Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Bla bla blaaa kocha keshatimuliwa lets wait new one and see new progress

Nyie si ndo mlikua mnasema zidane anabebwa na kikosi alichokua nacho na kwamba hana mbinu etc etc today mnamsifia kuwa ni bonge la kocha duh jamaa anakuzoom ujueView attachment 915894

All in all umeongea pumba. Umejaribu kumdis ramos kiaina ili usionekane ronaldo hater ila hujafanikiwa. Hope hujageuka pacha wa isco

Tatizo ni Perez. Madrid inatakiwa kuvunja kibubu kusajili wachezaji vipaji kama utamaduni wa kila miaka.

Lazima uone pumba mana ndani ya bongo lako unahisi ushindi wa timu unaletwa na aliefunga goli, Unahisi aliefunga ndie anejua mpira kuliko yoyote mwengine.

Na Labda ungelipekua ukatuekea post yangu niliyowah zungumza hayo kuhusu Zidane.

Na mkuu hayo masuala ya hater na ronaldo ramos niyenu nyie watoto wakidigital. sidili na mabo yakipuuzi, Naifaham Real Madrid kwa karibu miaka 25 sasa kwaiyo nakifaham ninachokizungumza. Ila kwanyinyi mnaohisi Dunia imenza kuexisist baada uwepo wa Ronaldo na Messi sina ya kukwambieni juu ya ilo.

Na Perez ndio brain behind Real Madrid success Economical na Uwanjani pia. Ni binaadamu nayeye ana mapungufu yake hakuna aliekua perfect lakini Fact itabikia kuwa ndio hivo.
Nahilo suala la kuvunja kibubu ndio linalotembea kweye vichwa vyenu, Fikira zenu kwamba spending ndio itakayogerantii success na hilo sikweli kabisa. Hivi Real Wamebeba 3 champion league mfululizo ni spending kubwa gani waliofanya? hawa wachezaji wote walikuepo kabla kwenye timu. Man UTD wamespend karibu 700 pounds katika last 6 years je kuna kipi walichopata?Everton wamespand karibu 300 in last two years nini wamepata? kinachohitajika ni right spending na sio lazima iwe big spending. PSG wamelipa 220 kwa Neymar vipi mpaka saivi umeona dalili zozote za matunda yake?
 
Conte akifika yani nae atatimuliwa mapema tu pale,,unauzaje ronaldo halafu hufanyi replacement
 
another bruuuuuuh mkuu hata kama umeifahamu madrid miaka 100 iliyopita ila hakuna msimu ambao mchezaji mmoja kahama akapata diss anzia kwa baadhi ya wachezaji wenzie mpaka haters yaan mkikosolewa kitu mnakimbilia kumtaja.

Hebu chukua hii comment halafu tuendelee na mambo ya maana
IMG_20181030_115946.jpg


Halafu wasema umeifahamu madrid miaka 23 kisha unasema hawakufanya spending misimu ya uefa miaka 3 mfululizo reallyyyy!!!aiseee ina maana hicho kikosi walichonacho hukuona spending eeh akina james etc mliwapata bure bure?vipi mishahara ya akina ramos haikuongezeka?

Epl na la liga wapi na wapi mkuu?unalinganisha timu za epl na ufaransa huko mbali unaiacha barca na atleco why? Daah dharau iliyoje R madrid kulinganishwa na everton hatujafikia level za everton mkuu(hii timu mara ya mwisho kukipiga UEFA ni lini)

Tunaongelea R madrid sio neymar na PSG. Anyway mbona hauongelei majiran hapo na mshahara mkubwa wa messi kwani huoni matunda yake? Nani asiyejua beckham alifata mshiko madrid enzi hizo timu imejaza mastaa wa kila aina. Pesa pesa tumia pesa ikutumikie

All in all sidhan kama anguko la madrid lipo kisa zidane no way,zidane hakuwa kocha wa muda mrefu kama Sir Ferguson pale man u.

Tuchukue msemo kata mti panda mti au miti. Wengi walitarajia usajili matata wa mshambuliaji kama mbappe baada ya matumaini ya kumnasa neymar kufa.
Lazima uone pumba mana ndani ya bongo lako unahisi ushindi wa timu unaletwa na aliefunga goli, Unahisi aliefunga ndie anejua mpira kuliko yoyote mwengine.

Na Labda ungelipekua ukatuekea post yangu niliyowah zungumza hayo kuhusu Zidane.

