern na Ajax kubeba UEFA mara 3 mfululizo nafahamu fika unajua hilo ila sijaelewa unatala tubishane nni?? Kuwa ilikuwa ikiitwa European Cup na sio champions league??? Kwahiyo jina ndio linabadili status ya Ushindi?? Ni hivi Bayern na Ajax walibeba ubingwa wa timu bora za ulaya mara 3 mfululizo kuanzia 1971-1976 kazi kwako.
 
Ronaldo kabeba Juve ipi,?? Hahahaa.
Hembu nitajie walichishinda Juve na hawajawahi kushinda kabla ya Ronaldo??

Sidhani kama unaelewa unachoandika
UEFA kafunga magoli yote knock out.... Jiulize mechi ya atletico bila Ronaldo wangevuka?? Vipi Kwa ajax magoli yote home na away alifunga yeye

Tukubali tu Ronaldo aliibeba sana Real Madrid otherwise haya ya msimu huu yangekuwa kawaida tu na ndio maana ligi mlikuwa hambebi sababu bahati nasibu haiwezi kuwabeba mechi 38 ila kwa UEFA ilikuwa rahisi Kubebeka hasa kwa nature ya Knock out zilivyo.

Madrid was Ronaldo.... Unless mwage Euro million 500 soko hili ndio mrudi otherwise mmeshazikwa rasmi
 
Ushahamu topic, umehamia kwa Ronaldo.
Wachezaji wanakuja na kuondoka, timu zinashuka na kupanda.

Kushika msimu huu bado haiondoi records za ubingwa ilizonazo.

Kwani man U yuko wapi sahivi? Ukitoa Madrid, anayefatia records zake ni AC Milan, je naye hali yake ikoje sahivi??

Kwa taarifa yako tu, hata ile Galactico ya wakina Ronaldo, Zidane, Figo na wengineo haikuweza kufanya walichofanya wakina Asensio, Vazquez and the likes.

Kwahiyo bado unachosema hapa ni invalid.
Sijahama ila ww umehoji pesa mnayotumia ni sawa na Juve,PSG etc sasa nimekupa tofauti kuwa hao wengine hawakuwa na decisive player wa calibre ya Messi na Ronaldo hivo tu ila wote mmefika hapo sababu ya PESA.

2. Kushuka msimu huu haiondoi lakini ina prove kuwa Madrid was a one man team.... Kama mna ubavu mngeendelea na hawa wachezaji bila replacement ya 100m+ kwa kumreplace Ronaldo uone kama hamjamaliza chini ya Atletico tena.

3. AC Milan shida ilikuwa haina succession plan hivyo wazee walipostaafu kina seedorf,khaladze,Maldini,Nesta,Ambrosini etc hawakuwa na direct replacements vijana hivyo wakasajili kwa pupa wachezaji wengi kwa mpigo walioshindwa kuelewana matokeo timu ikaporomoka. Kuhusu Man U nao hivo hivo hawakuwa na succession plan baada ya Ferguson kama wangekuwa wameandaa replacement mapema kurithi mikoba aah wasingepotea hivi matokeo yake kila kocha anakuja na philosophy na transfer zake.... Timu ime-saturate tayari unless wauze kikosi kizima waanze A.

4.Aah usilinganishe Madrid ile na hivi vitoto..... Kwa taarifa tu Muhongo huu 2009-19 mmebeba la liga mara 2 tu ila wakubwa wao yaani muhongo wao 2009-99 wenzenu walibeba mara 4!! hilo tu tayari linaonyesha hawa watoto wa sasa wameshindwa kuwafikia wakubwa wao!!
 
1. Ni kombe gani linakutanisha timu bora duniani?? Au ulaya ndio timu bora pekee?? Hizo Club America,Santos,Boca tuziiteje pia?? Btw UEFA ni knock out tournament kwahiyo sio lazima Wakutane mfano Real katolewa na Ajax. Hivyo sio kipimo tofauti na ingekua format ya ligi ambapo ni lazima upime consistency kwa msimu mzima. Ndio maana Timu ndogo ni rahisi kubeba cup tournaments kuliko Ligi sababu inahitaji tu ufunge goli moja ukabe basi mchezo umeisha..... So bado ligi ni kipimo kizuri zaidi mfano kama ya uingereza yenye competition?? Maana haina kubahatisha

2. Ni kweli huenda PSG na Man city wametumia pesa nyingi lakini zimezaa matunda wamekuwa dominant kwenye ligi zao.... Tofauti ni UEFA tu ambapo hawana luck kama walionayo madrid na hasa kuwa na GOAT kama Ronaldo au Messi. That's all ila bila Ronaldo hao PSG na Man city far better than Madrid.

