Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Sasa kama Ramos anafanya ugangwe ule na undava kama tupo uwanja wa kinesi ulitegemea Messi hata u captain domo umshinde? tena waweza kukuta alikuwa anaongea kwa upole "brother Ramos punguza basi ubabe tucheze soka "Hahahahahhahaha...wale wakutafisri ishara za mdomo....messi na shakira wametukana
Sent using Jamii Forums mobile app
Uefa 13 loading 

2017