Na mkuu hayo masuala ya hater na ronaldo ramos niyenu nyie watoto wakidigital. sidili na mabo yakipuuzi, Naifaham Real Madrid kwa karibu miaka 25 sasa kwaiyo nakifaham ninachokizungumza. Ila kwanyinyi mnaohisi Dunia imenza kuexisist baada uwepo wa Ronaldo na Messi sina ya kukwambieni juu ya ilo.

Na Perez ndio brain behind Real Madrid success Economical na Uwanjani pia. Ni binaadamu nayeye ana mapungufu yake hakuna aliekua perfect lakini Fact itabikia kuwa ndio hivo.
Nahilo suala la kuvunja kibubu ndio linalotembea kweye vichwa vyenu, Fikira zenu kwamba spending ndio itakayogerantii success na hilo sikweli kabisa. Hivi Real Wamebeba 3 champion league mfululizo ni spending kubwa gani waliofanya? hawa wachezaji wote walikuepo kabla kwenye timu. Man UTD wamespend karibu 700 pounds katika last 6 years je kuna kipi walichopata?Everton wamespand karibu 300 in last two years nini wamepata? kinachohitajika ni right spending na sio lazima iwe big spending. PSG wamelipa 220 kwa Neymar vipi mpaka saivi umeona dalili zozote za matunda yake?
 
another bruuuuuuh mkuu hata kama umeifahamu madrid miaka 100 iliyopita ila hakuna msimu ambao mchezaji mmoja kahama akapata diss anzia kwa baadhi ya wachezaji wenzie mpaka haters yaan mkikosolewa kitu mnakimbilia kumtaja.

Hebu chukua hii comment halafu tuendelee na mambo ya maanaView attachment 915998

Halafu wasema umeifahamu madrid miaka 23 kisha unasema hawakufanya spending misimu ya uefa miaka 3 mfululizo reallyyyy!!!aiseee ina maana hicho kikosi walichonacho hukuona spending eeh akina james etc mliwapata bure bure?vipi mishahara ya akina ramos haikuongezeka?

Epl na la liga wapi na wapi mkuu?unalinganisha timu za epl na ufaransa huko mbali unaiacha barca na atleco why? Daah dharau iliyoje R madrid kulinganishwa na everton hatujafikia level za everton mkuu(hii timu mara ya mwisho kukipiga UEFA ni lini)

Tunaongelea R madrid sio neymar na PSG. Anyway mbona hauongelei majiran hapo na mshahara mkubwa wa messi kwani huoni matunda yake? Nani asiyejua beckham alifata mshiko madrid enzi hizo timu imejaza mastaa wa kila aina. Pesa pesa tumia pesa ikutumikie

All in all sidhan kama anguko la madrid lipo kisa zidane no way,zidane hakuwa kocha wa muda mrefu kama Sir Ferguson pale man u.

Tuchukue msemo kata mti panda mti au miti. Wengi walitarajia usajili matata wa mshambuliaji kama mbappe baada ya matumaini ya kumnasa neymar kufa.
Naona mmekua waandishi wa makala humu
 
Alhamdullilah....
Sisi sio wa kufirimbwa vile utadhani watoto wa sekondari yaani tunapoteana mazima.
Safari njema Lopetegui tunaonana mbele ya safari,Perez na wewe acha wehu sasa hii timu imezeeka sasa tunahitaji watu wa kuamsha morale iko siku na wewe utawekwa kikaangoni tu huu msimu umeyaleta majanga wewe mwenyewe umeruhusu nguzo mbili kuu kudondoka kibwege tu kisa kiburi chako.
Hahah! mkuu pole sana naona Arsenal wapo vizuri msimu huu ila Madrid tena wanakuangusha
 
Huyi Lopetegui kafanywa mbuzi Wa Kafara tu lakini ukweli Ni kwamba tokea last season Real M. haikuwa na msimu mzuri Wa Ligi na kilichomfanya Zidane asalimike Ni Kubeba CL tu.
Lakini angelikosa CL basi na yeye angelitimuliwa.

Kwahiyo Zidane tokea last season alikuwa na Kikosi Kibovu kwa La Liga.! Lakini Mara hii ndiyo Kimezidi kupungua Nguvu (Rinaldo).

Hatimae Zizzou Kawa mjanja kachomoa Kimtindo.

Huyu Lopet ilikuwa Wampe Wachezaji Kwana ndiyo wamhukumu. Huwezi muhukumu Kocha kwa Kuwa na Bale na Benzema kuongoza Mashambulizi.

