Atauzwa pauni milioni ngapi?
Bale majeruhi yalisha ua uwezo wake mkubwa wa kisoka nikikumbukia kazi aliyokua anaifanya kipindi anachezea Tottenham.
Marco Asensio ni propaganda tu za wahispaniola uwezo wake ni mdogo wahispaniola waliobaki ambao wanaujua kweli mpira ni Koke na Saul Niguez ukimuondoa Ramos na Carvajal wahispaniola wanaopata namba leo hii pale Real Madrid ni siasa tu.Cheki wahispaniola hawa wa Barca kama Jordi Alba, Busquets, Sergi Roberto na Nelson Semedo
Dah bora nikuache tu, hivi kama wahispania hawajui mpira wanaojua mpira ni nani Waengeraza au?