Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Importantisimo' 878.

Zilikuwa siku 878 'muhimu sana' (Importantisimo) kwa Madridistas. Zilikuwa siku ambazo kila mmoja alifurahia maisha. Kila dakika zilikuwa murua. Utra Sul au Grada wote tulifurahia uwapo wako.

Lakini sasa tunaanza maisha bila ZINEDINE ZIDANE. Ulipoahidi mabadiliko kuanzia Juni mwaka huu, niliamini kuwa utasajili wachezaji wapya. Lakini hadi unaondoka hakuna 'Galactico' aliyesajiliwa. Ikiwa na maana umemwonesha Florentino Perez kuwa inawezekana.

Perez alichonga kinyago ambacho kimemletea mafanikio ya kutosha bila matanuzi sokoni. Unaondoka bila kumsajili 'kipenzi' chako Eden Hazard. Unaondoka katika kipindi ambacho unasema huna la kuwashawishi tena wachezaji.

Ni kweli wamefanya kila kitu kwa ajili yako na umewasaidia kushinda kila kitu ndani ya siku 878. Ulikataa kuajiri kocha msaidizi mwenye jina kubwa.

Badala yake ukawachukua washikaji zako wa utotoni, Hamidou Msaidie na David Bettoni. Hofu niliyokuwa nayo msimu huu juu ya kuondoka kwako, imedhihirika. Pengine nilikuwa kama kunguru mwoga lakini nilichokiona kimetokea.

Zizzou umeondoka katika kipindi kitamu ambacho bado tuna mashamshamu ya ubingwa. Bado tunawashwa washwa kutamba na kuringa.

Sina mashaka kuwa kuna jina umelidokeza kwa Perez, lakini inafaa pia kumpa timu RAUL GONZALEZ, SANTIAGO SOLARI au GUTIEREZ 'GUTI? Sijui... lakini inawezekana.

Asante sana na kwaheri ZINEDINE ZIDANE. Ulikuwa 'Importantisimo".
 
Perez during Zidane’s farewell press conference.

DeiI7I4WkAEvvJm.jpg


DeiI7I1WAAMWoDD.jpg


DeiI7I2WkAAPjIC.jpg
wao wanakuwaga comfortable pindi wakiwa wanafukuza mameneja acha nayeye aonje kuachwa ghafla kunakuwajekuwaje
 
- Grinta coaches

- Tactical coaches

- Attacking coaches

- Defending coaches

- Even smoking and non-smoking coaches ...none of them survived

DeP3Ml6W0AAaYRv.jpg
 
Possible contenders for the Real Madrid job are:

1) Arsene Wenger
2) Antonio conte
3) Guti
4) Joachim Loew
5) Mauricio Pochettino
Huyu namba moja nimejikuta nawaza picha za kinaijeria na neno "God forbid "huku wanazungusha mkono kichwani.
 
Zidane is new Qatar national team coach on a $50m per year deal. In preparation of 2022 World Cup
 
Tottenham will demand £42.5m in compensation if Real Madrid try to appoint Mauricio Pochettino to succeed Zinedine Zidane. (Source: The Times)
 
Zidane is new Qatar national team coach on a $50m per year deal. In preparation of 2022 World Cup
Hiyo picha ni ya zamani wakati Qatar wanagombania kuandaa World Cup 2022 Zidane alikuwa balozi wao
 
Kila mmoja anataka aondoke why yeye?sijaona uzito wake. Bale alisakamwa weee mpaka akaiona madrid chungu ila kufunga mabao ya mwishon mwishon saiv kapumzika maneno maneno ya kukoseshwa raha.

Kisingizio cha kocha kaondoka kisa timu ina wachezaji wengi miaka 30 hakina mashiko
Hahaa ofcourse jamaa umri umeenda akiendelea kubaki atakuwa kama kocha indirectly maana amefanikiwa mengi,kama anataka heshima bora aende zake Marekani tu.
 
Kila mmoja anataka aondoke why yeye?sijaona uzito wake. Bale alisakamwa weee mpaka akaiona madrid chungu ila kufunga mabao ya mwishon mwishon saiv kapumzika maneno maneno ya kukoseshwa raha.

Kisingizio cha kocha kaondoka kisa timu ina wachezaji wengi miaka 30 hakina mashiko
Christiano needs to go tena on a high kama sasa
tunamfaham he is very stubborn na kama tunataka kuanza na upya we cant depend on a 33 year old man.
He has done enough aache space ta mwanzo mpya

Kwa sasa priority ya club inafaa iwe kumwondoa ila kwa staha na heshima.
 
Inaonekana Cr7 ana nguvu ya aina fulani mpaka anaogopwa na kila mtu mfano liver wanajisifia kumfunika ronaldo uefa,madrista wanaogopa atakua kocha mchezaji kila timu inatoaga legend mkuu wale wanaostaafu bila kutimuliwa wala kulazimishwa,zizzou aliondoka mwenyewe.
Hahaa ofcourse jamaa umri umeenda akiendelea kubaki atakuwa kama kocha indirectly maana amefanikiwa mengi,kama anataka heshima bora aende zake Marekani tu.
 
acha hizo ronaldo sio tishio kwa timu. Kocha ajaye awe ngangari na mifumo yake ataweza ijenga madrid vizuri tu. Mipira ya bongo bana.
Christiano needs to go tena on a high kama sasa
tunamfaham he is very stubborn na kama tunataka kuanza na upya we cant depend on a 33 year old man.
He has done enough aache space ta mwanzo mpya

Kwa sasa priority ya club inafaa iwe kumwondoa ila kwa staha na heshima.
 
Back
Top Bottom