Najua kuna watu watasema mbina Zidane alitumia haohao Wafamasia?
Jibu Ni kwamba umri haugandi wala haurudi nyuma. Na kawaida ya umri unaodoka na Kipaji.

My Note: Kuboronga Kwa Real M. ni kujiandaa Kisaikolojia kwa sisi Timu zetu ambazo hazina ubavu Wa Kushindana na Uwekezaji Wa Real M.
Kwa Neymar na Mbappe mwarabu anaweza Kupambana sokoni..
Lakini Kwa Hazard na kina De Gea na wenzake tujiandae kisaikolojia Manake Courtois ameshafeli golini.
 
another bruuuuuuh mkuu hata kama umeifahamu madrid miaka 100 iliyopita ila hakuna msimu ambao mchezaji mmoja kahama akapata diss anzia kwa baadhi ya wachezaji wenzie mpaka haters yaan mkikosolewa kitu mnakimbilia kumtaja.

Hebu chukua hii comment halafu tuendelee na mambo ya maanaView attachment 915998

Halafu wasema umeifahamu madrid miaka 23 kisha unasema hawakufanya spending misimu ya uefa miaka 3 mfululizo reallyyyy!!!aiseee ina maana hicho kikosi walichonacho hukuona spending eeh akina james etc mliwapata bure bure?vipi mishahara ya akina ramos haikuongezeka?

Epl na la liga wapi na wapi mkuu?unalinganisha timu za epl na ufaransa huko mbali unaiacha barca na atleco why? Daah dharau iliyoje R madrid kulinganishwa na everton hatujafikia level za everton mkuu(hii timu mara ya mwisho kukipiga UEFA ni lini)

Tunaongelea R madrid sio neymar na PSG. Anyway mbona hauongelei majiran hapo na mshahara mkubwa wa messi kwani huoni matunda yake? Nani asiyejua beckham alifata mshiko madrid enzi hizo timu imejaza mastaa wa kila aina. Pesa pesa tumia pesa ikutumikie

All in all sidhan kama anguko la madrid lipo kisa zidane no way,zidane hakuwa kocha wa muda mrefu kama Sir Ferguson pale man u.

Tuchukue msemo kata mti panda mti au miti. Wengi walitarajia usajili matata wa mshambuliaji kama mbappe baada ya matumaini ya kumnasa neymar kufa.

Usigeuze maneno mkuu. Ishu niliosema nikua usajili wafedha kubwa haugerantee mafanikio. Huyo james unaemzungumza alisajiliwa kwa hela ndefu na akaishia bench.
Nasijalinganisha Real Madrid na timu yoyote, Nimekupa mifano tu ya Big spending ambazo hazijaleta matunda yoyote. Narejea palepale, Big Spending haiGreentree success yoyote, Ila inaweza kukutia hasara ukajuta kutumia zile pesa.
Na unapozungumza Kesi yakuwa kocha wa mda mrefu unachekesha mno. Je unaikumbuka Inter ilipoporomoka baada ya uondoko wa Morinho? Je Morinho alikaa miaka mingapi Pale? Je unakumbuka Real Ilipoporomoka baada ya Kuondoka kwa Del Bosque? Hivo vitu ni vakawaida kutokea kwenye football.
 
Nani kageuza maneno wakati mwenyewe umesema real haikuspend misimu mitatu. Ukaulizia neymar na psq kisha unakuja kujijibu hapa kuhusu james.

Mou kila anapoenda anajenga na kuharibu. Hizo historia za inter sijui wapi huko mpaka nikagoogle. Am R madrid and man u fan ndo maana natumia mifano ya timu hizi tu

So mkuu tusigeuzane waandika makala hapa. Kocha keshasepa,new one atatinga soon ili visingizio vya kulaumu kocha viishe
Usigeuze maneno mkuu. Ishu niliosema nikua usajili wafedha kubwa haugerantee mafanikio. Huyo james unaemzungumza alisajiliwa kwa hela ndefu na akaishia bench.
Nasijalinganisha Real Madrid na timu yoyote, Nimekupa mifano tu ya Big spending ambazo hazijaleta matunda yoyote. Narejea palepale, Big Spending haiGreentree success yoyote, Ila inaweza kukutia hasara ukajuta kutumia zile pesa.
Na unapozungumza Kesi yakuwa kocha wa mda mrefu unachekesha mno. Je unaikumbuka Inter ilipoporomoka baada ya uondoko wa Morinho? Je Morinho alikaa miaka mingapi Pale? Je unakumbuka Real Ilipoporomoka baada ya Kuondoka kwa Del Bosque? Hivo vitu ni vakawaida kutokea kwenye football.
 
