lynne
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 897
- 1,182


Naona bado bale ni liability
huwezi jua
Mmmh hawa jamaa bado hawajaanza kuwa serious aiseh, Goli 4 kirahisi hivyo.
Kununua wachezaji kwa gharama kubwa haitatusaidia wengi wao wanaibuka kuwa flops
Mmmh hawa jamaa bado hawajaanza kuwa serious aiseh, Goli 4 kirahisi hivyo.
Zidane sijui ana mpango gani na striking force yetu. Anachochea mbape aje kwa kuwa tuu mbape ni mfaransa. Yaani hawa wafaransa sijui wana mentality gani.
Maskini? Kwahiyo bila CR7 ndiyo mnakuwa hivi!
(Sasa bora sisi Mkuu...kulikoni nyie msimu uliopita mlikuwa mnapigwa na Neymar, Messi, Suarez na iniesta wote wakiwa ndani...Kwa hiyo Hamna cha ajabu hapo.