Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Safi sana vijana..wameonasha ukomavu wa hali ya juu sana maana mechi ilikuwa against ulimwengu wote na si psg pekee.
 
Hawa watoto kina Vazquez, Asession, Wapo vizuri sana.

Japo hapo kati nako kina Casmiro na mwenziwe Kovasick wameupiga mwingi sana pale kati mpaka umemwagika bhanaaa...

Hawa waendelezwe vizuri ndio watakao ibeba hii timu ya Dunia.
Waweza kushangaa modric na kroos wamechoma mahindi kisha madogo wameupiga mwingi.
 
Hawa watoto kina Vazquez, Asession, Wapo vizuri sana.

Japo hapo kati nako kina Casmiro na mwenziwe Kovasick wameupiga mwingi sana pale kati mpaka umemwagika bhanaaa...

Hawa waendelezwe vizuri ndio watakao ibeba hii timu ya Dunia.
Aisee inspekta Kova kaupiga mwingi sana hapo jana utasema fundi gari kwa jisi alivyokua anazama uvunguni
Big man Casemiro wamekaba watu mpaka wakawa wanamind
 
Mtoto yake nepi ..psg sio team ya ku challenge timu zenye munkari wao uefa ..madrid tulicheza vzr en we deserve kila kitu tulichopata [HASHTAG]#halamadrid[/HASHTAG], [HASHTAG]#vamos[/HASHTAG] madrid

Y nad mas
 
Kusema kweli Madrid kule mbele bado hawaeleweki kabisa.

Yani some time hawataki hata kuwapa mabeki pinzani presh, wanaleta mambo ya kifadha tuu.
Hebu wacheki hawa madogo Kova na Casimiro walivyo jitoa...
 
usiku wa jana ilikuwa ni lazima tuu
PSG afungwe kutokana na safu kali ya ushambuliaji na wings za REAK MADRID
vijina wadogo kabisa
PSG ilikuwa lazima watoke
 

Attachments

Kusema kweli Madrid kule mbele bado hawaeleweki kabisa.

Yani some time hawataki hata kuwapa mabeki pinzani presh, wanaleta mambo ya kifadha tuu.
Hebu wacheki hawa madogo Kova na Casimiro walivyo jitoa...
kule mbele tatizo ni benzema na hata Bale!!msimu ujao waondoke tu au watafutiwe wakali wa kuwapiga benchi
 
namuonea huruma sana Mbappe,anaweza kujihisi hastahili kuchezea Madrid jinsi alivyodhibitiwa jana
Haa haa haa fact mkuu, dogo hana no. Madrid kwa sasa, angekubali kipindi kile kuja jana angekua anakiwasha tu kwenye uzi mweupee.


Ila Benzema sio ridhiki kabsa, naona jana hadi Zidane mwenyewe kamind jinsi alivyokosa lile goli yeye na kipa akaamua muda huo huo amupe sub.
 
kaVasquez sikuhizi kameacha ugalasa. hongereni sana humu ndani.


Lucas Vazquez hajawahi kuwa galasa labda umemfahamu jana. Kwa taarifa yako tu, wakati anaanza kucheza first team Carvajal aliumia, basi dogo aliipiga Wingback utafikiri Marcelo. Yule ni deriver hadimu in Spain
 
Lucas Vazquez hajawahi kuwa galasa labda umemfahamu jana. Kwa taarifa yako tu, wakati anaanza kucheza first team Carvajal aliumia, basi dogo aliipiga Wingback utafikiri Marcelo. Yule ni deriver hadimu in Spain
dogo yupo vzur ila cku za nyuma alikua ana utoto flan wa kurudisha mpira nyuma kma wa Isco
 
Lucas Vazquez hajawahi kuwa galasa labda umemfahamu jana. Kwa taarifa yako tu, wakati anaanza kucheza first team Carvajal aliumia, basi dogo aliipiga Wingback utafikiri Marcelo. Yule ni deriver hadimu in Spain
kalikuwa kanapoteza sana mipira kule winger ya kulia, kalikuwa hakaoni goli pia kalikuwa hakana stamina. sikuhizi naona kameingia na gym. labda umeamua tu kukatetea ila wanaocheki mechi za RM watakubaliana nami.
 
Back
Top Bottom