Nani kageuza maneno wakati mwenyewe umesema real haikuspend misimu mitatu. Ukaulizia neymar na psq kisha unakuja kujijibu hapa kuhusu james.

Mou kila anapoenda anajenga na kuharibu. Hizo historia za inter sijui wapi huko mpaka nikagoogle. Am R madrid and man u fan ndo maana natumia mifano ya timu hizi tu

So mkuu tusigeuzane waandika makala hapa. Kocha keshasepa,new one atatinga soon ili visingizio vya kulaumu kocha viishe
Unabishana na mtu ambaye hampendi Rinaldo kisa mafanikio ya messi
 
Nani kageuza maneno wakati mwenyewe umesema real haikuspend misimu mitatu. Ukaulizia neymar na psq kisha unakuja kujijibu hapa kuhusu james.

Mou kila anapoenda anajenga na kuharibu. Hizo historia za inter sijui wapi huko mpaka nikagoogle. Am R madrid and man u fan ndo maana natumia mifano ya timu hizi tu

So mkuu tusigeuzane waandika makala hapa. Kocha keshasepa,new one atatinga soon ili visingizio vya kulaumu kocha viishe

Man utd & Real Madrid fan
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png


Umeisahau na Juventus, Sema tu kama wewe ni Ronaldo fanboy. 90 pecent ya mashbiki wa ronaldo ni Man UTD fans.
 
jamaa unampenda basi tu kujitia hater.

Nani humu asiyejua kuwa am CR7 diehard fan.

Ile ID yako nyingine ilishajaribu kunifukuzia juve nikagoma naona umerud upya bwahahaah. Tutabanana hapa hapa
Man utd & Real Madrid fan
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png


Umeisahau na Juventus, Sema tu kama wewe ni Ronaldo fanboy. 90 pecent ya mashbiki wa ronaldo ni Man UTD fans.
 
🎙| Pep Guardiola: "I'm sorry for Julen because he's a friend of mine, he's an exceptional person."

"When you have bad results you won't continue and big, big places like Barcelona and Madrid - these kind of places either you win in a row or you won't have a chance to continue."



45045121_2249612121730202_785839368601337856_n.jpg

 
jamaa unampenda basi tu kujitia hater.

Nani humu asiyejua kuwa am CR7 diehard fan.

Ile ID yako nyingine ilishajaribu kunifukuzia juve nikagoma naona umerud upya bwahahaah. Tutabanana hapa hapa

Sasa acha kujitangazia kama ni Real Madrid fan.
 
Toni Kroos : "The biggest defeat for players is when the coach has to go. Especially in this case because he is a great coach and great person. Thanks Julen!"

45085039_2209011012465737_5834921132716720128_n.jpg
 
MATCHDAY

🏆 Copa Del Rey
⚽ Melilla 🆚 Real Madrid
📅 Date: 31st October - Wednesday
🕒 Time: 19:30H (CET)
🏟 Venue: Estadio Álvarez Claro



45148038_2250350168323064_3250583385944358912_n.jpg
 
Santiago Solari:

"It’s a group of champions and warriors that has won a lot for this club. The situation is not the easiest but I can see that they want to turn it around".

"I’m really happy and really looking forward to the challenge. Working at Real Madrid is a great opportunity and a beautiful job at any level. I’ve been a player, I sweated every last drop in the shirt, like many others. Madrid in its greatness is above us all."

The cup match
"The idea is to go to Melilla tomorrow and to give everything. Go out there and play with passion, dedication and a desire to do things well."

Zidane
"Let’s leave him alone. He’s one of the greatest at Real Madrid C.F.. We can’t keep taking about him, better to leave him alone in his greatness and not compare him to anyone".

His future
" Everything goes very fast and the important thing is that we work on the day to day and enjoy every moment. The important thing is what you do in each training session and each game".

Vinicius Jr
" He's a part of the squad like anyone else, he is young and talented. He has a lot to learn and a lot to give, now and in the future. There are no players in the Real Madrid squad who’re not up to the level necessary to play".



45064108_2249996665025081_5485046654333616128_n.jpg
 
Back
Top Bottom