It's stupid to blame the coach. This wasn't a tactical defeat. Our players didn't show half of what was supposed to do
Midfield ilikufa tokea mwanzo wa mchezo, na ndio pia walikua wanashindwa kupeleka mipira kwa ma forward. Timu kama Real Madrid huwezi cheza na timu kama Eibar halafu mukawa Ball position 50 50. Weakness kubwa ya Solari mechi zote mpaka saivi anashindwa kumiliki mpira kikamilifu kweye midfield. Hilo ni tatizo kwa timu kama Real hasa wanapokuwa wanacheza na timu ndogo. hata mechi ya Celta walitawalwa sana kati.

