Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,514
- 23,696
La Liga itanitoa roho.
Presha yangu haijashuka bado walichotufanya Sevilla, leo tuna Atletico. Dah
Presha yangu haijashuka bado walichotufanya Sevilla, leo tuna Atletico. Dah
#HalaMadrid....Let's hope for a win today.
La Liga itanitoa roho.
Presha yangu haijashuka bado walichotufanya Sevilla, leo tuna Atletico. Dah
Modric angem chezesha kulia badala ya hapo kushoto, ili kroos awe anamsaidia nacho, maana nacho hana speek ya kurudi pindi akipanda kushambuliaNacho anacheza wing back ya kushoto, labda hii ni good news defensively, tutakuwa na defenders 5, na waliobaki pale mbele wote ni ball players
Ni good news defensively yes, lakini kwenye kusaidia idara ya ushambulizi kutapungua, kumbuka game zetu nyingi full backs wana play role kubwa sana katika upande wa ushambulizi, lets hope mambo yataenda poa....#HalaMadrid!!Nacho anacheza wing back ya kushoto, labda hii ni good news defensively, tutakuwa na defenders 5, na waliobaki pale mbele wote ni ball players
Ni good news defensively yes, lakini kwenye kusaidia idara ya ushambulizi kutapungua, kumbuka game zetu nyingi full backs wana play role kubwa sana katika upande wa ushambulizi, lets hope mambo yataenda poa....#HalaMadrid!!