Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Atauzwa pauni milioni ngapi?

Bale majeruhi yalisha ua uwezo wake mkubwa wa kisoka nikikumbukia kazi aliyokua anaifanya kipindi anachezea Tottenham.

Marco Asensio ni propaganda tu za wahispaniola uwezo wake ni mdogo wahispaniola waliobaki ambao wanaujua kweli mpira ni Koke na Saul Niguez ukimuondoa Ramos na Carvajal wahispaniola wanaopata namba leo hii pale Real Madrid ni siasa tu.Cheki wahispaniola hawa wa Barca kama Jordi Alba, Busquets, Sergi Roberto na Nelson Semedo

Dah bora nikuache tu, hivi kama wahispania hawajui mpira wanaojua mpira ni nani Waengeraza au?
 
Atauzwa pauni milioni ngapi?

Bale majeruhi yalisha ua uwezo wake mkubwa wa kisoka nikikumbukia kazi aliyokua anaifanya kipindi anachezea Tottenham.

Marco Asensio ni propaganda tu za wahispaniola uwezo wake ni mdogo wahispaniola waliobaki ambao wanaujua kweli mpira ni Koke na Saul Niguez ukimuondoa Ramos na Carvajal wahispaniola wanaopata namba leo hii pale Real Madrid ni siasa tu.Cheki wahispaniola hawa wa Barca kama Jordi Alba, Busquets, Sergi Roberto na Nelson Semedo

Watatizamia vilaza watakaongia kichwakichwa. Wakipata Premier League team wanaweza kujilipizia hasara zao.
 
Watatizamia vilaza watakaongia kichwakichwa. Wakipata Premier League team wanaweza kujilipizia hasara zao.

Kina Asensio na Bale wangekuwa form ya juu Real Madrid ingekuwa top four toka mwanzo wa ligi, sasa mechi zaidi ya kumi na mbili tangu ligi ianze Real Madrid ipo mtaa wa saba huko zinakuaga Club mbovu zinazosindikizaga ligi miaka yote kimsimamo huku Dembele na Coutinho wameibeba timu kuwa vizuri kwenye msimamo wa ligi
 
Kina Asensio na Bale wangekuwa form ya juu Real Madrid ingekuwa top four toka mwanzo wa ligi, sasa mechi zaidi ya kumi na mbili tangu ligi ianze Real Madrid ipo mtaa wa saba huko zinakuaga Club mbovu zinazosindikizaga ligi miaka yote kimsimamo huku Dembele na Coutinho wameibeba timu kuwa vizuri kwenye msimamo wa ligi

Dembele kambeba nani mkuu na hata namba ya uhakika hana? au humuoni anvosugua bench?
 
Dembele kambeba nani mkuu na hata namba ya uhakika hana? au humuoni anvosugua bench?

Dembele, Coutinho na Malcom woote wanafanyiwa rotation, Isipokuwa pale Nou Camp ambae hawatafanyiwa/hawafanyiwi rotation ni Messi, Suarez, Busquets, Pique, Jordi Alba na Umtiti
 
Basi watafanya vile utakavyo
Micheal Laudrup
Simone Inzaghi
Di francisco
Marcello Galardo

Hao ndio makocha wenye uwezo na ambao upatikanaji wao hautokua na shida yoyote. Wapo na wengine ila kiharaharaka ningumu kuwachomoa kirahisi kwenye timu zao.
 
Dembele, Coutinho na Malcom woote wanafanyiwa rotation, Isipokuwa pale Nou Camp ambae hawatafanyiwa/hawafanyiwi rotation ni Messi, Suarez, Busquets, Pique, Jordi Alba na Umtiti

Kila mwenye namba yake anajijua mkuu.
 
Dembele kambeba nani mkuu na hata namba ya uhakika hana? au humuoni anvosugua bench?
Need i say more?
IMG_20181125_122033.jpg
 
Real Madrid XI to face Roma:

Courtois, Carvajal, Ramos, Varane, Marcelo, Kroos, Modric, Llorente, Lucas Vasquez, Bale, Benzema.

#RealMadridvsRoma
 
REAL MADRID BENCH:

• Casilla
• Mariano
• Valverde
• Asensio
• Ceballos
• Vinicius Jr
• Javi Sanchez
 
Another game of GROUP G:

Full Time: CSKA Moscow 1-2 Viktoria Plzen.

Real Madrid are through to the Round of 16! Now, let’s get 1st place!
 
Back
Top Bottom