Salama Kabisa Mkuu., mambo mdogo mdogo vijana wanafanya mambo hukoo UCL, tunakabiliwa na mtanange wa pili kesho kutwa hapo..Dah habarini humu madridista wenzangu.. nilipotea majuma kadhaa kutokana na mambo yaliyo nje ya uwezo wangu. Lakini nafurahi mwenendo timu UCL kule tumeweza waziba midomo haters.
Mhhh mkuuView attachment 592861 Madrid waliamua kucheza 12 uwanjani na bado wakafungwa
Good News indeed.., Nacho atatusaidia sana kwenye beki ya kulia, japokuwa itabid apewa Vasquez amsaidie kukaba, sababu jamaa kwa kushangaa tu hajambo...Good news ni kwamba mazoezi ya leo Isco na Nacho waliwajoin wenzao.
Hopefully tutakua nao kumalizia kazi
Dah habarini humu madridista wenzangu.. nilipotea majuma kadhaa kutokana na mambo yaliyo nje ya uwezo wangu. Lakini nafurahi mwenendo timu UCL kule tumeweza waziba midomo haters.
Haya majeruhi yanaweza kutu cost hasa pengo la carvjal