Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Modric with a shot got a touch from Ronaldo back heel to score Real Madrid 1st goal tonight
 
FULL TIME: Real Madrid 1-1 Athletic_en (@Cristiano 87'; Williams 14')

DbGEsCtWAAApQxb.jpg
 
That was a poor poor freekick by Bale in the last minute.
 
Dah,
Tumechomoa kwa mbinde sana

Shukran kwa juhud binafs za wachezaj.

Hasa hasa CR7.

Point 1 sio haba

Tujipange next matches, UCL
 
Liverpool ya Mohames Salah leo watakuwa na kibarua kizito mbele ya AS Roma katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya itakayopigwa kwenye Uwanja wa Anfield.

Salah anatazamiwa kuongoza safu ya ushambuliaji ya Jurgen Klopp itakapocheza na timu yake ya zamani ya Roma, katika nusu fainali ya kwanza inayotazamiwa kuwa na upinzani mkali huko Anfield leo Jumanne.

Kesho, Jumatano kutakuwa na kipute kingine, ambapo vigogo Bayern Munich watakuwa nyumbani Allianz Arena kumkaribisha Cristiano Ronaldo na chama lake la Real Madrid.

Itakuwa wiki kali na hakika usithubutu kupitwa. Liverpool wametinga hatua hiyo baada ya kuwasukuma nje Manchester City kwa mabao 5-1, huku ushindi wao ukichagizwa zaidi ya Mo Salah, lakini AS Roma nao si wa kubeza baada ya kupindua matokeo dhidi ya Barcelona na sasa wametinga nusu fainali.

Bayern na Real Madrid ni mechi ambacho mashabiki wamepata kushuhudia mara kadhaa zikimenyana kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, lakini safari hii mechi yao inatazamwa kwa mtazamo tofauti.

Madrid wanaamini staa wao Ronaldo ataendelea kuwavusha kwenye vizingiti vizito katika kutimiza ndoto yao ya kubeba taji hilo kwa msimu wa tatu mfululizo.
 
Yani leo ikitokea maajabu ya Mussa tukashinda namtumia demu wangu 25% ya mshahara wangu utakaoingia nadhan ijumaa hii.
Samahani kidogo mkuu, sisi kushinda ugenini sio maajabu!

Kama una nia wewe mtumumie tu huyo demu wako, ila usisahau kumuhudumia na mama mzazi nyumbani maana 85% ya mademu hawana shukurani.
 
R.Madrid anasubiria kipigo cha mbwamwizi kutoka kwa wanazi maana round hii hawana mchezo minaona wamewapelekea wale wazee point za bure tu nibora hata wange ahirisha mechi kuliko kwenda kudhalilika.
 
HT:Tumetawaliwa karibia eneo lote la uwanja.....hatupigi counter lakini pia hatukai na mpira....Isco hajafanya kaz yake vzr...hamsaidii marcelo...goli tulilopata ni maono ya marcelo na siyo mipango mingi...beki yao imara ishatoka na msumbufu mmoja....tunacheza kwa tahadhari sana siyo mbaya ila nafikiri hapa tupige counter za uhakika...
 
Back
Top Bottom