Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,566
Si rahisi kihivoMkuu Bado tupo
Si rahisi kihivoMkuu Bado tupo
Mzima wewe??Duh!
Badoo mkuu acha uogaaaSi rahisi kihivo
Simu yako anatumia nani muda huu?!Mzima wewe??
Aende wapi labda? Fikirien na vidagaa vinatakiwa kuonja ubingwa jitu makombe 12 bado mnalipigania tu mwenzie ac milan anachaj betri zipo low acha huyu nae apumzikeMe cwaz matokeo me nataka MADRID apiteee
Mbona swansea anamfumua liverpool mpira haupo hivyo liverpool inakipi kipya?
Nashukuru kwa kukubali Madrid tupo juuAende wapi labda? Fikirien na vidagaa vinatakiwa kuonja ubingwa jitu makombe 12 bado mnlipigania tu mwenzie ac milan anachaj betri zipo low acha huyu nae apumzike
Mkuu kuna mijitu mipuuzi sana zinaleta stress zao za kipuuzi.Simu yako anatumia nani muda huu?!
Habari yako mkuu Pagan? habari ya mchezo?Tupate hata kagoli basi
Bado weweDuu hii ya Leo imekula kwetu
Futa tu hizo comments kabla wazee hawajaona ukala banMkuu kuna mijitu mipuuzi sana zinaleta stress zao za kipuuzi.
But nimechagua kumpuuza kwa muda
Nasemaje usitafute ban endelea
Kwa mpira upi na ww umepita kwa city mpira kacheza city bahat ya magoli ipo kwa liverpool same to roma barca kaupiga nakumbuka 2004 ugirik kabeba uero kwa mpira wa bahat ma giant wanye soka wanatoka unaweza kupima ubora wa marcelo na anord?Kipya Kipo Kwenye Pitch [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG]! Lakini [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] na #JF haina Kipya. OVA
Punguza matusi bhasWewe falaa unikomeeee
UsinipangieHumu hakuna wanawake. Wenzio wako bize vitandani wanabembeleza wame zao.
Mwanamke gani usiku kujazana kupiga soga kwenye kundi la wanaume.
Wacha nipate ban kwa mara ya kwanza maana wanataka kunizoeaFuta tu hizo comments kabla wazee hawajaona ukala ban