Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Refa siyo wakutegemea *****....


We can't score goals Tall, na hili tatizo lipo kwa muda mrefu na ndio maana tunapoteza mechi nyingi. Tunafanya attempt nyingi lakini zote ni scoreless. Inshort, hatuna forward wa kutisha, wanategemea uzoefu tu. Na hili lipo tangu enzi za Ancelotti, lakini nashangaa sijui kwanini hawalioni hili. Yaani mpaka mabeki wakafunge, forward wapo kushika vichwa tu. Inauma sana kufungwa na hawa watu.
 
We can't score goals Tall, na hili tatizo lipo kwa muda mrefu na ndio maana tunapoteza mechi nyingi. Tunafanya attempt nyingi lakini zote ni scoreless. Inshort, hatuna forward wa kutisha, wanategemea uzoefu tu. Na hili lipo tangu enzi za Ancelotti, lakini nashangaa sijui kwanini hawalioni hili. Yaani mpaka mabeki wakafunge, forward wapo kushika vichwa tu. Inauma sana kufungwa na hawa watu.
Weekend na Christmas ishakuwa mbaya
 
We can't score goals Tall, na hili tatizo lipo kwa muda mrefu na ndio maana tunapoteza mechi nyingi. Tunafanya attempt nyingi lakini zote ni scoreless. Inshort, hatuna forward wa kutisha, wanategemea uzoefu tu. Na hili lipo tangu enzi za Ancelotti, lakini nashangaa sijui kwanini hawalioni hili. Yaani mpaka mabeki wakafunge, forward wapo kushika vichwa tu. Inauma sana kufungwa na hawa watu.
Unachokisema ni sahihi kabisa....huwez kuwa na washambuliaji uliowanunua toka miaka ya 2007 utegemee wataendelea kuwa na makali yale yale...mtu kama benzema hata benchi anatakiwa asikae...kuna wakat nlisema tunamuachaje Morata aende Juve wakat ni mzuri...akarudishwa,akawa anasugua benchi ila akiingia anafunga....benzema anafuga ndevu tu *****...kuna washambuliaji wazuri tena wana ndoto zakuchezea madrid...kuna yule dogo wa dortmund anaitwa Pierre...***** zidane anazingua na benzema wake,halafu mtu kama bale ambaye ana chumba hospital kabisa unaendeleaje kumshikilia wakat hata soko lake limeisha...
 
Unachokisema ni sahihi kabisa....huwez kuwa na washambuliaji uliowanunua toka miaka ya 2007 utegemee wataendelea kuwa na makali yale yale...mtu kama benzema hata benchi anatakiwa asikae...kuna wakat nlisema tunamuachaje Morata aende Juve wakat ni mzuri...akarudishwa,akawa anasugua benchi ila akiingia anafunga....benzema anafuga ndevu tu *****...kuna washambuliaji wazuri tena wana ndoto zakuchezea madrid...kuna yule dogo wa dortmund anaitwa Pierre...***** zidane anazingua na benzema wake,halafu mtu kama bale ambaye ana chumba hospital kabisa unaendeleaje kumshikilia wakat hata soko lake limeisha...
Asee matusi diaba pointi kisoda
 
Dah kimetukuta nini tena. Maana nilikuwa safarini. Nimefungua kila kona naona kipigo tu
 
MADRIDOGS!!!!!!!!!!!! Barca is too big for you.You can't manage to play with it with your aged attackers.
Believe me!!! The trophy you have just taken it is the only one which you will be having at the end of the season.
MADRIDOGS!!!!!!!!
 
Msijali sisi Barca tutafungwa makusudi,ili mtufikie point alaafu tuanza kugombea point upya. Mjini kumetulia sasa angekuwepo dembele,umtiti si tungewapiga mkono-mazafantazz

Long time sana, umekuja huku na team ya uchambaji,,,wasalimie huko na hao ndo Barca bana,,zawadi ya Sikukuu murua....
 
Back
Top Bottom