Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Sipendi tunavyopoteza possession kwenye third part. Lakini we'll beat them kwasababu wana papara ya kushambulia kitu kinachowafanya wafunguke sana
 
Ngoja nione nishuhudie kipindi cha pili kitakavyokuwa..Ila sina shaka kuhusu kuwaondoa hawa majamaa
 
Sipendi tunavyopoteza possession kwenye third part. Lakini we'll beat them kwasababu wana papara ya kushambulia kitu kinachowafanya wafunguke sana
Team inabaki nyuma sana ndio maana kidogo tunapoteza mipira mingi, Modric akirudi pale kati flow ya game itakuwa ni hatari.
 
Huyu jamaa madrid damu
FB_IMG_1525203900110.jpg
 
Nawapenda Bayern Munich kwa sababu wanajua kutengeneza nafasi nyingi za kufunga actually sana uwezo wa kushinda hii game. Let's checks second half
 
Nawapenda Bayern Munich kwa sababu wanajua kutengeneza nafasi nyingi za kufunga actually sana uwezo wa kushinda hii game. Let's checks second half
Naina Bayern ikielekea Kiev kwa utulivu kabisa....ikiwaacha Madrid wakijilaumu kwann CR7 hajafunga na kuwabeba tenaa mgongoni!
 
Nyie vilaza Madrid game bado hii....2 kwa 2 mpka sasa.....hola bayn
 
Dakika inakwenda ya 70, utulivu unahitajika pale nyuma. Bayern sasa wanatumia uhuni .
 
Back
Top Bottom