laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 9,984
- 9,757
kweli bale yupo vizuri kuliko BenzemaSa hv kila television au jukwaa utalotembelea wanakuambia benzema ni jipu...sasa zidane haon au asikii
kweli bale yupo vizuri kuliko BenzemaSa hv kila television au jukwaa utalotembelea wanakuambia benzema ni jipu...sasa zidane haon au asikii
ninawasiwasi na upeo wako ndugu...unaposema tuna imani na zizu(Ni wewe pamoja na nani labda? weka wazi tafadhali)....wenye kujua mipira yao huko abroad wanakwambia ZIDANE ASIPOCHUKUA UEFA/UCL KIBARUA CHAKE KITAOTA NYASI MAANA LIGI KESHAPOTEZA TAYARI...watu wanaongea vitu serious wewe unaleta ushabiki wako na achivements which are already turned in to a history think twice friend...madrid hawanaga zile za kumuacha kocha anayefanya ujinga kisa kawaletea makombe kadhaa eti...tumeona kwa ancelotti upo msimu alichukua makombe matatu akiwa bernabeu kisha uliofuata akakosa ata moja AKATIMULIWA, Yani kwa hichi kilichotokea leo FAMILIA NZIMA YA WANAMADRID WA UKWELI(SIO WAKUCHOVYA) WANALALAMA NA HUYO ZIDANE WAKO PAMOJA NA BENZEMA WAKE...HUJIULIZI KWANIN LABDA?..
View attachment 657920
View attachment 657921 View attachment 657922
View attachment 657923View attachment 657924
acha ushabiki wa kimahaba bhana...unaposema LAZIMA TUFUNGWE HATUWEZI SHINDA KILA SIKU...NI KWELI INAELEWEKA LAKINI NDO ISHASEMWA KUFUNGWA TENA BASIII HATUTAKI TENA...NA KAMA UNABISHA NGOJA HUYO ZIZOU APOTEZE UEFA UONE KITAKACHOTOKEA NA UJUE KABISA PSG SIO WA MCHEZO WALE...YANI TUMESHAFUNGWA HADI NA GIRONA(Timu ambayo kama sikosei ilivyokuwa ligi kuu msimu wa 2012/2013 cristiano alikuwa akiifunga goli hadi 4 mwenyewe)...alafu unasema kirahisi tu kufungwa lazima...huoni ni hatari hiyo ikiwa tumepoteza kwenye match za kwanza za msimu...Namimi nasema kutokufungwa inawezekana kwani barca hadi sasa wamewezaje kutopoteza hadi sisi tushindwe???, HIVYO BASI SEMA BADO NINA IMANI NA ZIZOU NA SIO TUNA IMANI NA ZIZOU ila ujue kabisa huyo zizou tayari keshaishiwa mbinu mbadala na asipobadilika ni tatizo kubwa!
nitajie team ambayo haifungwi labda tuanzie hapo
kma una lielewa hilo jua teams hua zina pitia transition period tumetoka kucheza World Cup juz tu hawa wenzetu walikua wame relax ni ngumu kufanya competition nao alf pia barca walipotea so wana pambana kurud kwenye form yao, kwel team hai perform kwa kiwango cha juu lkn Zizu bado ana umuhimu wake pale, Kwahio we una mtaka Wenger au Moyes?INAWEZEKANA TUMEPISHANA KUELEWANA AMA KISWAHILI NILICHOTUMIA HAKIJANYOOKA LABDA...NILIVYOMAANISHA MIE KUFUNGWA HAPO NI KUPOTEZA MCHEZO(LOOSING A GAME) NA SIO KURUHUSU GOLI(CONCEDING A GOAL)...HIVYO INAJULIKANA WAZI KUWA HAKUNA TIMU AMBAYO HAIJAFUNGWA DUNIANI ILA ZIPO TIMU AMBAZO HAZIJAPOTEZA MCHEZO WOWOTE ULE IWE HOME OR AWAY HADI KUFIKIA NYAKATI HIZI ZA MSIMU WA 2017/2018) MAANA MAN-CITY NA BARCA IN EUROPE...THEY DIDN'T ADMIT ANY DEFEAT TILL NOW!!!...Usiponielewa na hapo tena bhasiii.
