Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Marcelo game imemkataa leo, D. Costa amemuonea sana.
 
Tangu umenijua Jf ushaniona nimemtukana mtu??

Simjui na wala sina haja ya kumjua.
Ndio maana nakwambia u dnt av to do it leo...kuna watu humu hata wakikutukana usipowajibu kila mtu ataelewa.

Tuendelee kufurahia kabumbu jamani
 
Nenda kahudumie ndoa kama huna mume huku hupati
Akamuhudumie nani wakati wanaume tupo huku kwenye mpira?

Acha atufate huku huku.

Yani mkifungwa mnatukana kila mtu ***** zenu. Jana mmetukana sana tulikua tunawasubiri!

Acha juve awashike makalio kimya kimya!
 
Madrid wakikumbuka kale ka wimbo ka uefa huwa kanawapa mzuka..leo sijui imekuwaje...
 
Anaecheka mwisho ndo hucheka zaid..na siku zote mjinga hucheka mara mbili..
 
Back
Top Bottom