4. Ajax haikutumia pesa na ilishinda 3 in a row na kwa sasa imewavua rasmi mabingwa Real Madrid kwa magoli zaidi ya 5!! Kuna porto,Inter milan...... Hawakutumia mapesa zaidi walikua na average players ila waliwapika vzuri.

5. Kuhusu bayern na Ajax kubeba UEFA mara 3 mfululizo nafahamu fika unajua hilo ila sijaelewa unatala tubishane nni?? Kuwa ilikuwa ikiitwa European Cup na sio champions league??? Kwahiyo jina ndio linabadili status ya Ushindi?? Ni hivi Bayern na Ajax walibeba ubingwa wa timu bora za ulaya mara 3 mfululizo kuanzia 1971-1976 kazi kwako.
Naona unaruka ruka tu.

Point yako ya kwanza sioni logic.
Kama unadhani ni rahisi namna hiyo tungeona hao wazuri psg na Juve wakichukua.

Kuhusu ku dominate ligi, ligi ya France au Italy umeona timu gani inaweza shindana pale, ukitoa hao PSG au Juve waliobaki sidhani kama wanaweza ku compete na Everton.

Hiyo ya mwisho kuhusu Ajax nimekwambia Madrid kachukua mara tano mfululizo, sasa nani mwenye records hapo??

Madrid kachukua mara 13 katika fainali 16,
Na katika mfumo wa sasa wa UEFA ni yeye pekee kachukua mara 3 mfululizo wakati huo hao Juve wakiwa wazuri, PSG wakiwa wazuri, Man City wakiwa wazuri. Alafu wewe unaona wanabahatisha.

Kwenye mpira kila timu inataka kushinda, swala la wewe huna hela no body cares. Ili uwe na hela unapaswa kukuza brand kama timu, sasa usitegemee timu kubwa kama Madrid inayopambana kwenye records za mapato kila msimu ununue wachezaji kama Lipuli.

Kuwa na uwezo kifedha ni effort za management ya timu, ukiacha hizi ambazo watu wenye pesa wamezinunua kama Chelsea, Man City nk.
Kwahiyo hizi mentality za kimaskini na visingizio vya fulani anafanikiwa kwasababu anasajili sana hazina maana
 
UEFA kafunga magoli yote knock out.... Jiulize mechi ya atletico bila Ronaldo wangevuka?? Vipi Kwa ajax magoli yote home na away alifunga yeye

Tukubali tu Ronaldo aliibeba sana Real Madrid otherwise haya ya msimu huu yangekuwa kawaida tu na ndio maana ligi mlikuwa hambebi sababu bahati nasibu haiwezi kuwabeba mechi 38 ila kwa UEFA ilikuwa rahisi Kubebeka hasa kwa nature ya Knock out zilivyo.

Madrid was Ronaldo.... Unless mwage Euro million 500 soko hili ndio mrudi otherwise mmeshazikwa rasmi
Baada ya kufunga magoli yote ikawaje??
Kwani kabla hajaenda Juve haikuwahi kufunga goli wakati hayupo??

Kabla hajaenda Juve, kwani Juve wamefika fainali mara ngapi??

Unavyoongea ni kama kabla ya Ronaldo Madrid haijawahi shida kitu chochote
 
Kwahiyo wakati Ronaldo akiwa Madrid haijawahi kumaliza msimu bila kikombe??

Kama imewahi ulichoandika hakina maana
Duh kwahiyo kukosa kombe msimu mmoja ndio unaprove kuwa Ronaldo hakuibeba Madrid?? Tuwe wakweli pengo la Ronaldo limeonekana na ashaprove kuwa mlikua mnamtegemea ndio maana msimu huu mmestruggle kupata magoli hili sidhani kama lina mjadala na ndio maana mnataka kusajili world class replacement wa level zake kama Hazard au Jovic!!

No money...No Ronaldo.... No trophy......
Madrid is overrated
 
Sijahama ila ww umehoji pesa mnayotumia ni sawa na Juve,PSG etc sasa nimekupa tofauti kuwa hao wengine hawakuwa na decisive player wa calibre ya Messi na Ronaldo hivo tu ila wote mmefika hapo sababu ya PESA.

2. Kushuka msimu huu haiondoi lakini ina prove kuwa Madrid was a one man team.... Kama mna ubavu mngeendelea na hawa wachezaji bila replacement ya 100m+ kwa kumreplace Ronaldo uone kama hamjamaliza chini ya Atletico tena.