Real inahitaji kumtimua Ronaldo in order kurekebisha timu, bila ya ivo vipigo vitaendelea.
kma una lielewa hilo jua teams hua zina pitia transition period tumetoka kucheza World Cup juz tu hawa wenzetu walikua wame relax ni ngumu kufanya competition nao alf pia barca walipotea so wana pambana kurud kwenye form yao, kwel team hai perform kwa kiwango cha juu lkn Zizu bado ana umuhimu wake pale, Kwahio we una mtaka Wenger au Moyes?
kma una lielewa hilo jua teams hua zina pitia transition period tumetoka kucheza World Cup juz tu hawa wenzetu walikua wame relax ni ngumu kufanya competition nao alf pia barca walipotea so wana pambana kurud kwenye form yao, kwel team hai perform kwa kiwango cha juu lkn Zizu bado ana umuhimu wake pale, Kwahio we una mtaka Wenger au Moyes?
January hii apa tuna fanya usajiri tuna fukia mapengo mwendo mdundo ktk miaka zaid ya kumi hatuja wahi kua na team bora zaidi ya hii Benz asepe zake ila kwa Zizu bado cja kubaliana na ww makosa mengine cio ya coach ni mchezaji binafisi na bahati pia jana tume gonga besela mara tatu kumbukaNi kweli unachokisema sijakataa ila nikuulize tu KWA HIYO KAMA TIMU NDO INAPITIA HIYO TRANSITION PERIOD NDO ASITAFUTWE MCHAWI NANI/TATIZO LIPO WAPI???...PIA TUIACHE TU TIMU ISITAFUTIWE UFUMBUZI KWA KUWA INAPITIA TRANSITION PERIOD???...Jibu sahihi hapo bila shaka ni HAPANA, hivyo lazima marekebisho yafanyike ili kuirudisha timu kwenye ubora wake na ndio maana fans wa madrid wanaongea na kusema ulipo UKAKASI NI WAPI NA NI MAREKEBISHO GANI YANAHITAJIKA KUFANYIKA NA SIO KUKAA KIMYA TU KISA ETI TIMU INAPITIA TRANSITION PERIOD, Plz! understand and it's not that bad if you cope with my Idea.
Nani alikuwa karelax??????!!!!!!!kma una lielewa hilo jua teams hua zina pitia transition period tumetoka kucheza World Cup juz tu hawa wenzetu walikua wame relax ni ngumu kufanya competition nao alf pia barca walipotea so wana pambana kurud kwenye form yao, kwel team hai perform kwa kiwango cha juu lkn Zizu bado ana umuhimu wake pale, Kwahio we una mtaka Wenger au Moyes?

Nyie wa hapa hapa tu kma wale wa team flan apa TzNani alikuwa karelax??????!!!!!!!
La liga na deportivo walicheza Madrid castilla eti??????
Umekutana na timu nyanya huko cjui wp unatupigia kelele?? Jana ndo umeanza kukutana na wanaume.
Halafu usipende kujificha migongoni mwa makocha au timu za watu, Wenger , Moyes wameingiaje tena humu???????
Madridiots pambaneni na hali zenu![]()
![]()
Alaafu hawa Madrid bana,hivi huu mpira wa man to man marking si umepitwa na wakati?Nani alikuwa karelax??????!!!!!!!
La liga na deportivo walicheza Madrid castilla eti??????
Umekutana na timu nyanya huko cjui wp unatupigia kelele?? Jana ndo umeanza kukutana na wanaume.
Halafu usipende kujificha migongoni mwa makocha au timu za watu, Wenger , Moyes wameingiaje tena humu???????
Madridiots pambaneni na hali zenu![]()
![]()
..Zizo hawezi kufukuzwa msimu huu hata iweje.....Zizou amefanya makubwa sana Madrid.....Madrid imekuwa timu ya kwanza kuchukua UCL mara mbili mfululizo...hakuna timu yoyote iliyowahi kufanya hivyo....Madrid amecheza mechi nyingi mno wachezaji wengi wamechoka...Msimu huu hakuna komb lolote watakalochukua hata wenyewe wanajua hilo.....watakachofanya ni kujenga timu kwa msimu unaokuja....PSG wataitoa Madrid na Zizou hatafuzwa
Kwa kometi zako tu inaonekana kuna ki2 unakimiss ktk ubongo wakoNyie wa hapa hapa tu kma wale wa team flan apa Tz
Pambana na hali yako mama, kwn team yako haina thread JF? kinacho kuleta huku n nn.Kwa kometi zako tu inaonekana kuna ki2 unakimiss ktk ubongo wako
Nakuona unaambiwa hivi unajibu vile
Have a nice day
Mbinu zimewaishia!!!!!!Alaafu hawa Madrid bana,hivi huu mpira wa man to man marking si umepitwa na wakati?
