Wadhani Barca ataliachia? Thubutu....La liga is not decided yet
La liga is not decided yet
Nilikuwa sijamuelewa😀😀😀.Uyo anataka kutuambia eti watapindua màtokeo kama Ajax hahahaha....
Sent using Jamii Forums mobile app
Classico ni nuksi RM kafungwa na Barca nae next game anafungwaWadhani Barca ataliachia? Thubutu....
Perez out...
Santiago out...
Vinicius out...
Bale out...
Lazima ataleta hitman hapo mbeleKwa akili za Florentino Perez unaweza kukiona kikosi hikihiki next season. Pesa ananunua starlets baadae awauze apige mpunga, yule mzee mbishi kama mapumbu.
De Jong kavuruga mizee hapo kati, nyange nyange msimu huu mnatoka na kende tu
Sent using Jamii Forums mobile app






Lazima ataleta hitman hapo mbele
nazani umeridhika, ila barca kuwapa ajax funguo za Sentiago bernabeu sio poa
hahahah, nazani hakumalizia alimaanisha ya kwenye Fifa 2018 au PESTeam kama Real kumtegemea mtoti Vjr aibebe team ni unazi. Ramos alisema lazima atacheza robo fainali,ngoja Tusubiri tuone.
nazani umeridhika, ila barca kuwapa ajax funguo za Sentiago bernabeu sio poa
Sent using Jamii Forums mobile app