3. AC Milan shida ilikuwa haina succession plan hivyo wazee walipostaafu kina seedorf,khaladze,Maldini,Nesta,Ambrosini etc hawakuwa na direct replacements vijana hivyo wakasajili kwa pupa wachezaji wengi kwa mpigo walioshindwa kuelewana matokeo timu ikaporomoka. Kuhusu Man U nao hivo hivo hawakuwa na succession plan baada ya Ferguson kama wangekuwa wameandaa replacement mapema kurithi mikoba aah wasingepotea hivi matokeo yake kila kocha anakuja na philosophy na transfer zake.... Timu ime-saturate tayari unless wauze kikosi kizima waanze A.

4.Aah usilinganishe Madrid ile na hivi vitoto..... Kwa taarifa tu Muhongo huu 2009-19 mmebeba la liga mara 2 tu ila wakubwa wao yaani muhongo wao 2009-99 wenzenu walibeba mara 4!! hilo tu tayari linaonyesha hawa watoto wa sasa wameshindwa kuwafikia wakubwa wao!!
Hii point yako ya Ronaldo ndio sielewi kabisa. Madrid haikuwepo kabla ya Ronaldo??

Madrid haijawahi kutoka trophless kabla ya Ronaldo??
Hembu nijibu haya maswali
 
Duh kwahiyo kukosa kombe msimu mmoja ndio unaprove kuwa Ronaldo hakuibeba Madrid?? Tuwe wakweli pengo la Ronaldo limeonekana na ashaprove kuwa mlikua mnamtegemea ndio maana msimu huu mmestruggle kupata magoli hili sidhani kama lina mjadala na ndio maana mnataka kusajili world class replacement wa level zake kama Hazard au Jovic!!

No money...No Ronaldo.... No trophy......
Madrid is overrated
Naomba nijibu, Madrid haijawahi kutoka kapa ikiwa na Ronaldo??
 
Tofauti ya Real Madrid na Man city,Juve,PSG angalau Ronaldo alikua anawabeba sana ila misimu yote Real madrid ilikuwa ya kawaida sana UEFA rejea Galacticos ya kina Ronaldo na Beckham.

Sasa Ronaldo hayupo ndio tumepata fursa ya kuiona Real Madrid ikiwa yenyewe inakuwaje.... Ndio haya ya kufungwa na kina Sociedad et al.

Mmeona Ronaldo kaenda Juve kawabeba ipasavyo...... Money buys trophies. Madrid had money... Got Ronaldo.... Got trophies nothing new nothing special!!

Kiufupi Real ndio imezikwa rasmi msimu huu
Haupo sawa wala sahihi kwa unachokisema,inawezekana ile Galactico hujawahi kuiona kwa maana yakuishuhudia ikicheza hata mechi moja na pengine zaidi inawezekana haujui CR7 alijiunga madrid mwaka gani.

hatubezi uwezo wa CR7 na hakuna mtu mwenye akili timamu anayembeza,tunachotaka uelewe ni kuwa kwa takwimu zozote zile ambazo umezisema na hujazisema haziwezi kuiweka Real Madrid chini ya timu au club yoyote ile duniani.

Kuchukua UCL mara tatu mfululizo siyo tu ni jambo kubwa lakini pia ni jambo ambalo club zote ambazo wewe unazijua ambazo kwa mtazamo wako ni bora iwe kwa msimu huu au msimu uliopita au ule mwingine hazijawahi kuchukua mara mbili mfululizo achilia hizo mara tatu na pengine kwa miaka hii ya karibuni hawataweza..ni kitu special ambacho huwezi siyo tu kukibeza ila hata kulinganisha na club yoyote duniani huwezi.

Unajua kuwa Ronaldo de lima na ubora wake ule pamoja nakucheza katika kikosi cha bei ghali kile cha madrid hajawahi kubeba UCL?

Kwa hiyo kimsingi madrid kufanya vibaya msimu huu ni jambo ambalo lilikuwa linategemewa ni issue ya muda tu,huwezi kushinda fainal tatu mfululizo na ukaendelea kukaa kileleni,zaidi kumbuka kujenga chemistry ambayo itakuwa na nguvu ile ile siyo jambo jepesi...hapo Barca alitoka Xavi tu time imepoteana,akaondoka Iniesta ndo kabisaa hadi sa hv hawajui wanasajili nini...so ni jambo la kawaida kabisa lakini haliwezi kukupa nguvu yakuisema hovyo madrid kwa sababu hakuna ambaye wakumlinganisha na madrid,yaan hakuna.
 
Naona unaruka ruka tu.

Point yako ya kwanza sioni logic.
Kama unadhani ni rahisi namna hiyo tungeona hao wazuri psg na Juve wakichukua.

