Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hahahahahhahaha...wale wakutafisri ishara za mdomo....messi na shakira wametukana

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama Ramos anafanya ugangwe ule na undava kama tupo uwanja wa kinesi ulitegemea Messi hata u captain domo umshinde? tena waweza kukuta alikuwa anaongea kwa upole "brother Ramos punguza basi ubabe tucheze soka "
 
20841848_1694903820534371_7330089623374808933_n.jpg
Hala Madrid Uefa 13 loading
 
Alishaandika Eddo kumwembe"Simpendi Ronaldo lakini nifanyeje"

Sent using Jamii Forums mobile app
Tushawazoea hao ukiwaambia wanakwambia eti "fanboy" tumeamua kuwaacha tu uzuri kila siku anawaonyesha kwa vitendo wao wamebaki na maneno tu....tupo hapa na cristiano ataendelea kubaki hata kama hawapendi perez ndio Boss sio sisi washabiki
 
Tushawazoea hao ukiwaambia wanakwambia eti "fanboy" tumeamua kuwaacha tu uzuri kila siku anawaonyesha kwa vitendo wao wamebaki na maneno tu....tupo hapa na cristiano ataendelea kubaki hata kama hawapendi perez ndio Boss sio sisi washabiki
Hapo unenena,wao wanaamini kale kajamaa ndo best,acha tushuhudie maajabu ya cr7.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom