lynne
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 897
- 1,182
Kuna wachezaji waliongea shits kwa CR7 baada ya kushinda game za mwanzo huku CR7 akiwa hafungi.
Mara ooh, sasa hivi tunacheza kitimu, kuna mtu mmoja alikuwa anaharibu teamwork, nk nk.
Leo sasa...



Kuna wachezaji waliongea shits kwa CR7 baada ya kushinda game za mwanzo huku CR7 akiwa hafungi.
Mara ooh, sasa hivi tunacheza kitimu, kuna mtu mmoja alikuwa anaharibu teamwork, nk nk.
Leo sasa...



MKUU MBONA UNADIVERGE KWENYE HOJA ZAKO ULIZOKUWA UNAJIBIZANA NA WATU HUMU JUKWAANI...NASHANGAA UNAMUINGIZA VIPI RONALDO WAKATI WEWE WATU WAKIONGELEA MAPUNGUFU YANAYOONEKANA WAZI KWENYE TIMU WEWE ULIKUWA UNAWALIPUKIA NA CHA AJABU KADRI SIKU ZINAVYOENDA YANAZIDI KUJIDHIIRISHA , OK!...STOP ATTACKING OTHER FANS AND NO NEED TO FIGHT EACH OTHER AS LONG AS BOTH WE'RE MADRID FANS BUT FIRST YOU MUST ACCEPT THAT REAL HAS A PROBLEM AND OBVIOUSLY NOT GOING IN OUR WAYS WE USE TO OPERATE...RIGHT?
ila mkuu mie niseme tu...huyu kocha alikuja na style nzuri sana tu ya uchezaji na timu ilikuwa inacheza mpira mzuri wa kupass na kupress vizuri hasa eneo la kiungo...ishu iliyomuangusha huyu jamaa ni 1. kutumia wachezaji walewale aliowakuta wakicheza kwa misimu mitatu mfululizo{kitu ambacho ata zidane alikigundua na kukiepuka fasta...infact bwana perezi alilitambua hilo na hakuwa tayari kuleta wachezaji wapya ili kuamsha ile morale ya timu}, kwa hivyo ni ukweli ulio wazi kuwa real inahitaji kusajili hasa forward line na back wa kati ata mmoja tu(wakuwasaidia ramos na varane) ili kuamsha morale ya timu kwa maana licha yakuwa forward zetu ni butu lakini unaona kabisa timu imekosa push/fighting spirit/driving character tuliyokuwa nayo awali kwa maana niwe muwazi KAMA TUNGEKUWA NA MORALE NA FORWARD MAKINI PALE MBELE KAMA ICARDI IN THE START OF SECOND HALF BARCA WALINYWEA KWAHIYO ILIBIDI SISI TUTUMIE ILE MOMENT TO DRIVE BACK THE SITUATION...CHA AJABU YULE NDUGU YETU BENZEMA KAKOSA CHANCES ZA WAZI KABISA NA TEAM ILIPOTEZA MORALE NA KUTOKANA NA HILO KADRI TEAM ILIPOKUWA IKIRUHUSU MAGOLI NDIPO DEFENCE NZIMA IKATEPETA...KWA UPANDE WA KIPA SINA SHAKA NAE JAMAA KAJITAHIDI ILA DEFENCE YAKE ILIMUANGUSHA, But I hope perez atayaweka sawa siku chache zijazo likiwepo ilo la usajili ili tuweze kurudi kwenye winning track yetu maana haiwezekani mechi tano mfululizo za ligi hatuna ushindi.
Bora team apewe solari kuliko conte, conte atatuletea mambo ya kupark bus tuSantiago Solari is the new interim coach
![]()

We jamaa una shida sehemu, yaan huoni ujinga wa Benz?Ninachopinga mimi ni kuaminishana kama matatizo ya Real Madrid yanatokana na kukosekana kwa Ronaldo. Sikama napinga kama timu haina matatizo. Na kama utafitilia uzi vizuri hio ndio hoja yao Mafanboys wa CR7.
Real ina matatizo mengi na hayajaanzia leo. Timu imkua ikiborongo kwa mda sasa hivi ndani ya ligi, na tatizo linafichika kutokana na mafanikio yanayopatikana ulaya.
Timu ina serious problem ya defenders, Na ndio tatizo kuu linalowatafuna msimu huu. Mabao walipigwa 4 kwa atletico, 5 barca, 3 sevilla sikidogo kabisa. na timu yoyote inayoruhusu vipigo kama hivo hapana dalili ya Ubingwa. Mana Mpira jambo lamwanzo Defense. Pitia timu zote zinazo fanikiwa na kutoa mataji ligi yoyote Ulaya jambo la mwanzo utakuta magoli kidogo sana wanafungwa ukilinganisha na wengine. Sasa wadau humu ndani wao akili zao zipo kwenye Ronaldo utafikiria yeye ndie anaekoa magoli kule nyuma. Mechi zote walizofungwa Real Madrid wameruhusu magoli mapema sana ndani mechi. CSK Moscow wametia goli dakika ya pili. Lavente ndani ya dakika 15 za mwanzo walishatia magoli mawili. Sevilla ndani ya 25m walikua na mawili. Barce na hivohivo wametia mbili mapema sana. Sasa wadau humu wanashindwa kabisa kuiona main basic problem ya timu. nafkiri unafaham kabisa vipi magoli ya mapema yanavobadilisha program nzima ya mechi.
Varane garasa, Marcello ni mzuri kwa kushambulia lakini defending very very Poor, Ramos ameshachoka. Na kubwa zaidi ni Kocha mpya amekuja kwenye timu na mfumo mpya ambao ni tafauti mfumo Zidane wakukaba zaidi amabo ulikua ukiisaidia kuilinda defense. Sas imkua inakuaexposed kirahisi kabisa.
Wao wameelekeza majungu kwa Benzema. Benzema ana 6 goals msimuu huu mpaka saivi, Ronaldo 7, Aguero 6, Salah 7, Hazard 8, Cavani 5, Lewandoski 6, Higuain 6, Suarez 7, Kane 6, icardi 5, ukimuondoa Messi karibu Mastriker wote wakubwa wa ulaya wana range ya magoli inayofanana kabisa. Sasa wao sijui walitaka awe kashafunga magoli 20 saivi, Au labda watwambie uyo striker ambaye angekua kashafunga goli 15 nani. Huyo Ronaldo msimu uliopita kama saivi alikua ndio kwanza ana goli 4.
Tatizo kubwa la Real Madrid ni kocha, na si kama kocha ni mbaya tatizo mfumo wake bado umeshindwa kufanyakazi vizuri mpaka sasa. Timu instragle kucreate nafasi za wazi, Napia kwenye defending ni majanga. Mchezaji kama Casemrio ameshindwa kabisa kuuadopt mfumo wa kocha mpaka sasa, Nandio moja tatizo kubwa linapoanzia kuishambuliaji na defending. Naamini wakimpa muda timu itakaa sawa, Lakini sifikirii kama atupata huo mda, Kocha yoyote ataekuja itambidi aje auendeleze mfumo wa Zidane ndio timu inaweza kubadilika kwa haraka.
KIUFUPI KUBORONGA KWA REAL KUNATOKANA NA UBADILISHWAJI WA KOCHA.
We jamaa una shida sehemu, yaan huoni ujinga wa Benz?
Ninachopinga mimi ni kuaminishana kama matatizo ya Real Madrid yanatokana na kukosekana kwa Ronaldo. Sikama napinga kama timu haina matatizo. Na kama utafitilia uzi vizuri hio ndio hoja yao Mafanboys wa CR7.
Real ina matatizo mengi na hayajaanzia leo. Timu imkua ikiborongo kwa mda sasa hivi ndani ya ligi, na tatizo linafichika kutokana na mafanikio yanayopatikana ulaya.
Timu ina serious problem ya defenders, Na ndio tatizo kuu linalowatafuna msimu huu. Mabao walipigwa 4 kwa atletico, 5 barca, 3 sevilla sikidogo kabisa. na timu yoyote inayoruhusu vipigo kama hivo hapana dalili ya Ubingwa. Mana Mpira jambo lamwanzo Defense. Pitia timu zote zinazo fanikiwa na kutoa mataji ligi yoyote Ulaya jambo la mwanzo utakuta magoli kidogo sana wanafungwa ukilinganisha na wengine. Sasa wadau humu ndani wao akili zao zipo kwenye Ronaldo utafikiria yeye ndie anaekoa magoli kule nyuma. Mechi zote walizofungwa Real Madrid wameruhusu magoli mapema sana ndani mechi. CSK Moscow wametia goli dakika ya pili. Lavente ndani ya dakika 15 za mwanzo walishatia magoli mawili. Sevilla ndani ya 25m walikua na mawili. Barce na hivohivo wametia mbili mapema sana. Sasa wadau humu wanashindwa kabisa kuiona main basic problem ya timu. nafkiri unafaham kabisa vipi magoli ya mapema yanavobadilisha program nzima ya mechi.
Varane garasa, Marcello ni mzuri kwa kushambulia lakini defending very very Poor, Ramos ameshachoka. Na kubwa zaidi ni Kocha mpya amekuja kwenye timu na mfumo mpya ambao ni tafauti mfumo Zidane wakukaba zaidi amabo ulikua ukiisaidia kuilinda defense. Sas imkua inakuaexposed kirahisi kabisa.
Wao wameelekeza majungu kwa Benzema. Benzema ana 6 goals msimuu huu mpaka saivi, Ronaldo 7, Aguero 6, Salah 7, Hazard 8, Cavani 5, Lewandoski 6, Higuain 6, Suarez 7, Kane 6, icardi 5, ukimuondoa Messi karibu Mastriker wote wakubwa wa ulaya wana range ya magoli inayofanana kabisa. Sasa wao sijui walitaka awe kashafunga magoli 20 saivi, Au labda watwambie uyo striker ambaye angekua kashafunga goli 15 nani. Huyo Ronaldo msimu uliopita kama saivi alikua ndio kwanza ana goli 4.
Tatizo kubwa la Real Madrid ni kocha, na si kama kocha ni mbaya tatizo mfumo wake bado umeshindwa kufanyakazi vizuri mpaka sasa. Timu instragle kucreate nafasi za wazi, Napia kwenye defending ni majanga. Mchezaji kama Casemrio ameshindwa kabisa kuuadopt mfumo wa kocha mpaka sasa, Nandio moja tatizo kubwa linapoanzia kuishambuliaji na defending. Naamini wakimpa muda timu itakaa sawa, Lakini sifikirii kama atupata huo mda, Kocha yoyote ataekuja itambidi aje auendeleze mfumo wa Zidane ndio timu inaweza kubadilika kwa haraka.
KIUFUPI KUBORONGA KWA REAL KUNATOKANA NA UBADILISHWAJI WA KOCHA.