pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,728
FT:Bavaria 1 - 2 Blancos
Hala madrid....mtaji mzuri kuelekea second leg...
Hala madrid....mtaji mzuri kuelekea second leg...
Shukran sana Mkuu Tall kwa update, team ilionyesha ukomavu mkubwa sana kwa kweli, Zidane aliwaandaa vijana wake vizur sana, wajamaa walivyotangulia nilidhani ningeona ile panic ya akina Ronaldo na Ramos, lakini Leo ilikuwa ni tofauti kabisa, walitulia sana, matunda yake ndio huu ushindi wa Leo...FT:Bavaria 1 - 2 Blancos
Hala madrid....mtaji mzuri kuelekea second leg...
Hahaha.., Zidane aliamua kumrudisha Vasquez nyuma., nilidhan alimwingiza Benzema ili tubaki na wachezaji wawili mbele, sababu Vasquez alirudi kama right back, na Asensio alirudi kumsaidia Marcelo.., karibia Benz afunge la, ila jamaa asivyo na shabaha akaenda kumpa golikipa mpira...,Hapa zidane anataka kufanyaje?anamtoa Carvajal anaingia benzema??
Acha tu Mkuu...,ALIYE"HACK" jamii forum leo ametutesa kweli.
halamadrid
R.Madrid anasubiria kipigo cha mbwamwizi kutoka kwa wanazi maana round hii hawana mchezo minaona wamewapelekea wale wazee point za bure tu nibora hata wange ahirisha mechi kuliko kwenda kudhalilika.
Well done team 
Mkuu ulipotea sana siku za katikati, karibu tena jamvini.Jana nilikuwepo nyumbani, lakini nilikuwa siipati JamiiForums takriban kwa saa 24. Nimejarubu kwa kila baada ya muda mfupi, ndio sasa imefunguka. [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]
Mbabe wa barca ni Roma sasa kakutana na dhahama ya salah sasa mnayemuogopa aliugopa msalaba akamsakizia Roma huo ujasiri wa kukutana na dhahama ya salah unautoa wapi?Narudia tena timu pekee ya kumsimamisha real Madrid ilikuwa ni Barcelona tu, hawa wengine wote waliobaki ni tambalale
Narudia tena timu pekee ya kumsimamisha real Madrid ilikuwa ni Barcelona tu, hawa wengine wote waliobaki ni tambalale