Kuhusu ku dominate ligi, ligi ya France au Italy umeona timu gani inaweza shindana pale, ukitoa hao PSG au Juve waliobaki sidhani kama wanaweza ku compete na Everton.

Hiyo ya mwisho kuhusu Ajax nimekwambia Madrid kachukua mara tano mfululizo, sasa nani mwenye records hapo??

Madrid kachukua mara 13 katika fainali 16,
Na katika mfumo wa sasa wa UEFA ni yeye pekee kachukua mara 3 mfululizo wakati huo hao Juve wakiwa wazuri, PSG wakiwa wazuri, Man City wakiwa wazuri. Alafu wewe unaona wanabahatisha.

Kwenye mpira kila timu inataka kushinda, swala la wewe huna hela no body cares. Ili uwe na hela unapaswa kukuza brand kama timu, sasa usitegemee timu kubwa kama Madrid inayopambana kwenye records za mapato kila msimu ununue wachezaji kama Lipuli.

Kuwa na uwezo kifedha ni effort za management ya timu, ukiacha hizi ambazo watu wenye pesa wamezinunua kama Chelsea, Man City nk.
Kwahiyo hizi mentality za kimaskini na visingizio vya fulani anafanikiwa kwasababu anasajili sana hazina maana
1. Point ya kwanza Logic ni kwamba huwezi pima ubora wa timu kupitia Knockout tournaments bali timu bora inapimwa kwa mfumo wa ligi sababu inahitaji consistency,Perseverence,Flexibility n.k hayo yote Madrid yanamshinda ndio maana La Liga imekuwa dominated na Barca ambayo ina hizo sifa hapo juu ila knock out spurs na timu ya kuunga unga imevuka hadi Final ila Premier league ipo wapi??

2.Money matters na sio kisingizio ndio maana UEFA imekuja na FFP ili kumaliza hili tatizo maana mpira umekosa ladha kisa wawekezaji kuvamia mpira..... Zamani timu zenye academy nzuri ndio zilidominate ila siku hizi zenye bank account nzuri ndio zimetawala. Kwahiyo kama unaona ni excuse basi UEFA ni wajinga kupitisha FFP.

Unaongelea revenues ndio kila kitu hivi kuna timu imetengeneza revenues kubwa kwenye mauzo ya wachezaji kwa muda mfupi kma Porto na Monaco?? Ila Umeona zinaspend big?? Kuspend big kwenye usajili haimaanishi ndio una revenues kubwa hapana bali kuna timu kama Ajax imetengeneza mabilion kwa mauzo ya wachezaji ila huoni ikisajili mchezaji kwa 30 million cjui.... Kwahiyo sio kweli eti Timu zingine hazina mapato ndio maana hazisajili bali ni club policy.

Kuhusu 5 in a row sijui 4....nshakujibu Ajax iliingia fainal mara 4 in 5 years kama nyie mwaka jana ila walifungwa by chance otherwise na wao wangekuwa na 4/5 so sio big deal sana kama unavyotaka kuikuza wewe kuwa ni madrid tu ndio wangeweza hata benfica ilikaribia kufanya hiyo 4/5.

Madrid era is over.... Otherwise kampigieni magoti Ronaldo arudi hahhahahahhaha
 
Sijahama ila ww umehoji pesa mnayotumia ni sawa na Juve,PSG etc sasa nimekupa tofauti kuwa hao wengine hawakuwa na decisive player wa calibre ya Messi na Ronaldo hivo tu ila wote mmefika hapo sababu ya PESA.

2. Kushuka msimu huu haiondoi lakini ina prove kuwa Madrid was a one man team.... Kama mna ubavu mngeendelea na hawa wachezaji bila replacement ya 100m+ kwa kumreplace Ronaldo uone kama hamjamaliza chini ya Atletico tena.

3. AC Milan shida ilikuwa haina succession plan hivyo wazee walipostaafu kina seedorf,khaladze,Maldini,Nesta,Ambrosini etc hawakuwa na direct replacements vijana hivyo wakasajili kwa pupa wachezaji wengi kwa mpigo walioshindwa kuelewana matokeo timu ikaporomoka. Kuhusu Man U nao hivo hivo hawakuwa na succession plan baada ya Ferguson kama wangekuwa wameandaa replacement mapema kurithi mikoba aah wasingepotea hivi matokeo yake kila kocha anakuja na philosophy na transfer zake.... Timu ime-saturate tayari unless wauze kikosi kizima waanze A.

