Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #36,601
20'
Real Madrid 1-0 Leganes.
Real Madrid 1-0 Leganes.
Naona Zidane kawarest wachezaji muhimu kwa ajili ya Bayern Munich
Naomba link mkuu, naona mobdro chenga tupuMan, you can't believe hii class inayoonyeshwa na hawa youngsters. Umemuona Covacic? Kama yupo mazoezini.
Sikufanikiwa kuangalia hii game jana, but kwa highlight nilizochek tu, vijana wetu wapo poa sana, wamekosa experience tu., Dani, Theo na Hakimi watakuja kufanya makubwa sana kama wakituliza akili zao kwasasa.., wanajitahid sana kwa kweli, Kovacic wala siwezi kumzugumzia.., yule Dogo anajua sana,Man, you can't believe hii class inayoonyeshwa na hawa youngsters. Umemuona Covacic? Kama yupo mazoezini.
Kwani shida ipo wapi!? ama siku hizi penalty mchezaji akifunga haihesabiwa kuwa ni goli?OTHER HIDDEN FACTS
MO SALAH - 43 Goals
1 Penalty
RONALDO - 42 Goals
20 Penalties
Hapa ndio nilipoona kuwa Casemiro hawezi kuwa CB, walijisahau kabisa pamoja na mwenzie Hakimi..,Leganes pull one back, 2-1
Sidhani kama anafanya tena hivyo, siku ile ilitokea tu as emergency na ukizingatia kuwa tulikuwa tuna goli mbili na pia Lucas alikuwa ameifanya Hiyo kazi kwa mafanikio makubwa kwa muda mrefu, so akaona usiwe shida akaamua Dogo amalizie kazi yake.., Nacho mpaka Jne atakuwa yupo fit, so ninadhan atapiga beki 2, akisaidiana na Lucas pia.., kutokuwepo kwa Isco inamaana Asensio atapata nafasi ya kuanza pia..., ila ngoja tusubir jamaa atakuja na formula ipi.,Kuna taarifa kwamba jumanne beki no.2 itachezwa na Lucas
Sijui ni kwanini Zidane anataka kurisk hichi kitu, kumpanga Lucas amukabe Ribery ni zaidi ya maamuzi magumu.
Ni vyema Achraf acheze japo hua ana makosa mengi kutokana na experience yake ndogo!
Good news ni kwamba mazoezi ya leo Isco na Nacho waliwajoin wenzao.Sidhani kama anafanya tena hivyo, siku ile ilitokea tu as emergency na ukizingatia kuwa tulikuwa tuna goli mbili na pia Lucas alikuwa ameifanya Hiyo kazi kwa mafanikio makubwa kwa muda mrefu, so akaona usiwe shida akaamua Dogo amalizie kazi yake.., Nacho mpaka Jne atakuwa yupo fit, so ninadhan atapiga beki 2, akisaidiana na Lucas pia.., kutokuwepo kwa Isco inamaana Asensio atapata nafasi ya kuanza pia..., ila ngoja tusubir jamaa atakuja na formula ipi.,