4.Aah usilinganishe Madrid ile na hivi vitoto..... Kwa taarifa tu Muhongo huu 2009-19 mmebeba la liga mara 2 tu ila wakubwa wao yaani muhongo wao 2009-99 wenzenu walibeba mara 4!! hilo tu tayari linaonyesha hawa watoto wa sasa wameshindwa kuwafikia wakubwa wao!!
Kwahiyo team zote zilizoshuka viwango ni wachezaji kuzeeka, lakini Madrid tatizo ni Ronaldo kuondoka??

Acha kua biaside na uangalie ukweli

Kwahiyo replacement ya Marcelo pale Madrid ni nani? Modric, Ramos?
 
Naomba nijibu, Madrid haijawahi kutoka kapa ikiwa na Ronaldo??
Embu acha kuwa negative..... Yaani Madrid kuwa kapa Ikiwa na Ronaldo kwa misimu michache unalinganishaje na mafanikio ikiwa na Ronaldo kwa misimu mingi???

Btw walitoka trophyless lakini sio kutolewa last 16 sijui kucheza dakika 600+ bila goli.... Kufungwa na Relegation teams mfululizo.... Huwezi linganisha

Walitoka trophyless huku wakiwa na point 80+..... UEFA nusu fainali..... Ronaldo goli 30+.... Let's be serious for once
 
Hii point yako ya Ronaldo ndio sielewi kabisa. Madrid haikuwepo kabla ya Ronaldo??

Madrid haijawahi kutoka trophless kabla ya Ronaldo??
Hembu nijibu haya maswali
Mkuu jamaa asikuchoshe anachokiongea hta akieleweki...Anataka madrid iwe academy club??? hakuna club ambayo imesajir kwa pesa ndogo km madrid kwa kipind cha miaka 5 iliopita ukicompare na giants wengne

kuhusu champions league hakuna team iliochukua 3 in a row, et madrid kuchukua champions league ni bahati the guy is such loser
 
Kwahiyo team zote zilizoshuka viwango ni wachezaji kuzeeka, lakini Madrid tatizo ni Ronaldo kuondoka??

Acha kua biaside na uangalie ukweli

Kwahiyo replacement ya Marcelo pale Madrid ni nani? Modric, Ramos?
Mkuu tuwe wakweli Man U kikosi kilekile aliacha Fergie ndio karithi Moyes ila what happened?? Je shida ni nni??

AC Milan walistaafu core nzima ya timu na wengine kuhama imagine Pirlo,Inzaghi,Nesta,maldini,Seedorf,Ambrosini waondoke kwa mpigo timu itakuwa sawa kweli??

Hata Atletico madrid instruggle sababu hawakuwa na succession plan matokeo yake wananunua wachezaji kwa mkupuo kuziba viraka vya mabeki 5 wanaohama timu sasa unategemea Atletico msimu ujao watakuwa vizuri???

Tukubali kuna wachezaji/makocha/viongozi muhimu wakiondoka kwenye timu kama hamkuandaa mrithi mapema lazima mtikisike kama sio kuanguka.... Ndio wanachopitia Real Madrid kwa sasa

Yangu ni hayo tu..... Kama mnabisha tutajionea msimu ujao akija replacement ya calibre ya Ronaldo utashangaa kikosi hiki hiki ila kinabeba UEFA
 
Nachosema msikuze sana eti UEFA mara 4 ndio basi Real ni best duniani..... Hapo Ajax aliwahi ingia fainali 4 kwa same period na kubeba mara 3 mfululizo. Tofauti yao ajax ilikua na bajeti ndogo kuliko hii Real madrid ya sasa na ya kale so ni success story mbili tofauti.

Juve na Bayern na PSG zimechukua ligi kuu mara ngapi mfululizo??? Je utasema ndio timu bora duniani...... Madrid imetumia pesa nyingi sana kufika hapo ilipofika so msiwakuze mno ni timu ya kawaida tu kama PSG, Juve na Bayern ambazo nazo zimetumia pesa hadi kuwa dominant.

Na ndio maana licha ya kubeba UEFA ambayo ni knock out competition la liga imekua ngumu kwenu sababu inahitaji consistency sio bahati kma za UEFA... Rejea mechi za UEFA final dhidi ya Atletico moja mlifunga goli dakika ya 90+ na nyingine hadi penalty ndio kubeba ndoo. Such luck haiwezi wabeba La Liga.

Real Madrid ni overrated ila it's shit oneni hata Atletico imewakalia misimu miwili mfululizo.....

Tena mshukuru Ronaldo alikua anawabeba bila hivyo ya msimu huu yangetokea kila season.


Mkuu unaongea sana. Lakini ukiniambia football lililopigwa na Real Madrid kwenye UCL Final ya Portugal ni bahati nakuweka kwenye kundi la haters.
 
Back
Top Bottom